Alikoswa koswa na KAFU!Alishasoma alama za nyakati kuwa 2015 hatapata kura!!!! 2010 aliponea chupuchupu!!! Ukitaka kujua hilo tafuta matokeo ya kura ya jimbo lake!!! Kwa upande wa uras akae kimya, tena asiongee!!! Labda akagombee kule wanakomtumia!!!
Acha kuweweseka na akili zako mgando ndugu,
Unatakiwa kutushukuru kwa hatua hii mpaka chama kilipofikia na kinapokwenda,
Usiongozwe na hisia zako mfu,
Khaa!! wewe ndiyo umechelewa kweli. kama ameahidiwa mshahara na allowances kama ya mbunge/rais ili asigombee hizo nafasi utajuaje?? Siasa ndiyo zinawafanya waishi. Amka wewe :bored:CDM watakuja kujua umuhimu wa Zitto baadaye. Zitto ni jembe sana ndani ya CDM Hana siasa za maji taka Kama akina Lissu, Lema na Sugu. Hakuna asiyejua mchango wa Zitto kwa CDM. Hawa vijana akina Lema hawajengi CDM Bali wamekidhoofisha sana chama kwa siasa zao za maji taka. Pumzika kaka pumzika Zitto
maccm bana.mpeni usajili dirisha dogo 2015 naona mnamhitaji xn
YYYES! Kweli bana. Anaweza kujitokeza na kukanushayote yanayosemwa na hivyo kupoteza maana ya yote yaliyojadiliwa!Dah! ina maana Zitto atakuwa kaona chombo sahihi cha kutolea habari kama hizi ni majira? Na kwa nini Habari hii itoke leo wakati bunge linaanza Dodoma? Any way jaalia imetoka kwa bahati nasibu, Hivi tunakumbuka mjada uliokuwa hot kabla ya huu? Wenzangu hamuhisi kwamba mjadala huu umeletwa sasa ili kufunika mjadala wa Sembe ?Kwa nini mjadala huu unakuja baada ya kumalizika mkutano wa CC ya CCM mjini DODOMA? Hivi wenzangu ninyi mmepata fununu kwamba kwenye kikao cha DODOMA; CCM wamekubaliana kubadili mbinu? Any way. ngoja tumsikilize zitto mwenyewe aseme kwanza. Kueni makini kwenye michango yenu kwenye mada hii mnayoitoa kabla ya Zitto mwenyewe hajatokeza humu.
haha tunakushukuru sana wewe pamoja na Benn saanane (TeamMajungu) kwa kutumika ipasavyo.
Vijana mnaoishi kwa majungu hope tutaona mwisho wenu very soon.
Dr. Slaa na kambi yake sasa angalau wanaweza kupumua kidogo.
Naona vijana wa lumumba mmeteka topic.
Fisadi wa kwanza kupumua atakuwa Dr. Slaa.
Halafu kijana wa Slaa, Ben Saanane, naye atakuwa hana tena sababu ya kutembea na sumu mfukoni!
YYYES! Kweli bana. Anaweza kujitokeza na kukanushayote yanayosemwa na hivyo kupoteza maana ya yote yaliyojadiliwa!
Kuna msanii alimchana juzi kuwa wakati Sugu akikomaa na wezi wa kazi za wasanii yeye Zitto alikua busy kumchochea Ruge dhidi ya Sugu huku wakishirikiana na January Makamba kinafiki.
Nimrodi Mkono amemuunganisha na mafisadi.Uhusiano wake na Rostam Aziz alisema ulianza baada ya kutambulishwa kwake na mbowe.Ni aina ya watu wanaotambulishwa kwa mtu katika mazingira ya kikawaida tu ila baada ya hapo yeye anatumia nafasi ya kumjua mtu huyo kupiga dili na hata hujuma kwa taasisi.Hajawahi kukanusha au kueleza walichozungumza na Jack zoka.