Zitto sawa wahudumu walifungua mlango, je waliwapa abiria wao maboya?

Zitto sawa wahudumu walifungua mlango, je waliwapa abiria wao maboya?

Kama wasingekuwa wavuvi asingepona hata mmoja.

Boat ya uokoaji imefika baada ya masaa4 Mlango ulipofunguliwa abiria wangepaa???

Wahudumu wa ndege wenye Mafunzo wote walikimbia nje bila kutoa muongozo kwa wavuvi wawatoeje marubani, Majaliwa alienda kubomoa ili marubani watoke akakatazwa, hakuishia hapo alichukua kamba akafunga mlango wa rubani ili uvutwe na boat Bahati mbaya kamba ilikatika..

Wakati hayo yote yanafanyika Wahudumu wa ndege ambao wanajua nini cha kufanya ikitokea changamoto kama iyo, walidandia Mitumbwi kuokoa maisha yao na hawakuwa na muda tena na marubani.
Halafu wahudumu hao wawe mashujaa
 
Mlango wa Rubani ndio upi huo? Kwamba ana mlango exclusive embu nionyeshe kwa ndege Ile mlango wa Rubani upo kwa wapi?

Tatizo waTanzania mna ujuaji mwingi sana, eti alikatazwa? Na nani wakati ushasema vikosi vilikuja vimechelewa sana.

Nakubali wavuvi walisaidia sana kuokoa Raia ila haya mambo ya sijui majaliwa, cjui kuvunja mlango kwa Kasia, mara mlango wa Rubani, ni propaganda Ili kuhamisha mjadala wa uzembe wa serikali
Mkuu ni propogada ili zimunufaishe nani?
 
Muangalie taaluma ambazo somo la kuogelea lifanywe liwe compasory. Yale ya Darfur ya kipindi kile yasijirudieWananchi wanaokaa maeneo ambayo maisha yao ya kila siku wanahitaji kutumia boat kama moja ya njia za usafiri hawamasishwe kufanya mabonza ya kujifuza uogeleaji.

Mu hudumu alisema hawezi kufungua mlango wa dharura mpaka apewe boya. Hii inakupa ujembe maboya yalikuwepo kwenye ndege. Bahati mbaya alipofuatwa na rubani hakujiongeza kuwa avae boya definitely inaonesha ulikuwepo uwezekano wa ndege kuangukia majini.
Ukiingia kwenye ndege una elekezwa ilipo vifaa vya kujiokoa na jinsi ya kuvaa.
Mhudumu mmoja ana wezaje kuwagaeia abiria wote na viko chini ya kiti chako?
 
Maana yake yale maelekezo kabla ya kupaa hayakufanyiwa kazi
 
Kwa wanaijua na waliowahi kusafari na ndege watakubaliana na ukweli kuwa milango ya ndege inaweza kufunguliwa na mtu akiwa ama nje ya ndege au ndani ya ndege.

Wahudumu wa ndege wamefundishwa kufanya kazi hiyo wakati wa kawaida, dharura na hatari. Kumekuwa na mabishano yasiyo na tija na hatimaye taarifa ya awali ajali ya ndege ya precision air imejibu hoja hiyo.

Kwa kutumia ripoti hiyo ni dhahiri palikuwa na tahadhari zakutosha kuokoa watu zikianza na wahudumu na abiria wenyewe waliokuwa kwenye ndege. Ambazo pia zinaonyesha mapungufu.

Taarifa ya awali haionyeshi kama abiria walipewa maboya kabla ya kufunguliwa mlango ili wadumbikie ziwani- wangeponaje? Mpaka hapo bado majaliwa ndiye mwokozi aliyeokoa watu.

Hii hoja imekaa kishamba kishamba sana.
Sio kazi ya wahudumu kukuoatia abiria maboya bali ni jukumu la wahudumu kuelekeza maboya yaliko kwa kila abiria na namna ya kuyatumia inapotokea dharura kama ile.

Maboya hiwekwa chini ya kila siti hivyo kila abiria huelekezwa yalipo.

Si kazi ya wahudumu kugawa maboya tuache uboya
 
Sidhani kama ulishawahi kupanda ndege
Wewe ndiye unatia aibu alivyosema jamaa ni sahihi.
Kabla ndege haijaruka lazima wahudumu watoe maelekezo ya kujiokoa na kuelekeza maboya yalipo
 
Kwa wanaijua na waliowahi kusafari na ndege watakubaliana na ukweli kuwa milango ya ndege inaweza kufunguliwa na mtu akiwa ama nje ya ndege au ndani ya ndege.

