Zitto: Tozo za miamala ziondolewe kwa sababu kuna hela ya IMF

Zitto: Tozo za miamala ziondolewe kwa sababu kuna hela ya IMF

Serikali ibuni jinsi ya ku distribute kodi kwa wananchi wote. Kila mtu au taasisi alipe kodi kulingana na kipato chake.

Ujinga wa kukamua kundi fulani ndo nchi iendeshwe huku tukitembeza bakuli kwa watu wa ulaya wanaolipa kodi kila mwananchi iwe mwisho.

Sheria kali dhidi ya wafujaji wa mali ya Tanzania itungwe na utekelezaji wake uwe ni strict.

Mtanzania alazimishwe kulipa kodi kuijenga Tanzania 🇹🇿. Tanzania 🇹🇿 itajengwa na Mtanzania na sio IMF.

Zitto aache cheap politics. Angeonekana wa maana kama angeelekeza jinsi ya kubali sera ya kodi na sio kushauri kutegemea wafadhili.
 
Wanaotetea tozo wanalala kwenye nyumba za serikali bure, hawajuhi bili za maji wala umeme.wanatumia magari ya serikali. Hii nchi imejaa watu wajinga sana.

Magufuli asingesapot kitu cha kipuuzi kama hiki.

Rip jmp.
Aisee wabongo kwa Kusahau shikamoo, tozo Zilianza Awamu ya Magu, kuanzia Vocha, hadi miamala ya Kina Mpesa, watu wakalalamika weee sasa hivi wamesahau.
 
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tozo za miamala ziliwekwa na serikali katika bajeti ya serikali ya mwaka 2021/2022 ili kuwezesha ujenzi wa madarasa nchini.

Hivi karibu Serikali imepata fedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF) ambazo zimetangazwa kutumika kujenga vituo na madarasa nchi nzima. Zito ameshauri serikali kuzipunguza au kuziondoa tozo.

Zitto amezungumza hayo akiwa katika mahojiano Times FM
Zitto Kabwe ameishiwa kabisa.....

Sasa serikali ina mipango mingapi?!!!

Yaani fedha za IMF ndizo ziendeshe mambo yetu yote na tufute Kodi zote?!!! Khaaaa 😳😳😳
 
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tozo za miamala ziliwekwa na serikali katika bajeti ya serikali ya mwaka 2021/2022 ili kuwezesha ujenzi wa madarasa nchini.

Hivi karibu Serikali imepata fedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF) ambazo zimetangazwa kutumika kujenga vituo na madarasa nchi nzima. Zito ameshauri serikali kuzipunguza au kuziondoa tozo.

Zitto amezungumza hayo akiwa katika mahojiano Times FM
Naunga mkono hoja.
 
Serikali ibuni jinsi ya ku distribute kodi kwa wananchi wote. Kila mtu au taasisi alipe kodi kulingana na kipato chake.

Ujinga wa kukamua kundi fulani ndo nchi iendeshwe huku tukitembeza bakuli kwa watu wa ulaya wanaolipa kodi kila mwananchi iwe mwisho.

Sheria kali dhidi ya wafujaji wa mali ya Tanzania itungwe na utekelezaji wake uwe ni strict.

Mtanzania alazimishwe kulipa kodi kuijenga Tanzania 🇹🇿. Tanzania 🇹🇿 itajengwa na Mtanzania na sio IMF.

Zitto aache cheap politics. Angeonekana wa maana kama angeelekeza jinsi ya kubali sera ya kodi na sio kushauri kutegemea wafadhili.
Hakuna asiyetaka kulipa Kodi. Ila kabla hilo halijaanza kuanze uwajibishaji viongozi wote wanaofuja kodi zetu. Haiwezekani nihangaikie kulipa Kodi halafu mijitu inalipana mamia ya mamilioni, na bado hawatosheki wanafanya ufisadi kila kona.

Wapunguze matumizi ya serikali, kuwe na uwazi wa hela zote zinatumika vipi then tukifika hapo tulazimishane kulipa Kodi.

Kulipa tu Kodi kibubusa ni kuwanufaisha wachache wakati mamilioni ya watanzania Kodi zao haziwafaidishi ipasavyo.
 
