Zitto: Serikali ya awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti

Zitto: Serikali ya awamu ya Tano yatia fora kutofikia malengo ya Bajeti

Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kumbe ameshangilia? Nionyeshe wapi ameshangilia na Mimi nishangilie zaidi, maana nyie ndio mnaojikweza sasa mkiambiwa ukweli mnakua wakali.
 
Ondoeni huu UPUMBAVU wapinzani wenu wanayaonaga maanguko mapema wakiwashauri mnajifanyaga wajuaji likibuma mnataka tuwe wote jinga nyie
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna new investor wa njee, pesa inayokusanywa zinatoka nje kupitia SGR, ununuzi wa ndege za kifisadi baada pesa izunguke ndani, Sera za kodi hazishirikishi wafanyabiasha, Export ya mazao kama korosho haijafanyika,

Utapata wapi kodi kama ile pesa unayokusanya hailudi kulipa madeni ya ndani? Kama hauuzi sana mazao, bidhaa nje ili upate dollar? kama hauweki sera za kuwaboost wafanyabiashara wapya hasa wa ndani kupata vyanzo vya mitaji ili wewe upate kodi?

Kama umeweka washikaji zako kwenye sector nyeti za fedha kama Wizara ya fedha, TRA, TPA na Hazina ambao hawana creativity ya kutengeneza mapato ya kutosha au kutengeneza vyanzo vipya vya mapato?

Magufuli umetuangusha sana miaka 5 kwa sababu ya kutosikiliza ushauri.
Unaandika unachokijua au unakurupuka tu ? TPA mapato yamepanda halafu unasema yameshuka ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki huna kumbukumbu kabisa.
Ubongo wako umeshambuliwa na virusi.
Ni mara ngapi zitto na wengine wameshauri kuhusu uchumi na uendeshaji wa nchi, na unakumbuka majibu ya mkuu wako?

Alisema hashauriki, na ukimshauri ndiyo umeharbu kabisa.
Sasa unaka Zitto amshauri ili azidi kututojemeza kusikojulikana?
Wewe ni nyani kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Zitto ushawahi fanya biashara yeyote mkuu?
Maana hoja hapa ni kwamba Serikali iongeze mbinyo kwenye makusanyo..... kitu ambacho kinawaumiza sana wafanyabiashara wa Kati
....
Siasa za uchumi ni nzuri lakini context ni muhim zaidi
Umesoma vizuri bandiko lazitto?
Wewe unaonekana toka primary ulikuwa mvivu wa kusoma na hii ilitokana na uelewa wako mdogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba hashauriki, yeye ndiye anayejua kila kitu na ndiye mwamzi wa mwisho. Ndg yangu Zitto una muonea bure muache anawe mkono kwa kutimiza wajibu wake!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mataga huwa mnaongea kama mna funza kichwani.

Hivi nyinyi si ndio mlikuwa mnasema mnakusanya kodi mpaka mnavuka lengo?

Mlikuwa mnapenda kupika data wakati hesabu zimewapita kushoto.

Sasa mnataka ushauri gani?
 
Kuna sehemu umemuona akishangilia?
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si huwa tunaambiwa kila siku TRA imevuka malengo? Huwa ni malengo yapi inavuka? Huyu mzeee kahalibu sana nchi Raisi atakaye fuata atakuwa na kazi ngumu sana
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida sio kuwabinya wafanya biashara, bali ni mazingira magumu yanafanya Investor wakimbia, mapato yataongezeka pale tutakapo kuwa na investor wa wengi kwa sasa hawapo na waliopo wengi anachechemea mapayo yao yameshuka, yameshuka kwa sababu Watanzania Purchasing power zao ziko chinj
Hivi Zitto ushawahi fanya biashara yeyote mkuu?
Maana hoja hapa ni kwamba Serikali iongeze mbinyo kwenye makusanyo..... kitu ambacho kinawaumiza sana wafanyabiashara wa Kati
....
Siasa za uchumi ni nzuri lakini context ni muhim zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnashaurika??
 
Yaani mataga huwa mnaongea kama mna funza kichwani.

Hivi nyinyi si ndio mlikuwa mnasema mnakusanya kodi mpaka mnavuka lengo?

Mlikuwa mnapenda kupika data wakati hesabu zimewapita kushoto.

Sasa mnataka ushauri gani?
Wanapenda nambawakati hawajui kuhesabu
 
Zitto mdogo wangu unajitia aibu ,sote ni watanzania,sahau uccm na uact- wazalendo,sasa unaposhangilia jambo la serikali kukusanya mapato chini ya makadilio sioni kama ni sawa.

Wewe kama mtanzania na kiongozi unayo nafasi ya kushauri kipi kifanyike ili lengo la ukusanyaji mapato lifikiwe kwa asilimia mia moja

Unaposhamgilia ukusanyaji hafifu wa mapato, kwa dhana hii naona pia unafrahia watanzania kuishi maisha magumu na kukosa huduma muhimu ,wewe ni sawa na nyani anayeshangilia pindi kichaka kinapokuwa kinateketea kwa moto pasina kujua ikiwa kinatateketea chote atajificha wapi,

Pole sana mkuu zitto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hujui maana ya upinzani. Wapinzani lengo lao ni kukitoa chama tawala madarakani, kwa hiyo ni lazima upinzani uandike kushindwa kwa chama tawala ni wananchi waangalie mbadala. Sasa wewe unataka wapinzani wakisaidie chama tawala? Unaishi ulimwengu gani?
 
