Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Alishasoma alama za nyakati kuwa 2015 hatapata kura!!!! 2010 aliponea chupuchupu!!! Ukitaka kujua hilo tafuta matokeo ya kura ya jimbo lake!!! Kwa upande wa uras akae kimya, tena asiongee!!! Labda akagombee kule wanakomtumia!!!
Alikoswa koswa na KAFU!
 
Acha kuweweseka na akili zako mgando ndugu,

Unatakiwa kutushukuru kwa hatua hii mpaka chama kilipofikia na kinapokwenda,

Usiongozwe na hisia zako mfu,

haha tunakushukuru sana wewe pamoja na Benn saanane (TeamMajungu) kwa kutumika ipasavyo.
Vijana mnaoishi kwa majungu hope tutaona mwisho wenu very soon.
 
CDM watakuja kujua umuhimu wa Zitto baadaye. Zitto ni jembe sana ndani ya CDM Hana siasa za maji taka Kama akina Lissu, Lema na Sugu. Hakuna asiyejua mchango wa Zitto kwa CDM. Hawa vijana akina Lema hawajengi CDM Bali wamekidhoofisha sana chama kwa siasa zao za maji taka. Pumzika kaka pumzika Zitto
Khaa!! wewe ndiyo umechelewa kweli. kama ameahidiwa mshahara na allowances kama ya mbunge/rais ili asigombee hizo nafasi utajuaje?? Siasa ndiyo zinawafanya waishi. Amka wewe :bored:
 
maccm bana.mpeni usajili dirisha dogo 2015 naona mnamhitaji xn

Uzuri wa CDM ina watu makini sana! Zitto alishanunuliwa na ccm kuihujua CDM na wataalam wa mambo wameliona hilo mapema, ili asiabike inabidi astaafu mwenyew. CDM ni taasisi anaejidanganya bila yy haitasonga mbele atapotea kama moshi! hata angekua Mbowe au Dr Slaa.
 
Dah! ina maana Zitto atakuwa kaona chombo sahihi cha kutolea habari kama hizi ni majira? Na kwa nini Habari hii itoke leo wakati bunge linaanza Dodoma? Any way jaalia imetoka kwa bahati nasibu, Hivi tunakumbuka mjada uliokuwa hot kabla ya huu? Wenzangu hamuhisi kwamba mjadala huu umeletwa sasa ili kufunika mjadala wa Sembe ?Kwa nini mjadala huu unakuja baada ya kumalizika mkutano wa CC ya CCM mjini DODOMA? Hivi wenzangu ninyi mmepata fununu kwamba kwenye kikao cha DODOMA; CCM wamekubaliana kubadili mbinu? Any way. ngoja tumsikilize zitto mwenyewe aseme kwanza. Kueni makini kwenye michango yenu kwenye mada hii mnayoitoa kabla ya Zitto mwenyewe hajatokeza humu.
YYYES! Kweli bana. Anaweza kujitokeza na kukanushayote yanayosemwa na hivyo kupoteza maana ya yote yaliyojadiliwa!
 
Last edited by a moderator:
haha tunakushukuru sana wewe pamoja na Benn saanane (TeamMajungu) kwa kutumika ipasavyo.
Vijana mnaoishi kwa majungu hope tutaona mwisho wenu very soon.

kwanini unadhani ni watu wa majungu ? Unaweza kuthibitisha ?
 
Asepe kwani anajulikana kwamba yeye ni CCM kwani hata kukitokea mabomu Arusha hajawahi kuja ni bora kukuosa hilo jimbo kuliko kua na mnafiki kila la heri Zitto Morgani anajuta nawe pia
 
Ooh no! It's just poli-technics, the man has expired in the battle of competence and now he is trying to natch the angle of charisma for which people will come with the mercyface over him. Let hi go, we still have pure guys in de party.... think of all we can say they are president material, i.e. Slaa bado ni jembe, kuna Mbowe, Mnyika, Lisu nae anafaa sana koz kwa hali ya nchi yetu lisu atatupandisha chati ya dunia ya kutawaliwa na wanamapinduzi sahihi.Ila ni muono tu, maana zitto sikuzani kama anafaa, na wengine wanao-suit vizuri the position wanakasoro.
 