Wahudumu wa ndege wamefundishwa kufanya kazi hiyo wakati wa kawaida, dharura na hatari. Kumekuwa na mabishano yasiyo na tija na hatimaye taarifa ya awali ajali ya ndege ya precision air imejibu hoja hiyo.

Kwa kutumia ripoti hiyo ni dhahiri palikuwa na tahadhari zakutosha kuokoa watu zikianza na wahudumu na abiria wenyewe waliokuwa kwenye ndege. Ambazo pia zinaonyesha mapungufu.

Taarifa ya awali haionyeshi kama abiria walipewa maboya kabla ya kufunguliwa mlango ili wadumbikie ziwani- wangeponaje? Mpaka hapo bado majaliwa ndiye mwokozi aliyeokoa watu.
Achana na Zitto na mipango yake🤣🤣🤣🤣
 
Wewe ndiye unatia aibu alivyosema jamaa ni sahihi.
Kabla ndege haijaruka lazima wahudumu watoe maelekezo ya kujiokoa na kuelekeza maboya yalipo
Mkuu ni sawa lakini nani huwa anafatilia? Taarifa inasema ndege ilihangaika kutua kwa karibu dakika 20- hao wahudumu na abira walifanya nini- huo mda ulitisha kumpa kila mtu boya- wazembe tuko wengi ila mnapotaka kuilaaumu serikali na kuwaacha wazembe wengine- hapo ndipo naona siyo sawa hata kidogo
 
Hii hoja imekaa kishamba kishamba sana.
Sio kazi ya wahudumu kukuoatia abiria maboya bali ni jukumu la wahudumu kuelekeza maboya yaliko kwa kila abiria na namna ya kuyatumia inapotokea dharura kama ile.

Maboya hiwekwa chini ya kila siti hivyo kila abiria huelekezwa yalipo.

Si kazi ya wahudumu kugawa maboya tuache uboya
Mimi mshamba niko nakula ugali wangu leo- wajanja mbona hawakuchukua maboya ambayo kumbe yalikuwa nchini ya viti walivyokalia. Wahudumu mnaowaona bora kuliko mvuvi Majaliwa waliwafungiliaje abiria mlango na kuwaingiza ziwani bila kuchukua tahadhari? Kama hao wajanja kama wewe walitoka na maboya walishindwaje kujiokoa sasa- maana ukiwa na boya wewe kilichobaki kukutisha ni mamba au kiboko vinginevyo uko salama- kwa ufupi wewe ni mshamba zaidi kuliko mimi
 
Mkuu ni sawa lakini nani huwa anafatilia? Taarifa inasema ndege ilihangaika kutua kwa karibu dakika 20- hao wahudumu na abira walifanya nini- huo mda ulitisha kumpa kila mtu boya- wazembe tuko wengi ila mnapotaka kuilaaumu serikali na kuwaacha wazembe wengine- hapo ndipo naona siyo sawa hata kidogo

Ni kweli huwa hatujali lkn sio kosa la wahudumu.
Katika hili labda tumlaumu rubani hakuwa mkweli kwa abiria akiogopa kuleta taharuki.
Kama alifahamu atatua ziwani alipaswa atoe tahadhari na kusisitiza maboya na utulivu.
Kitendo cha kutokuwa muwazi kwangu mimi naona amekwepa majukumu yake.

Mkiwa angani hali ya hewa ikiwa mbaya lazima mtangaziwe.
Mimi niliwahi kukutana na kipindi kigumu sana hewani kulikuwa na mvua kubwa sana na upepo mkali ulioisukasuka Dreamliner lakini rubani alitupa yahadhari kila wakati bila kujali taharuki.
 
Ni kweli huwa hatujali lkn sio kosa la wahudumu.
Katika hili labda tumlaumu rubani hakuwa mkweli kwa abiria akiogopa kuleta taharuki.
Kama alifahamu atatua ziwani alipaswa atoe tahadhari na kusisitiza maboya na utulivu.
Kitendo cha kutokuwa muwazi kwangu mimi naona amekwepa majukumu yake.

