Zitto: Taarifa ya TRA kukusanya trilioni 2 ni ya kubumba

Zitto: Taarifa ya TRA kukusanya trilioni 2 ni ya kubumba

Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter

“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba.

Nachambua Taarifa za Benki Kuu za mapato kulinganisha na Taarifa ya TRA.

Nitaonyesha kwa ushahidi kuwa TRA wamedanganya Umma.”

View attachment 1664938

Soma >> TRA yavunja rekodi ya makusanyo ya mwezi Desemba
Magufui kiboko hakuna hoja ya kiiasa kwa sasa, siasa zimehami twitter kuchambua makusanyo watasema nini sasa kama kila kitu kinaenda?
 
Utajiri wa maofisa wa TRA ni mkubwa kuliko hata wafanyabiashara wenyewe, sasa jiulize Mtumishi wa kukusanya kodi na yeye kawa Tajiri mkubwa hizo pesa kazipata wapi? Kufunga account, kufunga biashara kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara ndiyo mbinu zao za kutengeneza mazingira ya Rushwa

Unaushahidi wa hii kauli yako??
 
Utajiri wa maofisa wa TRA ni mkubwa kuliko hata wafanyabiashara wenyewe, sasa jiulize Mtumishi wa kukusanya kodi na yeye kawa Tajiri mkubwa hizo pesa kazipata wapi? Kufunga account, kufunga biashara kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara ndiyo mbinu zao za kutengeneza mazingira ya Rushwa


Huenda wanakopa kutoka sehemu mbali mbali!
 
Upigaji sasa upo kwenye mabenk wakifunga Account yako kuifungua lazima utoe pesa

Kma kodi hulipi unategemea nn?? Ni kufungiwa tu. Mfanyabiashara anayefata sheria huji kuta anafungiwa account. Huu sio muda wa kufanya biashara kimagendo fata sheria za kodi
 
Unaushahidi wa hii kauli yako??
Ushahidi uletewe hapo gheto kwako? Maana wewe ni mnufaika wa ukwasi wa baadhi ya maofisa wa TRA vinara wa kufunga biashara Account za wafanyabiashara kutengeneza mazingira ya Rushwa , wewe tayari ni mtetezi wa uonevu huwezi kukubali ushahidi wowote
 
We jamaa acha kudanganya wana jf,
Unajidanganya mwenyewe acha kushirikisha JF na Akili zako binafsi za kunufaika na uonevu wa baadhi ya maofisa wa TRA wasio na utu wala huruma kwa wafanyabiashara
 
Mwezi mmoja kabla ya uchumi wa zimbabwe kuanguka rasmi waziri wa fedha alitangaza uchumi wao unakuwa kwa 10%
Hiyo inaitwaga mateke ya mwisho kabla ya kukata roho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Magazeti leo yanasema Polisiccm wataanza kuwakamata wakwepa kodi, kuwapa Polisiccm kazi ambayo hawana uzoefu nayo ni kutoa fursa mpya ya Rushwa na ni kwa nini Nchi hii imekuwa na vituko namna hii? Kila siku wanabuni mbinu za kuwatesa wafanyabiashara badala ya mbinu za kuwalinda kuboresha mazingira bora ya biashara
 
Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter

“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba.

Nachambua Taarifa za Benki Kuu za mapato kulinganisha na Taarifa ya TRA.

Nitaonyesha kwa ushahidi kuwa TRA wamedanganya Umma.”

View attachment 1664938

Soma >> TRA yavunja rekodi ya makusanyo ya mwezi Desemba
Thank God for the Zitto Kabwe's of the world...

60 million people country, only one guy is talking about the economy outside of Government
 
Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter

“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba.

Nachambua Taarifa za Benki Kuu za mapato kulinganisha na Taarifa ya TRA.

Nitaonyesha kwa ushahidi kuwa TRA wamedanganya Umma.”

View attachment 1664938

Soma >> TRA yavunja rekodi ya makusanyo ya mwezi Desemba
Tulishazoea ujinga wako! Nakumbuka mwaka uliosoma kwenye vioo vya ndege baada ya uchambuzi wako kukuonesha kwamba ndege hizo zimetumika.
 
Back
Top Bottom