Zitto ulilia Bungeni baada ya Marehemu Mama yako kutajwa katika tujuma zako, iweje umdhihaki Hayati Magufuli?

Zitto ulilia Bungeni baada ya Marehemu Mama yako kutajwa katika tujuma zako, iweje umdhihaki Hayati Magufuli?

Zitto si ndio juzi kati alimwita Lissu kwa kutumia jina lisilofaa lenye kumaanisha mlemavu hadi akaomba radhi?
 
Ifike wakati wanasiasa wenye hulka kama za Zitto Kabwe kumpa heshima Hayati Magufuli kama anavyompa heshima marehemu mama yake mzazi ambaye pia ametangulia mbele za haki.

Zitto ulilia Bungeni baada ya Marehemu Mama yako kutajwa katika tujuma zako, Iweje umdhihaki Hayati Magufuli? kwa kusema hadharani kuwa wale wanaompenda sana Magufuli waende Chato wakachimbe kaburi pembeni ya kaburi la Magufuli kisha wajizike

Zitto, Je, nawe kukikwambia kuwa kama unapenda mama yako uende ukachimbe kaburi pembeni ya kaburi la Mama yako kisha ujizike utajisikiaje.

View attachment 2193743
Zitto mnafiki sana.
 
Anapenda sana kukashifu baba wa wenzake ila mama yake nae aliguswa akamwaga chozi.
 
Zitto ni mjinga fulani mwenye tamaa. Chadema wanamfahamu.
 
Back
Top Bottom