Wamechangia kwa miaka 60 na nchi ina utajiri mkubwa wa rasilimali na nchi za wafadhili na mashirika ya Kimataifa yametupa misaada na mikopo ya trillions lakini hadi hii leo hatuna hata kimoja cha kujivunia kila kitu ni HOVYO HOVYO TU!!

Watu wachangie maendeleo ya nchi yao
 
Kwa hiyo tozo zinaenda kujenga choo ya Mwigulu au? Acha upumbavu,kama huoni inavyohusiana Baki hivyo hivyo na ujinga wako.
Sina msaada kwa mtu kama wewe.

Ukitaka kujuwa nina maanisha nini, soma hiyo mada nyingine hapo kuhusu 'Hujuma za Kenya", na jinsi majibu yako yalivyo kama ya santuri mbovu.
 
Wamechangia kwa miaka 60 na nchi ina utajiri mkubwa wa rasilimali na nchi za wafadhili na mashirika ya Kimataifa yametupa misaada na mikopo ya trillions lakini hadi hii leo hatuna hata kimoja cha kujivunia kila kitu ni HOVYO HOVYO TU!!
Wangapi wamelipa Kodi kwa miaka 60?..unadhani mzungu atakupa hela ya kukufanya uendelee?..rasilimali tunazo,uwezo was kukufanya zitupe Tina tunao?...ifike mahali tione aibu kuomba na tuchangie kuikwamua nchi yetu
 
Magufuri mlimuua alipojitaidi kujikwamua kwenye mikono ya matapeli hawa IFM,Mkamwita majina ya ajabu ili mmuue kilaisi, Tanzania hatuwezi toka kwa kutegemea misaada na mikopo ya hawa Wazungu, naona Samia amewekeza nguvu nyingi kwenye mambo ya Covid-19,baada ya kuwekeza nguvu katika uzalishaji mali,watu walime, watu wafanye kazi kwa bidii.

Ninawaambia mwakani kuna mikoa itakuja kuomba chakula,kitu ambacho kilikuwa kimesaulika kwa Miaka 5 iliyopita.Magufuri alikuwa akiwambia asiyefanya kazi asile,na kuwaambia wakuu wa mikoa/wilaya ukisikika wilaya yako unalia njaa kazi una,Kitu ambacho sasahivi awezi kisikia, Sasahivi tunaisikia kuchanjwa tu na kujikinga na covid-19 wakati Watanzania covid-19 tumeisha ona ni ugonjwa wa kawaida tu.
 
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tozo za miamala ziliwekwa na serikali katika bajeti ya serikali ya mwaka 2021/2022 ili kuwezesha ujenzi wa madarasa nchini.

Hivi karibu Serikali imepata fedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF) ambazo zimetangazwa kutumika kujenga vituo na madarasa nchi nzima. Zito ameshauri serikali kuzipunguza au kuziondoa tozo.

Zitto amezungumza hayo akiwa katika mahojiano Times FM
Hawa hawana uwezo.....huyu mama ni takwa la katiba tu hakuna kitu...wapo wamama ila huyu ajali
 
Wewe nae ni mpuuzi,kwamba fedha za IMF ndio zitamaliza changamoto ambazo zinatatuliwa kwa fedha ya miamala?

Inajiongelesha kwa sababu umekosa ku trend siku nyingi. Huyo Zito kule kwao Kigoma hadi kesho ni mavumbi matupu,hakuna huduma za afya za maana hadi wamama wanalala wa 2 kwenye vitanda na huduma ziko mbali ..

Wewe Zito utakuwa ni mjinga Sana kwa sababu unaishi Mjini huna hata huruma na watu wa Vijijini.
Kwani hizi changamoto zinazotatuliwa kwa tozo zinagharimu kiasi gani?

Zito anawezaje kuondoa hayo matatizo huko kwao kigoma?
 
Kwani hizi changamoto zinazotatuliwa kwa tozo zinagharimu kiasi gani?

Zito anawezaje kuondoa hayo matatizo huko kwao kigoma?
Kama hana uwezo anaropoka nini sasa..

Afu kuna watu mna akili finyu na ya kimaskini.Muwe mnafuatilia taarifa,Maji ni tatizo nchi nzima,huduma za afya ni shida ,vyumba vya madarasa ni vichomi,barabara ndio kabisaa sasa vihela vya tozo SI tuu hazitoshi ila ni kama tone tuu .Hizo tozo mnazopigia kelele humu hazifiki Hata Til.1 kwa mwaka ..

