M Muuza Kangala JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 1,242 Reaction score 4,813 Jan 31, 2023 #1 Eti kutatua kero za watanzania. Mpyu.... π
n-propanol JF-Expert Member Joined Apr 7, 2019 Posts 5,349 Reaction score 7,000 Jan 31, 2023 #2 ACT ni CCM [C]. Yani kwenye haya magenge ya siasa, sioni Suluhu ya watanzania itatokea wapi yote yana wapigaji balaa.
ACT ni CCM [C]. Yani kwenye haya magenge ya siasa, sioni Suluhu ya watanzania itatokea wapi yote yana wapigaji balaa.
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Jan 31, 2023 #3 [emoji1] Ova
K Kulwa Jilala JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 3,891 Reaction score 8,448 Jan 31, 2023 #4 Sabaya amebambikiwa kesi tu na aliyepanga kumuuwa akachiwa huru licha ya kwamba mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu!. Sabaya kwa mujibu wa mahakama yuko huru ila bado yuko gerezani kwa maelekezo ya viongozi wa serikali.
Sabaya amebambikiwa kesi tu na aliyepanga kumuuwa akachiwa huru licha ya kwamba mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu!. Sabaya kwa mujibu wa mahakama yuko huru ila bado yuko gerezani kwa maelekezo ya viongozi wa serikali.
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Jan 31, 2023 #5 Zitto Kabwe ameshapitwa na wakati Watu wako na mwanasiasa wa kimataifa Tundu Antipas Lisu
Crimea JF-Expert Member Joined Mar 25, 2014 Posts 25,874 Reaction score 36,030 Jan 31, 2023 #6 Nitajie mwanasiasa ambae si kibaraka
M Muuza Kangala JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 1,242 Reaction score 4,813 Jan 31, 2023 Thread starter #7 Crimea said: Nitajie mwanasiasa ambae si kibaraka Click to expand... Jikite kwenye mada
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 20,419 Reaction score 39,217 Jan 31, 2023 #8 Mchumia tumbo aliewaingiza kingi wapemba wafuasi wa maalimu bila kujua,sasa wanatumika vilivyo.