Naona vijana wa lumumba mmeteka topic.

Lazima wapanic mkuu, si walishamnunua? Ni kitu cha kushangaza sana watu wa CCM wanampigia debe Zitto kwa maslahi gan? kama alikula pesa imepotea hiyo! CDM cyo Cuf ama Nccr waliyoivuruga watakavyo.
 
Zitto hadi wasanii wa bongofleva wamemchoka wamemfukuza wamemkataa asiwaingilie kwenye mambo yao,,eti anawashauri kutopeleka nyimbo zao kwenye kampuni za ringtones wakati yeye kapeleka yake ya lekatutigite anachuma pesa..dhambi zinamtafuna nafsi inamsuta,
 
Last edited by a moderator:
rejea kwa Balal Najib na Charitu Ngilu kule Kenya, kweli Zitto ni mjanja....naomba uache siasa ujkagombee uwaziri
 
super genius zitto anapima upepo unaelekea wapi, ila kiukweli atagombea ubunge kgm mjini na kumbwaga yule mnyarwaranda
 
Fisadi wa kwanza kupumua atakuwa Dr. Slaa.

Halafu kijana wa Slaa, Ben Saanane, naye atakuwa hana tena sababu ya kutembea na sumu mfukoni!

Kama Slaa ni fisadi naona neno fisadi limepoteza maana yake.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Zitto anaikacha siasa kwa kuwa ameshachungulia mbele kuna nn, tukumbuke kwamba rasimu ya katiba haitaki mawaziri wabunge, na vipengele vingi vinataka viongozi wakubwa wa sehemu mbalimbali kutokuwa viongozi wa vyma vya siasa kwa miaka mitano, Kabwe ni kijana wa malengo na bado anaamini CDM itachukua nchi 2015, anajiweka pembeni ili atangeneze CV ya kuwa kiongozi asiye wa kisiasa katika miaka ya mbele ambaye atatimiza lengo la kuwaletea maendeleo WATZ, kachungulia fursa, BIG UP KABWE MUNGU AKUPE UJASIRI
 
Zitto bila Jakaya Kikwete ni sawa na Samaki nje ya Maji. JK atamaliza muda wake 2015 na Zitto anamaliza muda wake.
Ni sawa na Pasco. Yeye bila Lowassa ni sawa na bure!
 
Last edited by a moderator:
Kuna msanii alimchana juzi kuwa wakati Sugu akikomaa na wezi wa kazi za wasanii yeye Zitto alikua busy kumchochea Ruge dhidi ya Sugu huku wakishirikiana na January Makamba kinafiki.

Nimrodi Mkono amemuunganisha na mafisadi.Uhusiano wake na Rostam Aziz alisema ulianza baada ya kutambulishwa kwake na mbowe.Ni aina ya watu wanaotambulishwa kwa mtu katika mazingira ya kikawaida tu ila baada ya hapo yeye anatumia nafasi ya kumjua mtu huyo kupiga dili na hata hujuma kwa taasisi.Hajawahi kukanusha au kueleza walichozungumza na Jack zoka.

Haha...kuna picture km 2 hivi nilimuona Sugu Jukwaani....wakiwa na Zitto, mikono ya watu ilikuwa juu na sugu km anashuka mistari kule arumeru na sehemu nyingine..Zitto alikuwa akionekana kudharau kwa kumwangalia km vile commedian fuani, ambaye anataka steal the show....

He is very unlucky indeed...Kila mbunge kamfunika pale CDM...wabaki na mama yake wakiigiza....sijui mama na mwana watakuja na drama gani tena la kuihujumu CDM.

Dogo alipiga kelele sana ya ringtones huku akikimbizana na ukabila wa kigoma ili wasanii wajiga wenye fikra za pembezoni waingie line, nao wakajaa wakidhani yeye ndio myonya damu wa polepole....Kigoma watakuwa wamelaaniwa.Vurugu zote jamaa kawauza tena..?

Akicheza wasanii wake wa kigoma nao watamtafuna ktk SEMBE...yetu macho....kwa hawa vijana wanaopenda kuwekeza esteem zao ktk material things, sifa na kutaka madaraka kwa hali na mali.

Labda arudi kuzimu akawaulize km mende hawafi mwaka huu?
 
Back
Top Bottom