Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

Status
Not open for further replies.
Sawa tumekusukia zitto, acha Mungu afanye kazi yake
 
Serikali kupitia msemaji inabidi watoe taarifa kwa wananchi siyo kukaa kimya
 
first impression mean a lot alishayatoa ya mioyoni kwa hasira bila kujali image yake kwenye jamaii huyo ndo ZITO kamwe haeleweki na ukijaribu kumwelewa una kuwa kama yeye. Period
Zito kwani alisemaje? hem tuwekeen hapa tuyapime
 
Wewe na genge lako ndo ndo mmetengeneza hofu. Hakukuwa na hofu bali nyinyi mmetengeneza hofu kwa maslahi yenu. Sasa hivi unakuja ili uonewe Huruma. Wewe ulikuwa una matakwa yako. Mheshimiwa rais ni mzima. Mwacheni aendelee na majukumu yake ya kulijenga taifa
 
Mungu ni upendo. Tupendane. Suala hili lisifanyiwe masihala.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…