Labda agombee uraisi wa lile kundi lake la kupigia hela NSSF na TANAPA la LEKA DUTIGITE, sio uraisi wa Tanzania
Kwa namna upepo wa kisiasa ulivyombadilikia huyu jamaa sidhani kama hata huo ubunge atapata tena maana huku kabanwa na UKAWA na kule kabanwa na MaCCM, sasa atatoka vipi? Labda ajiunge CCM. Kwa sasa anachoweza kushinda ni nafasi ya DIWANI KATA YA MWANDIGA, ambako ndugu zake watamuonea huruma asitoke kwenye ulingo wa siasa kabisa, hiyo habari za uraisi ni ndoto kama ndoto zingine, hata mtoto wa darasa la pili ukimuuliza unataka kuwa nani ukikua atakwambia anataka kuwa daktari, au Profesa kama Kikwete, mtu hazuiliwi kuota ndoto, muacheni Zitto aote