Zitto sawa wahudumu walifungua mlango, je waliwapa abiria wao maboya?

Zitto sawa wahudumu walifungua mlango, je waliwapa abiria wao maboya?

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Kwa wanaijua na waliowahi kusafari na ndege watakubaliana na ukweli kuwa milango ya ndege inaweza kufunguliwa na mtu akiwa ama nje ya ndege au ndani ya ndege.

Wahudumu wa ndege wamefundishwa kufanya kazi hiyo wakati wa kawaida, dharura na hatari. Kumekuwa na mabishano yasiyo na tija na hatimaye taarifa ya awali ajali ya ndege ya precision air imejibu hoja hiyo.

Kwa kutumia ripoti hiyo ni dhahiri palikuwa na tahadhari zakutosha kuokoa watu zikianza na wahudumu na abiria wenyewe waliokuwa kwenye ndege. Ambazo pia zinaonyesha mapungufu.

Taarifa ya awali haionyeshi kama abiria walipewa maboya kabla ya kufunguliwa mlango ili wadumbikie ziwani- wangeponaje? Mpaka hapo bado majaliwa ndiye mwokozi aliyeokoa watu.
 
Kwa wanaijua na waliowahi kusafari na ndege watakubaliana na ukweli kuwa milango ya ndege inaweza kufunguliwa na mtu akiwa ama nje ya ndege au ndani ya ndege. Wahudumu wa ndege wamefundishwa kufanya kazi hiyo wakati wa kawaida, dharura na hatari. Kumekuwa na mabishano yasiyo na tija na hatimaye taarifa ya awali ajali ya ndege ya precision air imejibu hoja hiyo.
Kwa kutumia ripoti hiyo ni dhahiri palikuwa na tahadhari zakutosha kuokoa watu zikianza na wahudumu na abiria wenyewe waliokuwa kwenye ndege. Ambazo pia zinaonyesha mapungufu. Taarifa ya awali haionyeshi kama abiria walipewa maboya kabla ya kufunguliwa mlango ili wadumbikie ziwani- wangeponaje? Mpaka hapo bado majaliwa ndiye mwokozi aliyeokoa watu.
Naunga mkono hoja!.
P
 
Nafuatilia mjadala.
Ushujaa wa Majaliwa umegeuzwa wa kisiasa sababu kwenye kuutambua ushujaa wake alihusika Majaliwa mwingine ambaye kuna watu hawamtaki serikalini kisa uwaziri mkuu wake na mbio za uchaguzi mkuu ujao.
Au anawabania watu wasipie kwa uhuru mahali fulani.
 
Nonsense from this once a good man...
Post shifting kama kawaida yake..

Kwamba katika hali ile kuna ambae alikufa maji?

Tunazungumzia aliefungua mlango maana solution hapa ilikuwa ni watu kutoka...

Huyo dogo wanaehangaika nae hata mlango wa ndege sijui kama anajua unafananaje

Zitto anazinguaga sana yani
 
Hii nchi ya kifala kweli badala ya kujadili vitu vya muhimu tunacheza wa mziki wa serikali na issue ya mfungua mlango
Kabisa mambo haya ni upumbavu mtupu...hili Taifa lina watu bogus kweli kweli...hebu fikiria mambo yanayolisibu Taifa kwa sasa ..watu wana discuss nani kafungua mlango..this is fucken stupid....
 
Hii nchi ya kifala kweli badala ya kujadili vitu vya muhimu tunacheza wa mziki wa serikali na issue ya mfungua mlango
Mkuu unaionea serikali- mlianzisha wenyewe mjadala huu. Kwanza kutaka kuionyesha serikali haikufanya chochote bali waliokoa watu ni wavuvi- mpaka kiongozi wao majaliwa akatokea. Serikali ikawasikia nyie wapiga kelele na kumpa majaliwa ajira na wavuvi wenzake milioni kumi.
Tulionya hapa subirini ripoti- mkasema hamuwezi kukatazwa kutumia uhuru wenu wa kutoa maoni- KUTOA MAONI BILA KUFIKIRI.
Sasa mnaanza kuona serikali ilifanya jambo la hovyo kumpongeza na kumpa ajira Majaliwa- mnarukia wahudumu wa ndege. Na serikali inawapa kamba ndefu- imesema kwenye ripoti- ni wahudumu ndio waliofungua mlango.
Ni mantiki kabisa wahudumu kufungua milango; ni mantiki pia abiria kusaidia kufungua milango. Swali je walifanya kazi hiyo kwa ukamilifu wake? Kwa maoni yangu hapana ila walisaidia. Walipoishia ndipo shujaa Majaliwa akaingia na kikosi chake.