Mkiwa angani hali ya hewa ikiwa mbaya lazima mtangaziwe.
Mimi niliwahi kukutana na kipindi kigumu sana hewani kulikuwa na mvua kubwa sana na upepo mkali ulioisukasuka Dreamliner lakini rubani alitupa yahadhari kila wakati bila kujali taharuki.
Mkuu sasa ni kosa la marehemu wale 19? au hawa waliopona 26? au waliokuwa katika shughuli zao za kila siku ambazo zilikatizwa na habari za kutokea kwa ajali? Ndiyo maana muungozo wa kushughulikia ajali za ndege unakataza kuwa lengo la uchunguzi ziyo kutafuta mwenye makosa ila kujifunza ili kesho ya safari za ndege iwe salama zaidi
 
Hili pia unataka nikujibu????

Msikilize Majaliwa kwanzia dk 1:55


Wakati anayafanya hayo baadhi ya wafanyakazi wa ndege wenye utaalamu walikuwa hai, na hawakuonesha jitihada yoyote ya kuwaokoa marubani. Ila yeye asiye na skills za uokoaji alijaribu kadri ya uwezo wake.

Milango ya ATR 42 inavyofunguliwa

So huo mlango unavunjwa kwa Kasia? Let's be realistic.

Hiyo ndege uliyopost unaweza nionyesha mlango wa pilots ulipo?

Unawezaje kusema wahudumu hawakuonyesha jitihada? Wakati nao walikua busy kuokoa abiria wapite mlangoni.

Sijakataa Majaliwa alijitoa ila nachopinga ni narrative kwamba yeye ndio alikua pivotal watu 24 kupona. Nadhani ni vizuri kusema wavuvi wote walisaidia ila Majaliwa anapewa zawadi kwa manusura kupoteza uhai wake kuokoa maisha ya wengine.
 
Mkuu ni propogada ili zimunufaishe nani?
Ili lawama Zi divert kutoka kwa serikali maana "TUKIO" limezaa "mashujaa" so inakua blessing in disguise. Ndio maana mitandaoni hakuna anayejadili uzembe wa serikali Kila mtu anajadili nani alifungua mlango na wengine wanajadili jinsi Gani ajali ilikua bahati ya Majaliwa kuheshimika!!

Kazi ya TISS ni kuwa ahead of events to control narrative, na sio Tz tu nmekueleza hata Iraq, USSR, na Finland walitumia fictional stories za "snipers" kama Simon Hayha kujenga narrative kuwa vita ya dunia sio "hasara" Bali uwanja wa "mashujaa" kuonekana!!
 
Yaeza kuwa Kweli usemacho,

Bt Tuhoji Kwa HAKI, kama Majaliwa hakuenda kusaidia marubani Kwa kufunga KAMBA mlango iweje AZIMIE na kuokolewa na kujumuishwa na majeruhi?

Hivyo ni Kweli Majaliwa ataendelea kuwa shujaa, no matter what.

Huyo zito kabwe mbona Haongelei HUJUMA ya Umeme Rafiki yake MAKAMBA akiwa Waziri?
Mlango upi wa marubani kwenye hiyo ndege? maana umekazana mlango labda mie ndio siuoni.

Kingine Majaliwa kweli alitaka kufa kwenye jitihada hizo ila hakuwa peke yake mitumbwi ilishafika na ikabeba watu maana hata Majaliwa na majeruhi wangekufa kama sio mitumbwi kuwasaidia!!

So Majaliwa ni shujaa kama wale wavuvi na air hostess na yule mchina walivyopambana kuokoa wenzao..nachopinga ni kumkuza huyo dogo kana kwamba Ali act alone!
 
So huo mlango unavunjwa kwa Kasia? Let's be realistic.

Hiyo ndege uliyopost unaweza nionyesha mlango wa pilots ulipo?

Unawezaje kusema wahudumu hawakuonyesha jitihada? Wakati nao walikua busy kuokoa abiria wapite mlangoni.

Sijakataa Majaliwa alijitoa ila nachopinga ni narrative kwamba yeye ndio alikua pivotal watu 24 kupona. Nadhani ni vizuri kusema wavuvi wote walisaidia ila Majaliwa anapewa zawadi kwa manusura kupoteza uhai wake kuokoa maisha ya wengine.
Mkuu hiko kichwa kata ubadilishàne na mbwa mana Dah ni mpuuzi kiufupi
 
Back
Top Bottom