Kobaba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 492
- 342
Hao wanzanzibar acheni waende tu kelele zimezidi
khaa!!!! Out of the point. Umeenda chaka. La wazbar linahusu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanzanzibar acheni waende tu kelele zimezidi
Mkuu Ngongo Zitto anafanya hivyo kwasababu anajua ana maadui kibao,Mkuu VUTA-NKUVUTE mara nyingi kauli za Zitto hazina uzito we subiri siku miezi na miaka ya uchaguzi ikikaribia atatoa tena kauli nyingine yenye kupingana na hii.
CDM watakuja kujua umuhimu wa Zitto baadaye. Zitto ni jembe sana ndani ya CDM Hana siasa za maji taka Kama akina Lissu, Lema na Sugu. Hakuna asiyejua mchango wa Zitto kwa CDM. Hawa vijana akina Lema hawajengi CDM Bali wamekidhoofisha sana chama kwa siasa zao za maji taka. Pumzika kaka pumzika Zitto
Naona Babu atakwenda honeymoon tena Israel na kimwana chake cha kihaya kupumzika. Maana watakuwa wamepumua sana. Na wanazi wengi wa CDM hii ni furaha sana kwa ndugu yangu Molemo, Ben Saaanane na wengine wenye mrengo kwa kushoto juu ya Zitto. Maana na wao wanafikiri sasa wanaweza pumua na kujipatia vyeo ndani ya CDM. Yaani mi sijuwi kazi ya akina Ben na wenzake ndani ya CDM na umuhimu wa Zitto kwa siasa za nchi. Zitto ni mtu makini huwezi fananisha na Ben hata kidogo na kwa hakika watajuta baadaye.
Basi limejaa chawa mpaka kwenye kiti cha dereva. Basi hilo uking'ang'ania kuliendesha unaweza kuliangusha wakati wa kujikuna...
chawa ndio nini?wengine tumezaliwa na kukulia city centre!
Mkuu vipi maeneo ya Kinole bado nia ipo? kuna vingi vya kufanya kama nia ipo maana watu hawataki maneno wanataka yanayoonekana na yafanyike mapema siyo kusubiri wakati na kutoa ahadi teh teh teh ! awe nawe kama Zitto?Dr. Slaa na kambi yake sasa angalau wanaweza kupumua kidogo.
Wapika majungu wote siwaoni hapa watakuwa wanajipongeza huko waliko,
Yericko Nyerere, Ben Saanane na Molemo mpo wapi?
Ustaadhi Shelui... Nini kimempata? Naruhusiwa kuweka maneno RIP?Pumzika kaka pumzika Zitto