MWANZONI MWA MASAKATA YAKO NA CHADEMA, NILIAMINI SI KWELI WATU WANAKUFITINI, NA KUKUONEA GERE, LAKINI KWA MAANDISHI YAKO HAYA NA KUGEUKA GEUKA KAMA KINYONGA LEO NIMEAMINI 100% WEWE ULIYAFANYA HAYO YANAYOSEMWA NDIO MAANA LEO UNAWEWESEKA, MARA SIUTAKI UBUNGE, MARA URAIS, MARA KIGOMA MJINI, MARA KUFUNDISHA , HUELEWEKI DOGO WEWE NI POPO AMAA...zitto uraisi utausikia tu bwana mdogo kwa akili yako hii ya kujiona wewe ndiye kila kitu kimasters hicho kinakupa kiburii.,.hivi kwewnye wasomi na wewe upo?? Kweli dogo??, unadhani kuongoza nchi ni rahisi kama kumtongoza huyo diva, bwanamdogo mtu makini huchaguliwa na kupendekezwa na watu baada ya kumpima kwa kina. Tabia yako ya kujiona unajua kila kitu imekupoteza soon katika siasa, ndani ya miaka 2 ijayo utakuwa kama mrema mzee wa kilalacha. Ungetulia ungefika mbali sana, sasa umeanza kutapata kama kuku anayetaka kutaga , ulitoa maneno ya hovyo sana dhidi ya chama ooh ni cha kihafidhina, nimeanza na vifaranga namtafuta mama yao.. Si undoke chadema sasa hata ukijadiliwa uanachama wako ili iweje kama hukipendi chama ondoka.. Wewe si maarufu ondokaaaaaaa.....unauzalendo gani bwana mdogo, unaumakini gani bwana mdogo.. Unaona waliokubeba na kukupa majukumu ya kuiua chadema, leo hawana hamu na wewe..vip bado unamawasiliano mazuri na lukuvi, wasira, au kimei??.. Siku zako za kung"aa zimekwisha. Hizo ndio siasa za bongo mtafute john cheyo akupe ushauri amewezaje kuwa mbunge mmoja wa maisha na chama chake. Kwisha habari yako, waliokudanganya wako wapi???. Bure kabisa wewe....