Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

There are currently 484 users browsing this thread. (79 members and 405 guests).
 
Ninachojua kwa mujibu wa Rasimu ya Katiba ambayo itapita, ZZK atakuwa WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI, (waziri hatakuwa mbunge na atapewa kazi ya uwaziri kwa kuzingatia taaluma yake) KAKA ZZK yupo sahihi na naamini atafanikiwa kufufua uchumi wetu. Maccm mlie tu, 2015 huyohuyo ZITO atapeleka charge mahakama ya ICC kufilisi majangili yote.
sasa akina Mnyika, Mbowe, Sugu, Lema etc wakigombea ubunge nani atakua waziri endapo CHADEMA watashinda kama katiba ikisema wabunge wasiwe mawaziri?
 
Mgombea urais Chadema kabakia Dr.Slaa peke.

Mbowe, hawezi tena kugombea katiba mpya mgombea urais lazima Degree.

Basi na iwe first class or upper second...isewe tuu degree kama vile za kuhamasisha wamasai wasome (Lowasa) au GPA ya 2.0 ya Mh. rais wa sasa tena hapo baada ya kusema huyu ni kijana wetu ktk chama.

Ila mimi ktk maoni yangu raisi anatakiwa kuwa Mtanzania wa kuzaliwa na mwenye akili timamu umri wa miaka 40 na kuendelea,asiwe na mawaa
 
Habari kama hii ikiwa niya kweli haitashangaza wale wanaozijua siasa za upande wake.

Bunge litakosa kiungo muhimu katika ujenzi wa taifa unaokuwa based on national interest.

A luta continua
 
Wewe Sixgate, kama Kuhama Chama ni Usaliti basi Slaa na Mtei huwezi kuwaacha kwenye List ya Usaliti, mtei 1980, Slaa 1995 tena huyu slaa hakuondoka CCM kwa kutokubaliana na sera bali kwa kunyimwa kugombea Ubunge kupitia CCM!
 
Source Majira

Mbunge wa kigoma kaskazini bwana Zitto Kabwe kafichua siri nzito na kudai hana mpango wa kugombea urais mwaka 2015 na wala hatagombea ubunge ila anataka kutafuta chuo na awe mwalimu wa chuo na analenda sasa kufundisha maswala ya uchumi na mazingira ndio dhamira yake

Chezea siasa wewe! huyu keshapigwa kipapai cha kwenda mwana kwenda, akijifanya ngangari watamtia shakizi; mtamuokotea kwa Kagameeeeeeeeeeeee
 
Zitto katoa kauli hiyo akiwa wapi na katika mazingira yapi? achaneni na haya Magamba yanayoikuza hii story!!
 
Sipati picha jinsi gani Dr Slaa atakavyo furahishwa na hii habari. Babu relax, Zitto is no longer your threat.

Wewe unaonekana wazi kua una Chuki binafsi na Dr Slaa! Slaa haumizwi kichwa na Zitto ata siku 1.
 
sasa akina mnyika,mbowe,sugu,lema etc wakigombea ubunge nani atakua waziri endapo cdm watashinda kama katiba ikisema wabunge wasiwe mawaziri?

Tatizo mnakalili! kwani cdm ni hao tu mnao waona? kuna watu na shule zao na wapiganaji na ni watendaji wazuri tu hawataki kuwa wanasiasa na wapo cdm! mfano Dr Kitila si mbunge lakini ni cdm.
 
Sio Zitto ninaemfahamu na aliyetukimbia kwenye mgomo Chuo akidai alikua Bagamoyo kwnye forum. nasubiri.
 
CDM watakuja kujua umuhimu wa Zitto baadaye. Zitto ni jembe sana ndani ya CDM Hana siasa za maji taka Kama akina Lissu, Lema na Sugu. Hakuna asiyejua mchango wa Zitto kwa CDM. Hawa vijana akina Lema hawajengi CDM Bali wamekidhoofisha sana chama kwa siasa zao za maji taka. Pumzika kaka pumzika Zitto

Wewe umeambiwa kua Zitto Anatoka Cdm au? Zitto atabaki kua Cdm ata km asipogombea hizo nafasi!
 
Kwangu kuwaamini wanasiasa inakuwa ngumu sana,hasa katika maneno kama hayo ya Zitto........ila kama ameamua kwa dhati basi tunamuombea heri,hata huko vyuoni anaweza kuikomboa Tanzania kwa elimu atakayotoa na sio lazima awe mwanasiasa.
 
Tatizo mnakalili! kwani cdm ni hao tu mnao waona? kuna watu na shule zao na wapiganaji na ni watendaji wazuri tu hawataki kuwa wanasiasa na wapo cdm! mfano Dr Kitila si mbunge lakini ni cdm.
kitila nae si anataka ubunge kule kwa mwiguru?.ukweli cdm hawana watu wa kutosha kucover kwenye ubunge na uwaziri wa muungano na wa serikali ya Tanganyika kama itakuwepo na kuna uwezekano jimbo la zito likaenda NCCR au CCM,na pia kule kwa she buda nako jimbo litawaponyoka.
 
Sijui amechelewa wapi siku zote!Atakuwa na pension nzuri.Ile tume ya Bomani walimlipa vizuri.
 
Mbowe Hana degree lol kweli Babu kabakia mwenyewe na lazima chuo alichosoma kiwe miongoni mwa vyuo vinavyotambulika na TCU sidhani Kama Urbanian vipo kwenye list ya TCU

Kama hakipo basi itakuwa imekula kwake
 
Back
Top Bottom