Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Elections 2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

Kamsome tena katikati ya mstari utajua anachuki na Zito wala hana fact yeyote.

Chuki gan ninayo dhidi ya Zitto? BTW ZZK anaamini ili uwe mwanasiasa mzuri lazma urotate katika media iwe kwa negative or positive. Anaamini ili uwe vichwani mwa wananchi lazma uwajengee controversy to keep them into big awaits. Anaamini kuwa baadhi ya watu ni zaidi ya taasisi km anavyojiona yeye..which is wrong..hata taasisi ya ndoa ili ikamilike inahitaji watu wawili, familia inahitaji watu, hivyo hata chama kinahitaji watu. ZZK is no body km sio chadema ila chadema will remain firm without Zito, dokt slaa au hata mbowe. Huwa watu wanacheza na taasisi hawajui nguvu yake.

Taifa ambalo haliheshimu taasisi limekufa. Zitto anahisi ni maarufu kuliko chadema kumbe sio kweli, arudishe mawazo yake nyuma afikiri upya.
 
Watanzania tubadilike Zitto kuna mada kaanzisha kuhusu ubadhirifu badala ya kujadili hilo la msingi kwa wingi tunajazana kwenye huu ujinga ambao hauna mantiki kabisa!!

Zitto hajafikisha umri wa kugombea urais hivyo vyovyote vile HAIWEZEKANI kwasasa hivyo kusema hatagombea haipaswi kuwa issue kubwa kama mnavyoifanya hapa sasa!!!

There are currently 520 users browsing this thread. (73 members and 447 guests)
 
Last edited by a moderator:
Source Majira

Mbunge wa kigoma kaskazini bwana Zitto Kabwe kafichua siri nzito na kudai hana mpango wa kugombea urais mwaka 2015 na wala hatagombea ubunge ila anataka kutafuta chuo na awe mwalimu wa chuo na analenda sasa kufundisha maswala ya uchumi na mazingira ndio dhamira yake

duuu...
 
Hivi vyuo alivyosoma Dr Slaa vinatambulika na TCU maana kuna rafiki zangu walisoma hivyo vyuo na walipotaka kufanya masters pale UDSM walikataliwa sijuwi kwa Dr Slaa itakuwaje?
 
Huyu sii mbambanaji,ina maana hakua na malengo ya kupambana mpaka mkoloni mweusi ang'oke?
 
Msiwe na wasiwasi wapendwa. Zito ataendelea kuwepo kwenye siasa za Tanzania. Zito atateuliwa kuwa waziri wa Uchumi na fedha kwenye serikali ya CHADEMA. Si yeye tu, hata wabunge wengine kama Mnyika, Lisu, Mbowe, Msigwa, n.k. wanaweza wasigombee bali watasaidia sana kwenye kampeni. Hawa ndiyo watakuwa mawaziri. Kwenye katiba mpya, mbunge hataweza kuteuliwa kuwa waziri.
 
lazima kuna jambo si bure. aamue tu kuachana na siasa namna hii? nina mengi ya kujiuliza bado.
 
I hope Zitto kafanya hivi kutoka moyoni.....Naamini pia hata kama atakuwa Lecturer bado ataitumikia Chadema. Nitasikitika sana kama atakua ameamua hivi kwa kushinikizwa na maisadi au watu waioitakia mema chadema! kuhusu nafasi ya Urasi Dr Slaa wala hana uchu wa madaraka. Tukumbuke kuwa hata kipindi kile anagombea hakua anaiwania nafasi hiyo bali aliombwa na viongozi wa chama. Sasa sizani kama uamuzi wa Zitto unaathairi yeyote + or - kwa viongozi wake.
 
Msiwe na wasiwasi wapendwa. Zito ataendelea kuwepo kwenye siasa za Tanzania. Zito atateuliwa kuwa waziri wa Uchumi na fedha kwenye serikali ya CHADEMA. Si yeye tu, hata wabunge wengine kama Mnyika, Lisu, Mbowe, Msigwa, n.k. wanaweza wasigombee bali watasaidia sana kwenye kampeni. Hawa ndiyo watakuwa mawaziri. Kwenye katiba mpya, mbunge hataweza kuteuliwa kuwa waziri.
hao uliowataja kama hawatagombea ubunge kuna hatari majimbo yakarudi ccm kwa maana wao ndo wanaushawishi kwa wapigakura wao.na kama hawapati majimbo ya kutosha hawawezi kuunda serikali.
 
