Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Status
Not open for further replies.
Kuna mtu alisema hii ni test ya kumjua kigogo. Yaani wamelipika hili suala kisha wakawaambia watu wachache wanaowahisi ili kuona kama litafika kwa kigogo. Na limefika.

Soon anashikwa mtu.
 
Sifikiri kama ana haraka hio ya kuongoza malaika mbinguni.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Vizuri, aache sasa roho mbaya na visasi. Nadhani amejifunza ni namna gani Wananchi wake wengi wanavyomtakia mabaya (kifo), na wapo tayari kufanya sherehe muda wowote iwapo mauti yatamfika. Akiendeleza kiburi shauli yake.
Wewe ni jinga Kama wajinga wengine tu..nimesema jinga na sio pumbaf..usije ukalia nimekutusi
 
Mnadhani huu utakuwa mwisho?! Naamini ataendelea ku report.
Kimkakati wamempunguzia followers, lakini bado hatoacha.
Kiinteligecia, njia hii huwa ni kumkamata mole.
Mna mfeed mashudu, halafu mnamuacha mnamuangalia how far he/she will go with it, mna eliminate source zake mna muacha ana hang, mwisho wa siku mnamtambua hasa yeye ni nani.

Niliwaambia baadhi humu, msishangilie mashambulizi, jipeni muda mshangilie magoli.

Lakini wapo walioamini kwamba wako sahihi kwa zaidi ya asilimia mia moja.
 
Kigogo ni rais wa watanzania wa mitandaoni JPM ni rais wa ikulu ya Magogoni.

Kichekesho ni kwamba kuna kundi kubwa la wasomi wanamuamini huyu mpumbavu.
Jomba unaacha kazi ya kumpikia mmeo unahangaika na waume za watu..unachekesha..kwanini usitafte mme mwingine kwani lazima huyu mzee
 
Kwa hiyo hao waliocomment kwenye huo uvumi hawana lolote la maana wanalofanya kwenye mitandao, mpaka upendekeze hatua dhidi ya hizo smart phones? Kwenye huo uvumi hisia nyingi za watu ilikuwa ni jinsi hawaridhishwi kiongozi wao mkuu anavyowatendea na hawana jukwaa lolote rasmi wanaruhusiwa kufanya hivyo.

Ni vyema ungejikita kwenye hisia za hao watu wamefikaje huko, na sio kuleta vitisho vya kubana watu kukidhi hisia za kiongozi. Ushauri wa kujipendekeza hauna maana karne hii ya 21.
Ni upumbavu kujaribu kuzima moto kwa petrol eti nyumba yako isiendelee kuungua.
 
Binafsi nimemdharau sana Zitto siku ya leo na wala sitokuja kumchukulia serious tena.
Jomba wewe ndio unagundua leo umechelewa...yeye mwenyewe Zitto alishasemaga msimwamini mwanasiasa yoyote wa upinzani..umeshasahau...
 
Tumewajua wengi sana! Na vi comments vyao vya kinafiki hadi huko Instagram! Ila watu wanafiki sana! Chujio ...
 
KIGOGO AGARAGAZWA ROUND YA KWANZA,ZITTO & CO WAMTELEKEZA UJERUMANI.

Leo 16:00pm,20/10/2019.

Siwezi kuamini kama taifa kubwa duniani kama Tanzania linaweza kuendeshwa na propaganda za Kigogo,Zitto,Shangazi,Tundu,Maria na Lissu.Niwatake radhi kwa kuwaita ninyi ni wapumbavu na upumbavu wenu ni kuwa sehemu ya mchezo huu mchafu unaofanywa na Upinzani nchini Tanzania.

Kinachonifanya nianze-kupoteza imani juu ya Uzalendo wa Wapinzani ni jinsi watu kama kigogo wanavyotunga uwongo na kuusambaza duniani pasipo kuwa na tone la aibu,hata kufikia kusambaza uzushi wa kifo cha Mkuu wa Nchi,

Hivi ni kweli Wapinzani hamna mnachofahamu juu ya uzima,ugonjwa au kifo cha Mkuu wa Nchi kama ni kifo cha Taifa na mkwamo wa Taifa hata muanze kusambaza uzushi mkijua madhara yake,Enyi wapinzani fedhea na aibu mliyoipata kwa uzushi wa Uwongo mtawaambia nini Wafuasi wenu hata wakawaelewa,wapumbavu wakubwa ninyi.

Sasa ukweli umedhihirika kama haya tunayoambiwa Watanzania na Viongozi wa Upinzani ni uwongo uwongo na kamwe hatutawaamini tena.

Nawataka radhi kwa kuwausisha na mambo yasiyoafa kwa kuwa daima mmekuwa mkifurahia kigogo anavyosema na pengine kuitia aibu nchi, kama haya mambo ya kigogo ambaye mnamjua na mnamficha kwa kuwa ninyi nyote mna uwezo wa kuitumia account hiyo ya Kigogo,

Sasa mkijua Kigogo analishwa uwongo ama anapata data zisizo za kweli kutoka kwenye vyanzo vya uwongo na nyinyi Wapinzani mnajua hivyo na mnashirikiana na hao kina kigogo kutudanganya,

Ni wakati sasa umefika mtapima wenyewe kama kweli bado mnahadhi ya kutambulika kama ninyi ni Upinzani wenye tija au tuendelee kuwa na CCM kwa miaka 100 ijayo,Shame on you Kigogo,Zitto,Membe,Shangazi,Maria na Mazwazwa yote yanafuatilia account ya kigogo2014.

-Kigogo apigwa Home and Away.

