Ziwa Nyasa limeporwa kikamilifu?

Ziwa Nyasa limeporwa kikamilifu?

Hawa viumbe waone hivyo hivyo siyo wa kuwaonea huruma kabisa. Aslimia 80 ya watu walio rumande na jela ni matokeo ya dhuluma za Polisi
Hawa watu kama wewe unadai kuwa ni wabovu, basi sisi sote kwa ujumla wetu ndiyo wabovu. Hawawezi wao wakawa wabovu halafu sisi tukawa wazuri. Kama ni wabovu, si watakuwa walitokana na sisi? Sasa wanakuwaje wao wabovu halafu sisi tukawa wazuri? Unless kama labda walishushwa kutoka sayari nyingine
 
Ila uzalendo kwa uangalifu wa hali ya juu sana. Kati ya majirani zetu tulionao ambao wamepinda ni Malawi.
You can imagine kwamba askari wanafuatilia mhalifu na kwa kujisahau kidogo tu wameingia nchini mwao, gari ya Polisi inapigwa mawe na askari wetu kunusurika kuuawa, badala ya wao (wamalawi) nao kuangalia ule upande mwingine kwamba hawa askari nao walikuwa kazini na walikuwa wanafuatilia mhalifu. Kwao wao wamalawi kwa mfano, tuseme KIBINADAMU (siyo kisheria), na katika ule ubinadamu wa kawaida kabisa usiohitaji kuwa na sifa za kimalaika, nani alikuwa na kosa kubwa zaidi kati ya askari wetu na mhalifu aliyekuwa akiwakimbia Polisi?

Hili swala la hawa askari kufukuzwa kazi mimi limenigusa sana na kama ningekuwa mwanasheria, ningejaribu kuishauri Serikali ili iwarudishe kazini. Adhabu waliyowapa ya kuwafukuza kazi askari hao ni kubwa mno, japo inalingana na KOSA WALILOFANYA, lakini ukiangalia kwa upande mwingine hailingani na MAZINGIRA YA KOSA WALILOFANYA, sana sana wangewasimamaisha kazi kwa muda na kuwarudisha tena kazini. Mimi ningeshauri warudishwe kazini na kwa sababu hata wakirudishwa, hao wamalawi wenyewe hawataweza kujua kuwa wamerudishwa, wao watatendelea kujua tu kuwa walishafukuzwa kazi, that way they will continue being happy kuhusiana na swagga la askari hawa
Kwa hatua kali kama hizi walizochukuliwa askari hao kwa sasa, wakati mwingine tutakuwa tunatengeneza nidhamu ya woga kwa askri wetu, kitu ambacho siyo kizuri sana. Juzi tu wametupigania kwenye janga la ajabu la mtu aliyekuwa ameshika silaha na kuua baadhi ya askari, sasa leo tena askari hao hao wanafukuzwa kazi kwa kosa ambalo liliwaponyoka na la kuchochewa zaidi na wamamalwi wenyewe kwa kutokuwa loyal lwa askari wetu?
Sisemi kwamba kuingia na silaha ndani ya mipaka ya nchi nyingine siyo kosa, ni kosa ila wakati mwingine tuangalie hao walioingia na silaha motive yao ilikuwa nini nini!

Ingekuwa kwa mfano tuseme, askari hao hao kwa bahati mbaya wameingia ndani ya nchi kama Kenya au Uganda, wangepigwa hayo mawe? Kenya au Uganda wasingepigwa isipokuwa wangepewa ushirikaiano na badala yake mhalifu aliyekuwa akiwakimbia askari angekamatwa

Mimi kama mtanzania maskini nashauri askari hao wasamehewe kwa onyo kali la kutokurudia kosa hilo kwenye utumishi wao wote, warudishwe kazini ikiwezekana. After all, wamalawi wenyewe hawatajua kama wamerudishwa kazini. Wawarudishe kimya kimya wala wasitutangazie hata sisi wanachi kuwa wamewarudisha.