Jambo moja ambalo mie bado najuiliza- hivi ndege ilitua au ilianguka ziwani?
Kwa ilivyotoka na kwa kuangalia mabaki yake , ndege ilianguka kwa kutanguliza pua ingawa kwa pembe nyebamba kama kati ya nyuzi 10-15. Hii inawezekana iliwazamisha abiria wote waliokuwa mbele na inawezekana walikufa kwa kishindo au kumaliziwa na maji.
ila tusubiri taarifa rasmi kwa wahusika vinginrvyo tujiandae kuumbuka
 
Nonsense from this once a good man...
Post shifting kama kawaida yake..

Kwamba katika hali ile kuna ambae alikufa maji?

Tunazungumzia aliefungua mlango maana solution hapa ilikuwa ni watu kutoka...

Huyo dogo wanaehangaika nae hata mlango wa ndege sijui kama anajua unafananaje

Zitto anazinguaga sana yani
Kwanza walitakiwa watoke na maboya- walichukuwa? walipewa?
walifunguliwa mlango na kuonyewa maji ya ziwa -halafu? au waliambiwa kila mtu na Mungu wake?! Mkuu hata katika hali ya kawaida mlango hufunguliwa na kuhakikisha ngazi imewekwa ndipo abira tunaambiwa sasa tunaweza kushuka tunashukuru kwa kusafiri na precision air. Bado huoni umuhimu wa majaliwa. Kukosa kwako ajira kusikufanya ukose pia kufikiri sawa sawa
 
Kwa wanaijua na waliowahi kusafari na ndege watakubaliana na ukweli kuwa milango ya ndege inaweza kufunguliwa na mtu akiwa ama nje ya ndege au ndani ya ndege. Wahudumu wa ndege wamefundishwa kufanya kazi hiyo wakati wa kawaida, dharura na hatari. Kumekuwa na mabishano yasiyo na tija na hatimaye taarifa ya awali ajali ya ndege ya precision air imejibu hoja hiyo.
Kwa kutumia ripoti hiyo ni dhahiri palikuwa na tahadhari zakutosha kuokoa watu zikianza na wahudumu na abiria wenyewe waliokuwa kwenye ndege. Ambazo pia zinaonyesha mapungufu. Taarifa ya awali haionyeshi kama abiria walipewa maboya kabla ya kufunguliwa mlango ili wadumbikie ziwani- wangeponaje? Mpaka hapo bado majaliwa ndiye mwokozi aliyeokoa watu.
👍👍👍
 
Umeandika vitu vya ajabu.
Kila abilia wa ndege Huwa naona anaboya lake na anaelekezwa namna ya kuvaa kabla ya ndege kupaa. Hao wahudumu walikuwa wanagawaje?

Kwa Nini ushangae kupewa maboya ili wazame wakati lengo la boya ni ili waelee.

Au Mimi ndio sielewi
 
Kama wasingekuwa wavuvi asingepona hata mmoja.

Boat ya uokoaji imefika baada ya masaa4 Mlango ulipofunguliwa abiria wangepaa???

Wahudumu wa ndege wenye Mafunzo wote walikimbia nje bila kutoa muongozo kwa wavuvi wawatoeje marubani, Majaliwa alienda kubomoa ili marubani watoke akakatazwa, hakuishia hapo alichukua kamba akafunga mlango wa rubani ili uvutwe na boat Bahati mbaya kamba ilikatika..

Wakati hayo yote yanafanyika Wahudumu wa ndege ambao wanajua nini cha kufanya ikitokea changamoto kama iyo, walidandia Mitumbwi kuokoa maisha yao na hawakuwa na muda tena na marubani.
 
Mungu alipanga..tujifunze kusema Asante Mungu maana sisi niwako unachokiamua juu mwanadamu hakuna wa kuzuia.

Waliokofa wamepumzika kutokana na mateso ya hapa duniani.

Tulio hai safari yetu bado inaendelea..
 
Muangalie taaluma ambazo somo la kuogelea lifanywe liwe compasory. Yale ya Darfur ya kipindi kile yasijirudieWananchi wanaokaa maeneo ambayo maisha yao ya kila siku wanahitaji kutumia boat kama moja ya njia za usafiri hawamasishwe kufanya mabonza ya kujifuza uogeleaji.

Mu hudumu alisema hawezi kufungua mlango wa dharura mpaka apewe boya. Hii inakupa ujembe maboya yalikuwepo kwenye ndege. Bahati mbaya alipofuatwa na rubani hakujiongeza kuwa avae boya definitely inaonesha ulikuwepo uwezekano wa ndege kuangukia majini.
 
Back
Top Bottom