Dr.W.Slaa atapumua sara manake usingizi walikuwa hawaupati na Ben Saanane atapumzika katika kazi aliyokuwa amepewa na slaa. SUMU itapa pumziko sasa.
Watu wengine mna majungu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr.W.Slaa atapumua sara manake usingizi walikuwa hawaupati na Ben Saanane atapumzika katika kazi aliyokuwa amepewa na slaa. SUMU itapa pumziko sasa.
Zitto sio tishio kwa Dr Slaa bali anajitanabaisha tu,yeye ndo kapima kina cha maji akaona kirefu
Umenena mkuu awaachie siasa zao za maji taka akina Ben....maana yeye kila siku akiamka anamfikiria Zitto. Huyu jamaaa Ana wivu sana tena anafikiri Zitto akipumzika yeye atapumua na kuwa Kama Zitto laa hasha hawezi kumfikia Zitto hata kwa asilimia 2. Yaan sawa na kufananisha na Tembo na digidigi
Ukitaka wasahau hadi viatu zungumzia masuala ya SEMBE kama utawakuta. Leo hawatoki kwenye huu uzi tena bado baba lao Ritz hajaiona hii thread lol!Naona vijana wa lumumba mmeteka topic.
Kutokana na principles of demand and supply, habari hii itasababisha bei ya sumu madukani kushuka.
Wote Mh. Zitto, hata mwaka 2010 alianza hivi hivi mara sitaki mara nataka lakini mwisho wake akagombea. Tunasubiri atuletee changamoto kwenye demokrasia ya ndani ya cdm pale watakapoanza kuchaguana.
Anaye dhania kuwa bila Zito cdm itakufa huyo ni gamba gumu A
Kutokana na principles
of demand and supply, habari hii itasababisha bei ya sumu madukani
kushuka.
Yaan sawa na kufananisha na Tembo na digidigi
CDM watakuja kujua umuhimu wa Zitto baadaye. Zitto ni jembe sana ndani ya CDM Hana siasa za maji taka Kama akina Lissu, Lema na Sugu. Hakuna asiyejua mchango wa Zitto kwa CDM. Hawa vijana akina Lema hawajengi CDM Bali wamekidhoofisha sana chama kwa siasa zao za maji taka. Pumzika kaka pumzika Zitto
Ukitaka wasahau hadi viatu
zungumzia masuala ya SEMBE kama utawakuta. Leo hawatoki kwenye huu uzi
tena bado baba lao Ritz hajaiona hii thread lol!