Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi zitto katoa hotuba Kali sana. Naona wamemjibu kwamba hutuwezi kitu we ZittoZitto amesema “Tunataka Abdul Nondo aachiwe mara moja akiwa mzma wa afya, tafadhali sana, gari inadaiwa parking na tumejua kila mahala gari hiyo inapaki, mwacheni Nondo haraka iwezekanavyo Wapumbavu wakubwa nyie”
Umiliki wa silaha holela itakuwa hatari zaidi mkuu.... Unajua wengi wanafail kwenye anger management so watu watauana kila sekundeSasa hivi ni hatari unataka hatari ipi tema Mkuu wakati watu sasa hivi wanakufa kila kukicha kwa kutekwa.
Ningeshangaa kwamba watekaji watakuja na Namba HalisiGari ya Minja ni ist...Hayo magari yao ya utekaji wanaweka namba bandia za magari ya watu nao ni ujinga mwingine wanao kuja nao. Zitto nae kaingia mkenge
Wanywa damu mnajiona mko vizuri sana.Bwashee Haya mambo Kenya yalianzaga hivi hivi na Sasa yanamsumbua hadi Ruto mwenyewe
Ruto kaamua kurudi kwa Raila Odinga maana vituko vya Wakikuyu siyo vya kitoto 🐼
Hiyo plate number ni danganya totoDeoratius Beda Minja.....nipeni masaa 2 tu naleta mpk picha za mkewe, wanaweza, wadogo zake ndugu zake na wazazi wake hapa hapa JamiiForums
Hakuna laana inatoka kwa mambo ya hovyoLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli
RPC kutembelea gari lenye namba za usajili wa mashirika ya umma SU kama hili huku amevaa uniform za polisi ameongozana na mpambe bodyguard. Ni mtindo unaosababisha Polisi kudai ni gari la watu wasiojulikana ..
View: https://m.youtube.com/watch?v=izpXJFkZQqo
shujaa angekuwapo angeshafuta vyama vyote akabaki yeye tuYanayoendelea ni Magufuli legacy mkuu, ukubali ukatae
Anapanda gari la shirika la Umma, kuna sheria inakataza mtumishi wa serikali kupanda gari la shirika la umma?
Tujikite kwenye hoja
Sawa sawa na walivyo nyumbu milioni moja dhidi ya simba mmoja!Ila hatuna cha kuwafanya.
Wewe jamaa una usenge mwingi sanaLaana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Kwa hiyo karudi?Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli
Kwa hiyo Magufuli alimteka Dkt Steven Ulimboka?Magufuli alikuwa mpumbavu. Kushangilia kifo chake ilikuwa ni lazima. Mburumundu wewe.
Na hata yanayoendelea sasa muasisi wake ni huyu huyu Magufuli a.k.a jiwe mshamba wa Chato.
Hii ni kweliGari ya Minja ni ist...Hayo magari yao ya utekaji wanaweka namba bandia za magari ya watu nao ni ujinga mwingine wanao kuja nao. Zitto nae kaingia
Namba ya kusadikika, ila kuna kitu kinanishangaza kidogo, yani hakuna hata raia walijisumbua kufuatilia hiyo gari?Namba pengine zimetajwa na watu waliokuwa karibu. Hata hivyo ninavyojua mimi ''wasiojulikana'' wakati wanaenda kuteka huweza kuweka namba yoyote wanayotaka. Siyo ajabu ukasikia namba ya gari unayomiliki wewe imetajwa.
Kabisa na amechangia pakubwa sana kumaliza nguvu ya upinzanishujaa angekuwapo angeshafuta vyama vyote akabaki yeye tu