CDM watakuja kujua umuhimu wa Zitto baadaye. Zitto ni jembe sana ndani ya CDM Hana siasa za maji taka Kama akina Lissu, Lema na Sugu. Hakuna asiyejua mchango wa Zitto kwa CDM. Hawa vijana akina Lema hawajengi CDM Bali wamekidhoofisha sana chama kwa siasa zao za maji taka. Pumzika kaka pumzika Zitto
Habari ni ya Chadema wanaoumia CCM why?
 
Unaowaita magamba ni wazalendo thus why wanachangia kuona nguvukazi katika nyanja ya demokrasia itapungua.

Haiwezekani Ibilisi akakusifia yet ukaamini uko upande wa Mungu.

Kwa nini Zitto awe kipenzi cha Lumumba boys? Uzalendo? Never.
 
Mimi namshauri zito angeenda shambani kulima haya mambo yatamtoa uhai wake tu.
 
Chuki gan ninayo dhidi ya Zitto? BTW ZZK anaamini ili uwe mwanasiasa mzuri lazma urotate katika media iwe kwa negative or positive. Anaamini ili uwe vichwani mwa wananchi lazma uwajengee controversy to keep them into big awaits. Anaamini kuwa baadhi ya watu ni zaidi ya taasisi km anavyojiona yeye..which is wrong..hata taasisi ya ndoa ili ikamilike inahitaji watu wawili, familia inahitaji watu, hivyo hata chama kinahitaji watu. ZZK is no body km sio chadema ila chadema will remain firm without Zito, dokt slaa au hata mbowe. Huwa watu wanacheza na taasisi hawajui nguvu yake.

Taifa ambalo haliheshimu taasisi limekufa. Zitto anahisi ni maarufu kuliko chadema kumbe sio kweli, arudishe mawazo yake nyuma afikiri upya.

Mkuu sixgates you nailed it. Wanaokupinga tunajua wananufaika vipi na controverse za Bw Zuberi
 
Last edited by a moderator:
Haya sasa,
Wale vijana njaa kali wa chadema na wazush wazush na wakaanga sumu kama masaa manane na yericko mdandia nasaba ya nyerere waichukue taarifa hii kama fundisho kwao,

Na ya kwamba mwenzao zitto anaish maisha yake,wao wakibaki kuyachunguza na kuyafuata fuata maisha yake,wanadhani kila mtu anaweza tumain siasa kama maisha ya kudumu kama wao,

Na sasa wajipime na waone je wanaweza kuufuata moto huo??

Badala ya kuyaish maisha yao,wao wako busy kuyaish maisha ya wenzao,

People with Sad Destiny...
 
Zitto zuberi kabwe
Ni uamuzi mzuri,
rudi kwenye chama chetu
tuendelee kukiimarisha.
 
Last edited by a moderator:
Aliyetumbukia majini ndiye mwenye kujua tamu na chungu wengine watabunibuni tu. Watu mil 50 rais 1 hata hesabu za probabity zinakuwa complex. Kwa ualimu it is more promissing and pleasurable and blessing and ...
 
hivi mmeshawahi kuona majirani wakikerekwa na maisha ya familia nyingine mpaka wanakosa amani! wanasema wao, wanachambua wao, wanauliza wao na wanaconclude na ku-recommend wao wakati familia husika wako kimyaaaaa! sijui tuwaiteje majirani wa aina hiyo? wana viherehere au? maana pilipili wanakula wengine wanawashwa wao

CCM kwa sasa kinabehave kama chama cha upinzani. Hakina internal issues za kujadili isipokuwa CDM.

I wouldnt expect anything different kwa CCM iliyojichokea chini ya vijana wapuuzi kama @Mwigulu Mchemba
 
Back
Top Bottom