Zitto sawa wahudumu walifungua mlango, je waliwapa abiria wao maboya?

Jinsi nilivyoiona ile demage ya Impact kwa mbele ya Ndege sidhani kama ma Pilot walipona nahisi Majaliwa ameongeza chumvi kwenye stori yake.
 
Uko sawa kabisa, wote walishiriki hatukatai.

Nami nikuulize hakuna tukio lifanyike bila kuwa na main character au STARLING.

Kuzima akisaidia uokozi anapata sifa ya kuwa kiongozi wa tukio.

Fuatilia IPO thread ikionyenya ndege za ATR zinavyoweza kufungua both sides, nje na ndani.
 
Mkuu maadam umekiri wote wameshiriki basi tuhitimishe kusema Majaliwa ni shujaa kama ambavyo wavuvi na air hostess pia ni mashujaa.

Maana air hostess bila mvuvi asingeweza.

Majaliwa bila wavuvi wenzie asingepona.

Abiria bila wavuvi na Majaliwa wasingepona maana wangezama bila mitumbwi.

Nadhani hapo Iko balanced zaidi
 
Mkuu hiko kichwa kata ubadilishàne na mbwa mana Dah ni mpuuzi kiufupi
Naelewa mkizidiwa hoja mnakimbilia matusi. Unakuta unabishana na mtu hata tu fastjet hakuwahi panda ila anajifanya expert wa masuala ya anga!! Mnachekesha sana.
 
Naunga mkono hoja. Nini kinhetokea baada ya kufunguliwa mlango?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…