DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
zitto hata kama anamakosa kiasi gani bado ni kiongozi bora kabisa ndani ya chadema.
Hata shetani anawafwasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zitto hata kama anamakosa kiasi gani bado ni kiongozi bora kabisa ndani ya chadema.
Zitto akitaka asalimike, ataje,ayaweke majina hadharani. Na kama chadema itaendelea kumfuga basi tutathibitisha kuwa ni chama cha kilaghai.
Zitto akitaka asalimike, ataje,ayaweke majina hadharani. Na kama chadema itaendelea kumfuga basi tutathibitisha kuwa ni chama cha kilaghai.
Zitto ni mtu wa hovyo sana....chadema fukuzeni huyu mtu...anahadaa watanzania na anatuaminisha uwongo...
Nyie watu wekeni akiba mtakosa pakujificha. Yaani hawa akina AG na LK mmewaamini ghafla? Kwa hiyo kesho wakiwaambia ule mkanda wa mabomu ya Arusha ni feki, haupo mtakubali na kuwashangilia?
Huyo ni mtu wenu mtajua wenyewe..
Nyie watu wekeni akiba mtakosa pakujificha. Yaani hawa akina AG na LK mmewaamini ghafla? Kwa hiyo kesho wakiwaambia ule mkanda wa mabomu ya Arusha ni feki, haupo mtakubali na kuwashangilia?
Nyie watu wekeni akiba mtakosa pakujificha. Yaani hawa akina AG na LK mmewaamini ghafla? Kwa hiyo kesho wakiwaambia ule mkanda wa mabomu ya Arusha ni feki, haupo mtakubali na kuwashangilia?
Sitaki kuamini kuwa hujui maana ya affidavit au vinginevyo umeandika hivyo kwa makusudi kwa kuwa unajua kinachoendelea na likely ni new strategy ya CCM kwa kushirikiana na Zitto na watu wake kwa malengo yafuatayo;
1) Kukana kwa Zitto mbele ya kamati ya Serikalini na kuapa(wenye kuwazua wajiulize kwa nini Zitto aliapishwa? Kwa kuhofia nini kama asingeapishwa na kwa manufaa ya nani??) Miezi sita iliyopita na serikali ikakaa kimya hadi leo hii ndio AG anaibuka tena kipindi ambacho CHADEMA wana mgogoro na Zitto,hii sio coincidence bali it was MoU baina ya pande mbili katika wining-wining situation!!
2) Baada ya Serikalini na AG kumzodoa Zitto bungeni kuhusu mabillioni ni starting point ya kumrudisha Zitto ulingoni kisiasa na kukuza pia mgogoro na CHADEMA huku wakimsafisha kuwa hatumiki na CCM kwa Zitto kupewa platform ya kutaja watu ambapo obviously watatajwa watu kama Manji,RostamMengi,Chenge and alike peoples ambao hawatoshitua lakini ndani yake atatajwa Mbowe!! Hii itachagiza mgogoro na kuonekana vita ya Zitto kutaka kuvuliwa uanachama ilikuwa ni biased ili Zitto apate jina na mlango wa kutokea CHADEMA akiwa hero lakini cooked hero for a special meal to the special peoples!!
Wasomi wa nchi hii ndio wanaiuza nchi kwa kufanya uharamia wa undumi la kuwili kwa mgongo wa usomi,we will see!!
Mkuu labda we ni msahaulifu.
Wiki iliyopita waziri mkuu kamwita muongo kwa kupotosha wananchi kuwa yeye anapokea mamilioni ya shiling wakati ni mil 6 tu.
Mpaka leo Zito hajaleta ushaidi wa mamilioni ya Pinda. Sasa unataka athibitishe majina?
Sibishi wala siungi mkono maneno yako ila naomba kufahamu,je haya maneno yako hasa 2 ni kweli ndio iko hiyo au umefanya tu uchambuzi akinifu kutoka kwenye facts unazozijua?
zitto hata kama anamakosa kiasi gani bado ni kiongozi bora kabisa ndani ya chadema.
Mkuu labda we ni msahaulifu.
Wiki iliyopita waziri mkuu kamwita muongo kwa kupotosha wananchi kuwa yeye anapokea mamilioni ya shiling wakati ni mil 6 tu.
Mpaka leo Zito hajaleta ushaidi wa mamilioni ya Pinda. Sasa unataka athibitishe majina?