Asubuhi nilisimama yalipokuwa mataa ya ubungo ambapo hivi sasa inajengwa Ubungo Interchange nikajiuliza mara kumi;Je kama asemayo huyu kigogo ni sahihi inamaanisha hii Ubungo interchange tunaikosa tena maana mwenye maono hatokuwepo tena,nikakumbuka treni ya Umeme nikajisikia nasema huyu shetani kigogo ashindwe kabisa lazima niende Morogoro nikamcheki Baba na Mama kwa treni ya Umeme nikitumia saa moja,

Lazima niende Makao makuu ya nchi,Dodoma na treni ya Umeme lazima niende Mwanza kwenye harusi ya mdogo wangu kwa treni ya Umeme,hakika habari ya kigogo kwa sekunde chache ilinifanya nifikirie mengi sana,Mungu ni mwema kumbe nilikuwa naota na kamwe naikemea ndoto hiyo isiwe kweli.

Niliingia kwenye whats up nikakutana na neno toka kwa Maregesi likisema,Hata uwe mwema kiasi gani tukumbuke huwezi kulazimisha watu wote wakupende na huwezi kupendwa na kila mtu hata kama umeboresha maisha yake.

Kama kiongozi fanya wajibu wako na daima Uzalendo ukuongoze kuwaandalia ajira kizazi cha tatu na cha nne na uheshimu wengine hakika utakuwa na wengi wa kukupenda kuliko kukuchukia.

Tukumbuke kila kiongozi ana watu wampendao na wamchukiao kila mtu kwa muono wake,wengine wakimpenda kwa mema afanyayo kwa manufaa ya Taifa zima lakini wengine wakimchukia kwa wivu kwa kuwa anatenda zaidi yao,neno hilo nikakubaliana nalo.

-Wenye hekima watavuna heshima, lakini wapumbavu watapata fedhea.

Watu wameshikia bango Serikali ikanushe au iseme ukweli juu ya kinachosemwa mitandaoni,lakini itajihusisha vipi na uwongo wa kutungwa ni sawa mtu abishanie jinsia yako wakati wewe unajijua mwenyewe,sasa ya nini kubishana nae.

Nilikumbuka kazi ya shetani ni kama hiyo tuliyoiona ikifanywa na Kigogo na wafuasi wake wakishangilia mabaya,tumeuona uovu mioyoni mwa watu waliojivika moyo wa kihayawani.

Moyo wa kihatlyawani na upumbavu,kufurahia ama kifo au ugonjwa uwapo kwa ndugu zao. Hawa ndiyo mashetani.

Kigogo anaonyesha mchoro wa moyo,nahisi wameamua kujipeleka wao icu baada ya Kumuona live Mkuu wa nchi,Wakapata heart attack wao na yule bwana wao kigogo wote wametokomea ujerumani,sasa wamelazwa huko Frankfurt.

-Kigogo proved failure 100%%%

Kuna jamaa huko twitani anamlaumu Kigogo, eti yeye hajulikani ila amewatia aibu kubwa wafuasi wake ambao wanajulikana.

Kigogo nae anamlaumu Zitto kwa kumpa tango pori na kukiri kuwa tutapata malipo kwa Mungu kutokana na matango pori wanayowalisha watu.

Wapinzani walikubali kushikiwa akili na kigogo ni hatari kwa mustakabari wao kisiasa.

Lakini je Kigogo kaleta taharuki,Watanzania tumejifunza nini, nataka kujua tumejifunza nini juu ya hili?

Ndugu zangu wakati wa Mwanadamu si wakati wa Mungu na awazayo Mwanadamu siyo awazayo Mungu,Kusudi la Mungu kwa mtu mwenye haki halitakatizwa na binadamu yeyote .Ahsante Mwenyezi Mungu kwa ajili ya neno lako ambalo ni kweli,Ahsante Mwenyezi Mungu kwa kudhihirisha tena Ukuu wako katika Taifa la Tanzania,Ahsante kwa kuibariki Tanzania,Ahsante kwa kumlinda na kumbariki Rais wetu John Pombe Magufuli sasa na siku zote.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga.
Dar es Salaam.
0755078854.
Kumbe imewauma sana, musiba aliwaumiza watu wengi zaidi sikuona ukikemea
 
Shetani upo? Si nilikwambia nyinyi ni wa kushindwa tu. Haya sasa.

Ni kweli ni shetani ila simkuti jiwe. Nishindwe kwa lipi kwa mfano? Ujumbe wangu uko wazi kwamba huwa simuungi mkono dhalimu yoyote. Kwangu hili suala lilikuwa uzushi kama uzushi mwingine ila kwangu ilikuwa ni fursa ya kumuonyesha jiwe aache kutawala kwa ukandamizaji kwa ambao hawamsujidii. Hapo nimeshindwa kwa lipi?
 
Nikikumbuka jinsi Tundu Lissu;
●Alivyopigwa risasi Bungeni
●Alivyonyimwa matibabu na Govt
●Alivyonyimwa mshahara
●Alivyoporwa ubunge
Kwa kweli sasa nimeamini malipo ya ubaya ni hapa hapa duniani.
Ukimtendea ubaya mwenzio nawe utalipwa kwa ubaya.

Umeongea pumba yani kama k....... fulani. Hivi. Unatia kinyaa. So unreasonable.
 
Sio jamii, ni mashetani, mamlaka husika ndio ilikuwa na haki ya kutangaza iwapo anaumwa, mashetani mmezusha afu mnataka mamlaka iwajibu mashetani.

Tena ni bora hizo mamlaka hazikutoa taarifa mapema, ili hisia za watu dhidi ya jiwe zifike vizuri.
 
Zaweza pia kuwa techniques za kupima upepo pia ujipange vipi dhidi ya wapinzani wako au ujue jamii inakuchulia vipi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom