THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Wewe nawe kama mwanamke wa kwenye madanguro.Hiyo statement fupi ya ben Saanane kwamba hataki kuitwa kwenye mijadala ya kipuuzi ndiyo imekupelekea kuropoka yote hayo?kuwa mstaarabu tu.Huoni kauli zako hizi ndiyo zinaipa uzito hiyo sentensi ya ben hapo juu kuwa ni mjadala wa kipuuzi maana wewe ulichoandika hapo ni upuuzi.Kama alikugongea mke si mkamalizane huko mtaani?
Hii mada ya kumjadili Zitto haina tija.Kama atagombea au hagombei sio ishu kwetu.upinzani jipangeni sisi tunaendelea kupanga na kutekeleza sera na ilani tukutane 2014/15
Hata ulichokiandika unaonekana moja kwa mona ni mtu mwenye njaa na uliekosa muelekeo wa maisha,
Hizi iman potofu na viburi mnavyopata kwa kushinda shinda humu JF vinawatoa ufaham sana,
Mnahis kila mnaezungumza nae kwenye keyboard basi mnalandana nae,
Umaskini umewaganda hadi kwenye fikra,sasa maisha binafsi ya Zitto na maamuz yake mnayawekea chuki itawasaidia nin??
Mtakufa maskin kama mnavyoish sasa kimaskin maskin