April 11, 2020

ZITTO KABWE AICHAMBUA RIPOTI YA CAG 2018/19
Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Mh. Zitto Kabwe (Mbunge Kigoma Mjini), akichambua ripoti ya CAG kwa mwaka 2018-19 na Ripoti za CAG kwa miaka 5 ya serikali ya awamu ya tano .
Hivyo uchambuzi huo unalenga ktk maeneo makubwa kumi muhimu :



Source: Mwanahalisi TV
  1. Kuporomoka kwa makusanyo ya kodi : hivyo serikali kushindwa kukidhi mahitaji ya bajeti na hivyo bajeti kukosa maana inayo kusudiwa ya uwiano wa makusanyo dhidi ya matumizi pia ufanisi wa kukusanya kodi.
  2. Deni la Taifa ktk awamu ya tano ya serikali ya CCM linakuwa kwa kasi kubwa yaani asilimia 12% kuliko kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi ulio ktk wastani wa asilimia. Serikali imeanza kushindwa kulipa madeni ya ndani mfano kulipia Hati Fungani yaani Government Bonds jambo lililo hatari maana yake wananchi na wanunuzi wengine wa hati fungani kukosa imani ya serikali kuweza kulipwa amana zao. Serikali inadaiwa kiwango kikubwa na watoa huduma ikiwemo wakandarasi, makampuni na watu binafsi. Wakala wa Barabara yaani TANROADS ni mdaiwa sugu mwenye deni kubwa yaani Bilioni 900. Serikali pia inaficha kipande cha madeni ya Hifadhi za Jamii yanayofikia trilioni 3 shilingi za kiTanzania na wastaafu kuwa ktk hatihati ya kushindwa kulipwa malipo yao.
  3. Ufisadi umerudi nchini kupitia transit goods kwenda nchi jirani umeongezeka sana kufuatana na taarifa ya CAG. Kiasi cha bilioni 300 ni kimepotea ktk awamu ya 5 huku awamu ya Jakaya Kikwete upotevu ulikuwa bilioni 45 tu.
  4. Kesi dhidi ya serikali yaani contingent liability kimefikia trilioni 1.8 za shilingi za kiTanzania kutokana na kutotii mikataba na wadai kukosa imani ya kulipwa.
  5. Manunuzi yasiyofuata sheria yafikia Shilingi Trilioni moja kwa unapproved suppliers.
  6. Serikali inaendelea kutumia fedha za umma bila kufuata katiba ibara ya 135 yaani kupitia mfuko Mkuu wa serikali yaani Consolidated fund bila idhini ya Controller and Auditor General.
  7. Ukaguzi wa Benki Kuu ya Tanzania umefanywa na GAG bila kutumia kampuni za Ukaguzi za binafsi Deloitte, KPMG n.k hivyo kukosa uwazi na uhuru wa kufanya ukaguzi huru unaoaminiwa na IMF, WORLD BANK na wabia wengine.
  8. Korosho zanunuliwa na fedha kutoka Benki Kuu na fedha hizi hazijarejeshwa Benki Kuu
  9. Ndege kununuliwa bila taratibu za kifedha zilizo wazi.
  10. SGR Reli, Stiegler's Gorge, Ukarabati reli MGR Mkoloni

Uchambuzi wa zito una chumvi nyingi kuliko ukweli halisi, na mostly anawelanga watu wasioweza kusoma ripoti za CAG.

Ukweli kuwa serikali haikusanyi kodi ya kutosha kulingana na malengo yake ni kweli, lakini chumvi ni pale anapotaka kuaminisha watu kuwa hali hiyo imeanza mwaka 2015 baada ya serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani. Mara nyingi serikali imekuwa inajiwekea malengo makubwa ambayo inashindwa kuyafikia. Swala kubwa ni namna ya kupanga malengo kuliko ukusuanyaji kwani ukiangalia namba, ni kwamba ukusanyaji umeongezeka kwa karibu 50% kama jedwali hili linavyoonyesha.
MwakaMalengo
(Trilion TShs)
Makusanyo
(Trilion TShs)
Upungufu
(Trilion TShs)
Asilimia ya
Upungufu
2009-20105.0284.6370.3917.776452
2010-20115.8495.550.2995.111985
2011-20126.4566.703-0.247-3.8259
2012-20138.4328.0520.384.506641
2013-201410.4129.2891.12310.78563
2014-201512.12110.321.80114.85851
2015-201613.36613.383-0.017-0.12719
2016-201715.10514.2710.8345.521351
2017-201817.31515.3861.92911.14063
2018-201918.2915.742.5513.94204
 
Back
Top Bottom