Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015


sijui na wewe unajua maana ya maji taka kweli au unaongea tu ilu mradi
 
am ssure atagombea,ni kupitia CCM au NCCR,Zitto wa sasa sio yule wa enzi zile za uzalendo wa dhati wa maneno na vitendo, time will tell!!
 
Sipati picha jinsi gani Dr Slaa atakavyo furahishwa na hii habari. Babu relax, Zitto is no longer your threat.

kwa mawazo ya Bbau anaweza kufikiri amepata ahueni, lakini kiuhalisia kuna kitu Mh. ZITTO amegundua hakiendi sawa ndani ya CDM na anaamua kujiweka pembeni.
 
Dr.W.Slaa atapumua sara manake usingizi walikuwa hawaupati na Ben Saanane atapumzika katika kazi aliyokuwa amepewa na slaa. SUMU itapa pumziko sasa.
 
Last edited by a moderator:
am ssure atagombea,ni kupitia CCM au NCCR,Zitto wa sasa sio yule wa enzi zile za uzalendo wa dhati wa maneno na vitendo, time will tell!!
Teh teh teh, hofu ya nini mkuu? ZITTO ni pblic figure na hapendi mambo ya kinafiki nafiki na huenda ameona aliko mambo siyo shwari akaamua kuona mbele.
 
Sasa kama CDM wameshamvuruga afanyeje?

Habari njema kwa Ben maana yeye kila siku anapambana na Zitto ndani ya CDM badala ya kukijenga chama. Naona huyu Ben anatumika sana na Babu kumpaka matope Zitto.

CDM mbaya wenu sio Zitto Bali ni sera zenu za maji taka zisizokuwa na kichwa wala mkono. Cha moto mtakiona came 2015 na hamtaambulia kitu tuombe uzima.
 
Yaani gazeti lililoandika ni Majira tu.....interesting japo nimeiona pia hii habari

Lakini pia hakuna jipya hapa
 
Teh teh teh, hofu ya nini mkuu? ZITTO ni pblic figure na hapendi mambo ya kinafiki nafiki na huenda ameona aliko mambo siyo shwari akaamua kuona mbele.

Umenena mkuu awaachie siasa zao za maji taka akina Ben....maana yeye kila siku akiamka anamfikiria Zitto. Huyu jamaaa Ana wivu sana tena anafikiri Zitto akipumzika yeye atapumua na kuwa Kama Zitto laa hasha hawezi kumfikia Zitto hata kwa asilimia 2. Yaan sawa na kufananisha na Tembo na digidigi
 
Mkuu,

Inaelekea umekatoshwa tamaa na kutokutekelezwa kwa kauli ya Mbowe kuwa hatagombea tena uenyekiti.

Unaweza ukawaza kwa kadri nafsi yako inavyoridhika ila nimechangia kuhusu kilichoandikwa pale juu and nothing less nothing more...!
 
Zitto uislam wake, umemponza.
Babu roho nyeupeeeeee.
 
Dr slaa lazima achinje mbuzi leo kwani hizi ni habari njema sana kwake.
 
Mzee Mtei bora angesema tu anataka alipwe shilingi ngapi ili akiache Chadema kiwe chama cha wanachama.

Hii tabia ya Mtei kusema baadhi ya wanachama are from nowhere kwa kweli haifai kabisa.

Mtei alipwe pesa zake, chama kiwe cha wote...
 
Unaweza ukawaza kwa kadri nafsi yako inavyoridhika ila nimechangia kuhusu kilichoandikwa pale juu and nothing less nothing more...!

Mbowe amewakatisha tamaa wengi sana kwa kutoa kauli za uongo. Usikate tamaa lakini mkuu, siku hazigandi...
 
Huyu zitto ni jembe sana bado tunahitaji chalenge zake sana maana bado kijana na mawazo ya kujenga sio kama wale wafanya vurugu

kilicho mdhoofisha zito ni kuwa na dalili za umamluki co alikuwa anaonekana kutumika na ccm ndio mana ccm wanamuunga mkono.
 
kilicho mdhoofisha zito ni kuwa na dalili za umamluki co alikuwa anaonekana kutumika na ccm ndio mana ccm wanamuunga mkono.

CCM inaunga mkono mawazo ya yeyote yule yanayodhihirisha nia njema kwa maendeleo, mshikamano, ulinzi na usalama wa Taifa...
 
Ila naona fluency ya English language kwa zitto ni kama inalegalega vile? au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…