Sasa hiyo hela Sio kitu ila kwa kuwa mna ujinga Mwingi na hamuelewi ndio ma'am mnaandika upupu.
 
Serikali ibuni jinsi ya ku distribute kodi kwa wananchi wote. Kila mtu au taasisi alipe kodi kulingana na kipato chake.

Ujinga wa kukamua kundi fulani ndo nchi iendeshwe huku tukitembeza bakuli kwa watu wa ulaya wanaolipa kodi kila mwananchi iwe mwisho.

Sheria kali dhidi ya wafujaji wa mali ya Tanzania itungwe na utekelezaji wake uwe ni strict.

Mtanzania alazimishwe kulipa kodi kuijenga Tanzania 🇹🇿. Tanzania 🇹🇿 itajengwa na Mtanzania na sio IMF.

Zitto aache cheap politics. Angeonekana wa maana kama angeelekeza jinsi ya kubali sera ya kodi na sio kushauri kutegemea wafadhili.
Duh Mkuu hivi ndio point ya Zitto hio kwamba tuendelee kutegemea wafadhili ?

Point ni kwamba kama tuliamua kukamuana kwa ajili ya kufanya jambo fulani, alafu kwa jambo hilo hilo tukapata pesa (Sio Zitto aliyesema tukaombe, bali walewale wanaotukamua ndio wameamua kuchukua pesa huko, ambazo huenda sisi, sisi tunaokamuliwa sasa ndio tutalipa madeni)

Je ni hekima tuendelee kukamuliwa?
 
Kama hana uwezo anaropoka nini sasa..

Afu kuna watu mna akili finyu na ya kimaskini.Muwe mnafuatilia taarifa,Maji ni tatizo nchi nzima,huduma za afya ni shida ,vyumba vya madarasa ni vichomi,barabara ndio kabisaa sasa vihela vya tozo SI tuu hazitoshi ila ni kama tone tuu .Hizo tozo mnazopigia kelele humu hazifiki Hata Til.1 kwa mwaka ..

Sasa hiyo hela Sio kitu ila kwa kuwa mna ujinga Mwingi na hamuelewi ndio ma'am mnaandika upupu.
Madini, Utalii, Nchi Kubwa, Kilimo vyote ni nini kama sio vyanzo ?

Kama waliopo madarakani wanshindwa kutumia hivyo vyanzo ili kuweka sawa maisha ya mtanzania huenda kuwepo kwao hapo ni makosa
 
Aisee wabongo kwa Kusahau shikamoo, tozo Zilianza Awamu ya Magu, kuanzia Vocha, hadi miamala ya Kina Mpesa, watu wakalalamika weee sasa hivi wamesahau.
Tozo zilikuwepo tangia enzi na enzi (Kodi) Issue sio Tozo, Issue ni Kiasi gani na kama hicho kiasi ni rafiki..., Transactions zimepungua sana kutokana na hizi double taxation
 
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema tozo za miamala ziliwekwa na serikali katika bajeti ya serikali ya mwaka 2021/2022 ili kuwezesha ujenzi wa madarasa nchini.

Hivi karibu Serikali imepata fedha kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa(IMF) ambazo zimetangazwa kutumika kujenga vituo na madarasa nchi nzima. Zito ameshauri serikali kuzipunguza au kuziondoa tozo.

Zitto amezungumza hayo akiwa katika mahojiano Times FM
Yeye alikuwa wapi wakati znapitishwa uyo ni mnafiki kama wengine tu
 
Wewe nae ni mpuuzi,kwamba fedha za IMF ndio zitamaliza changamoto ambazo zinatatuliwa kwa fedha ya miamala?

Inajiongelesha kwa sababu umekosa ku trend siku nyingi. Huyo Zito kule kwao Kigoma hadi kesho ni mavumbi matupu,hakuna huduma za afya za maana hadi wamama wanalala wa 2 kwenye vitanda na huduma ziko mbali ..

Wewe Zito utakuwa ni mjinga Sana kwa sababu unaishi Mjini huna hata huruma na watu wa Vijijini.
Kigoma kuna Zitto pekee, RC, RAS, DC, DAS, DED, Mbunge na Mwenyekiti wa halmashauri wanafanya kazi gani mpaka Zitto pekee ndiyo apeleke maendeleo?
 
Back
Top Bottom