Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Me kama kijana noma sana,chezea chaga wewe,kila utaemkuta tanzania mzima serekalini au nje lazima awe cdm,shughili zote za katibu mkuu akiondoka anapewa mnyika afanye eti kwasababu ni wa kilimanjaro mpare.
Kwani john mnyika ni mpare?
 
Sina hakika kama kweli zito amefikia maamuzi haya! kama ni kweli nadhani sitakosea nikisema kijana mwenzetu amekurupuka, huko vyuoni anakotaka kukimbilia anakujua vizuri? Ni kweli ameona panamfaa zaidi? Binafsi namuona kama muoga na mtu asiyeaminika, matamshi yake katika siku za karibuni yamekuwa yakijichanganya sana, nashindwa kujua chanzo cha hali hii kwa kijana mwenzetu. Kama ni kuogopa kung'olewa kucha na kumwagiwa tindikali na, au virungu na mabomu ya polisi, basi hafai kuwa mwanasiasa, siasa ni ujasili na kujitoa muhanga mpaka lengo lifikiwe!
 
ni wazi zitto amepima na kuiridhisha kuwa hana mvuto tenma hata kidogo ndani ya siasa za tanzania na ameamua kujitoa mapema.kujihusihsa kwake na hyjuma dhidi ya chama kama vile kufadhili PM79MASALIA) na aina nyingine kama kushawishi wagombea wa cdm kujitoa katika mbio za ubunge 2010 vinatosha kabisa kumueleza kuwa hatakiwi tena.SAFARI NJEMA
 
Zitto umewahi kusikia amekamatwa toka awe mbunge?ni mtu makini siasa sio kufanya maandamano ya sio na msingi wowote Zitto ni msomi hakurupuki na nimzalendo wakweli sema amekosea kwenda chadema
 
ki ukweli CHADOMO wanampaka matope sana huyu mtu lakini mbele ya umma he is miles ahead of you CDM
 
ki ukweli CHADOMO wanampaka matope sana huyu mtu lakini mbele ya umma he is miles ahead of you CDM

Ahead of????ondoa neno you hapo!!!!

Kama he is miles away ndo aoneshe muda ukifika yeye mwenyewe amewaambia msiwaamini wanasiasa sasa wewe hii maneno yako unayotoa hapa unatumia kipimo gani
 
Ahead of????ondoa neno you hapo!!!!

Kama he is miles away ndo aoneshe muda ukifika yeye mwenyewe amewaambia msiwaamini wanasiasa sasa wewe hii maneno yako unayotoa hapa unatumia kipimo gani
ndugu namaanisha nilichoandika na kinaeleweka kama nimekugusa changia kwa busara sio kuwa biased.... CHADEMA is a "legal person" hivyo neno you lipo mahala sahihi......JF ni forum huru kwa watu huru wenye mtazamo huru........., jenga hoja, ushishambulie hoja ya mwenzio...........nyau wewe
 
Mnafiki mkubwa ondoka,umetoa siri nyingi za chama,mdini,mshirikina na nchonganishi.ONDOKA HARAKA SANA.
 
mtoto kigeugeu huyu kwanza alishasema hivo hivo 2010
 
amekaririwa kuwa hagombei ubunge au urais na hajasema kama anaachana na siasa au chadema sasa majuto yako wapi hapo?
 
Pole sana Zitto, bado tunakuhitaji kaka.
 
Mbona unapenda kuchokonoa mambo ya ndani ya wazee? sasa unataka aache kwenda na kimwana aende na wewe? Jadili siasa siyo mapenzi,ebo!
 
wew majitaka mwenzake Zitto kakifanyia nini CDM?AU PLATFORM YA CDM IMEMUWEKA HAPO ALIPO?ASSUME CDM HAIPO NANI ZITTO?
 
Bora! au ndo anarudi ze magamba? au ameshaahidiwa 'ukuu wa wilaya'? kwani kazi aliyoifanyia ni kubwa anahitaji kufarijiwa!:rip:
 
"Hiki ni kipindi cha mwisho kwangu kujihusisha na siasa kwani nimechoka nazo, nitatafuta chuo nikafundishe na kama nitakosa ni bora nikalime michikichi... sihitaji urais," alisema.
Bado natafakari Waraka wa mabadiliko 2013 kuwa MM ajifanye anaachana na masuala ya kugombea ili kuwapumbaza kina Mbowe.
 
Chadema ni chama ambachokwahakika kiewavuta watu wengi ndani na nje ya nchi.
Kazi hiyo imetokana na hoja zenye mashiko za watu kama zito.mnyika.mdee.mgimwa nk.hatujakipenda chadema kwaajili ya mjina hivyo maamuzi ya jazba hayata kijenga chama bali yatakizorotesha.
 
hilo lilikuwa limeandikwa kwenye waraka sababu kuwafanya viongozi waliopo wabweteke na lingine lilikuwa kuibua mabo ya ruzuku ili wanachama waone viongozi waliopo ni mafisadi ili kujisafishia njia ya kwa mwenyekiti bila kujua anaharibu chama!! Taamaa ya madaraka ni mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…