Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Ndo maana div 0 zinaongezeka deileUmeelewa kilichoandikwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana div 0 zinaongezeka deileUmeelewa kilichoandikwa?
Kwa nini afanye yote hayo kwa nchi yake inayojiita huru? Kama kapenda kupanda basi? Anaogopa nini na nani?kwa nafasi ya Nondo, hakuwa na msaidizi hakuwa na body guard, anatembea tu ka mbwakoko, kwanafasi yake hakuweza kupata ticket ya ndege? hakuna gari iliyokuja kumpokea? kwanini hakushuka shekilango akaingia kwenye gari yake? muda mwingine tunamwachia maisha yetu mungu kienyeji mno
kwahiyo alitoka kwa mguu avuke daraja la watembea kwa miguu hadi akapande garinza goba, haujauliwa tu hapo katikati? hiyo stand ndo inakufa kibudu hakuna mtu atashuka au kupanda hapoNamba ya kusadikika, ila kuna kitu kinanishangaza kidogo, yani hakuna hata raia walijisumbua kufuatilia hiyo gari?
Kweli utekaji umekuwa jambo la kawaida
Nimeshangaa hili , kakosa hata mpambekwa nafasi ya Nondo, hakuwa na msaidizi hakuwa na body guard, anatembea tu ka mbwakoko, kwanafasi yake hakuweza kupata ticket ya ndege? hakuna gari iliyokuja kumpokea? kwanini hakushuka shekilango akaingia kwenye gari yake? muda mwingine tunamwachia maisha yetu mungu kienyeji mno
Alisema hawezi kuwalipa wasimmia uchaguzi wasio mpa ushindi.Kabisa na amechangia pakubwa sana kumaliza nguvu ya upinzani
Hivi mkuu unaamini hizo number zilizotolewa ?Hapo kwenye kusema gari inadaiwa parking amekosea. Kamwe hautakiwi kusema mbinu unazotumia kupata taarifa. Next time hutozipata taarifa tena kwa njia hiyo, wahusika wataziba huo mwanya.
Mkuu unavyosema ni sawa lakini kumbuka GodBless Lema alitekwa JKNIkwa nafasi ya Nondo, hakuwa na msaidizi hakuwa na body guard, anatembea tu ka mbwakoko, kwanafasi yake hakuweza kupata ticket ya ndege? hakuna gari iliyokuja kumpokea? kwanini hakushuka shekilango akaingia kwenye gari yake? muda mwingine tunamwachia maisha yetu mungu kienyeji mno
Swali zuri.huyu Minja ni nani?
💯%Kiufupi hali ni Mbaya na yote haya yana baraka za huyu Mama
Kuna mahala nimeona kwamba mashuhuda wametaja gari ni Na. T249 ECV sio T249 CMV, mbona naona kama hii confusion ni purposely!Zitto Kabwe, amesema gari namba T 249 CMV
Ngamia hazijaisha.Minja 🐼
Kwa ninavyomjua Zitto huyo Nondo atatafutwa usiku na mchana hadi mbivu na Mbichi zijulikane tofauti na utafutaji wa Chadema
Hata nujum itatumikaMinja 🐼
Kwa ninavyomjua Zitto huyo Nondo atatafutwa usiku na mchana hadi mbivu na Mbichi zijulikane tofauti na utafutaji wa Chadema
Polisi wa Tanzania wafanye spinning kwa lipi wakati Hata wakikukamata wazi na kukuua hakuna wa kuwafanya kitu. Ali Kibao si aliuwawa na waliojiita polisi tena alitekwa hadharani why wafanye spinning? Wanamuogopa nani?Mmmh ana uhakika gani kwamba hilo ndo gari lililomteka?
Saa nyingine polisi hufanya hivo ku spin uchunguzi.. waweza kuta hata gari ya watekaji ni T942EFD just kuwapa wrong signal wahusika na kurahisisha upelelezi ndo maana wameamua kutaja hilo gari kwenye taarifa yao
Tayari Ayatollah ameshajua Nondo alipo dadeki 😂😂😂Hata nujum itatumika
Wewe unafaa kutusaidia.Gari ya Minja ni ist...Hayo magari yao ya utekaji wanaweka namba bandia za magari ya watu nao ni ujinga mwingine wanao kuja nao. Zitto nae kaingia mkenge
Absalom Kibanda, Dr. Mvungi, Dr. Ulimboka nk wote hawa ni JPM aliasisi?Yanayoendelea ni Magufuli legacy mkuu, ukubali ukatae
Jo ulidhani angeshindwa kujua yuleTayari Ayatollah ameshajua Nondo alipo dadeki 😂😂😂