Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Naona Chadema Kaskazini saizi ni furaha tu, habari njema kwao.
Vile vile Zitto, kutokuwepo kwenye wagombea ubunge ni pigo kubwa kwa Chadema ataondoka na kura zake.
Zitto, alikuwa ana balance chama kutokuwepo kwake ndiyo safari ya Chadema kupotea kwenye medani ya siasa.
Chadema sasa kitabaki kuwa chama cha Kaskazini, ndoto za kina Nassari zimetimia.
Vile vile Zitto, kutokuwepo kwenye wagombea ubunge ni pigo kubwa kwa Chadema ataondoka na kura zake.
Zitto, alikuwa ana balance chama kutokuwepo kwake ndiyo safari ya Chadema kupotea kwenye medani ya siasa.
Chadema sasa kitabaki kuwa chama cha Kaskazini, ndoto za kina Nassari zimetimia.
Last edited by a moderator: