miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Zito akiwa raisi kutoka kwenye michezo ya mpira wa miguu by jk tutaingia kwenye mchezo wa kukata kiuno mpaka asubuhi over
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upuuzi na dharau hivi wapelekee babayako na mama yako mbwa wewe
hatuwezi vumilia upuuzi wa kiasi kikubwa kama hiki
wee mwenyewe hutaki kuolewa atafayaje sasa
Wazo la upofu hiloo!!ukawa washajiunga kuing'oa ccm kwa iyo hakuna mgombea wa chadema mwakani ifahamike yuko wa ukawa tu!!
1947...enzi za ujana wetuhii taarifa ya mwaka gani?
Kwani yeye yupo Ukawa?Hata kama katiba ikiruhusu mgombea awe na umri kama wake bado kuna kikwazo kingine.
Kulingana na makubaliano ya vyama vinavyounda UKAWA kusimamisha mgombea mmoja tu, ni dhahiri ndoto za bwana huyu zimeshazimwa...