Magufui kiboko hakuna hoja ya kiiasa kwa sasa, siasa zimehami twitter kuchambua makusanyo watasema nini sasa kama kila kitu kinaenda?Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter
“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba.
Nachambua Taarifa za Benki Kuu za mapato kulinganisha na Taarifa ya TRA.
Nitaonyesha kwa ushahidi kuwa TRA wamedanganya Umma.”
View attachment 1664938
Soma >> TRA yavunja rekodi ya makusanyo ya mwezi Desemba
Utajiri wa maofisa wa TRA ni mkubwa kuliko hata wafanyabiashara wenyewe, sasa jiulize Mtumishi wa kukusanya kodi na yeye kawa Tajiri mkubwa hizo pesa kazipata wapi? Kufunga account, kufunga biashara kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara ndiyo mbinu zao za kutengeneza mazingira ya Rushwa
Utajiri wa maofisa wa TRA ni mkubwa kuliko hata wafanyabiashara wenyewe, sasa jiulize Mtumishi wa kukusanya kodi na yeye kawa Tajiri mkubwa hizo pesa kazipata wapi? Kufunga account, kufunga biashara kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara ndiyo mbinu zao za kutengeneza mazingira ya Rushwa
Upigaji sasa upo kwenye mabenk wakifunga Account yako kuifungua lazima utoe pesa
Juzi juzi tajiri wa kihindi Subash patel kafa kwa pressure baada ya kubambikiwa kodi kubwa ya mabilioni
Ushahidi uletewe hapo gheto kwako? Maana wewe ni mnufaika wa ukwasi wa baadhi ya maofisa wa TRA vinara wa kufunga biashara Account za wafanyabiashara kutengeneza mazingira ya Rushwa , wewe tayari ni mtetezi wa uonevu huwezi kukubali ushahidi wowoteUnaushahidi wa hii kauli yako??
Unajidanganya mwenyewe acha kushirikisha JF na Akili zako binafsi za kunufaika na uonevu wa baadhi ya maofisa wa TRA wasio na utu wala huruma kwa wafanyabiasharaWe jamaa acha kudanganya wana jf,
Wanufaika wa uonevu unyanyasaji wa baadhi ya maofisa wa TRA mmejitoa fahamu hamumuogopi mungu kabsaWe jamaa acha kudanganya wana jf,
Mwezi mmoja kabla ya uchumi wa zimbabwe kuanguka rasmi waziri wa fedha alitangaza uchumi wao unakuwa kwa 10%Bila fix tutashuhudia anguko kubwa sana
Macho hayana pazia mkuu, unajikuta tu umeyaona na kuambulia kichefuchefu baada ya kusoma.Hivi Kuna watu bado wanamsikiliza Zitto?
Hiyo inaitwaga mateke ya mwisho kabla ya kukata roho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwezi mmoja kabla ya uchumi wa zimbabwe kuanguka rasmi waziri wa fedha alitangaza uchumi wao unakuwa kwa 10%
toa ushahidiHuo mfano wako hauna mashiko na hauwezi kutumika kwenye mapungufu ya TRA
Vipi makusanyo ya zitto ameshasema yeye kapata T ngapi?,ndio naingia sasa humuHistoria haizuii kusema mapungufu ya TRA
UmevurugwaVipi makusanyo ya zitto ameshasema yeye kapata T ngapi?,ndio naingia sasa humu
Hadi Sasa matajiri 6 wamekufa kwa jitihada za awamu pendwaJuzi juzi tajiri wa kihindi Subash patel kafa kwa pressure baada ya kubambikiwa kodi kubwa ya mabilioni
Wamekufa baada ya kubambikiwa kodi kubwa na TRA kisha Account zao kufungwa kienyeji kwa njia haramu za kishetaniHadi Sasa matajiri 6 wamekufa kwa jitihada za awamu pendwa
Thank God for the Zitto Kabwe's of the world...Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter
“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba.
Nachambua Taarifa za Benki Kuu za mapato kulinganisha na Taarifa ya TRA.
Nitaonyesha kwa ushahidi kuwa TRA wamedanganya Umma.”
View attachment 1664938
Soma >> TRA yavunja rekodi ya makusanyo ya mwezi Desemba
Tulishazoea ujinga wako! Nakumbuka mwaka uliosoma kwenye vioo vya ndege baada ya uchambuzi wako kukuonesha kwamba ndege hizo zimetumika.Zitto Kabwe ameandika hivi kwenye ukurasa wake wa Twitter
“Taarifa ya makusanyo ya kodi iliyotolewa na TRA leo kuwa Desemba wamekusanya shs 2T naamini ni ya kubumba.
Nachambua Taarifa za Benki Kuu za mapato kulinganisha na Taarifa ya TRA.
Nitaonyesha kwa ushahidi kuwa TRA wamedanganya Umma.”
View attachment 1664938
Soma >> TRA yavunja rekodi ya makusanyo ya mwezi Desemba
Kipi kinachoendaMagufui kiboko hakuna hoja ya kiiasa kwa sasa, siasa zimehami twitter kuchambua makusanyo watasema nini sasa kama kila kitu kinaenda?