Jamani tukumbuke kwenye issue ya juzi risasi zilipokuwa zinarindima barabarani kazi waliyofanya haikuwa ndogo, mpaka wengine wamepoteza maisha. Leo kwa bahati mbaya tu watu hao hao wame-tress pass tena kwa bahati mbaya tu na wakiwa na nia njema, tunawafukuza kazi?. Nashauri IGP awafikirie na hawa pia kama alivyowafikiria wale ambao walihangaika na tukio lile la ughaidi. Kwanza kile itendo tu cha kuwa wamefukuzwa kazi mpaka muda huu, kinawatosha kama adhabu inayolingana kabisa na kosa walilofanya, assuming wanarudishwa tena kazini hata leo
Watanzania maskini hawa hawana ajira, kwa bahati mbaya hawa watoto pengine wamejiunga na jeshi la Polisi hata miaka 10 wengine hawajafikisha, mambo mengi bado wanajifunza. Naomba rai positive ya watanzania iwe juu ya watoto hawa ili waweze kusamehewa na kurudishwa kazini

I have been in Malawi, nawajua attitude yao ilivyo kwetu
Kumbuka kuwa askari wetu walifyatua risasi ugenini,wakaleta taharuki kwa wenyeji.
 
Hawa watu kama wewe unadai kuwa ni wabovu, basi sisi sote kwa ujumla wetu ndiyo wabovu. Hawawezi wao wakawa wabovu halafu sisi tukawa wazuri. Kama ni wabovu, si watakuwa walitokana na sisi? Sasa wanakuwaje wao wabovu halafu sisi tukawa wazuri? Unless kama labda walishushwa kutoka sayari nyingine
Endelea kunibishia, Ila siku yakikupata dhidi ya vitendo vya dhuluma ndiyo utakumbuka Uzi huu.
 
Mmeanza kuteteana,hao Ni wahalifu wamekiuka Sheria za nchi na adhabu ndo hiyohiyo Tena wangeshitakiwa kwa kutumia gari ya serikali ambayo sisi watz tunakatwa Kodi,harafu mtu mmoja adai warudishwe kazini kimyakimya nadhani ulikuwa na mgao Kama wangempata waliyokuwa wanamfuatilua,tuache kuteteana kwa Mambo ambayo tayali wameshatoa adhabu.hata unadai aliuawa ukimaanisha Hamza,hata hao walioshiriki kuua nao wangeshitakiwa Sasa badala yake wanaopewa zawadi ya ushujaa Nani aliwaambia kuwa Hamza kuwa anaviashiria vya ugaidi?yote haya Ni kulindana ili asiwepo mtu wa kudai haki ya ndugu yake acheni kudanganyana nchii iko mbali sana watu walishasoma wanawaangalieni tu.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
Lakini si mmepata vijisiwa vya Zanzibar ? Endeleni tuu kujikita na mambo yasio na tija i.e muungano. Mkijikita na mambo yasio na maana mtashtukia hata Kenya wameramba mlima wa Kilimanjaro. Vugu vugu la kiafrika ndio hilo faida zake .... 😉
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi [emoji34]

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
Ni kweli suala hili si la kufumbia macho na Wizara husika ya kwanza ni ile ya Mambo ya Nje kushughulikia huo upotoshwaji. Aidha kuna ramani zinauzwa barabarani zenye upotoshwaji wa mipaka kama unavyodai. Hizo ramani zinatakiwa zipigwe marufuku na kukemewa kama ambavyo tunakemea raia akiamua kuvaa sare za jeshi au polisi! Ni kweli hii ndiyo hoja ya Uzalendo wala isichanganywe na polisi wetu kuvuka mpaka bila utaratibu. Tusichanganye hoja!
 
Lakini si mmepata vijisiwa vya Zanzibar ? Endeleni tuu kujikita na mambo yasio na tija i.e muungano. Mkijikita na mambo yasio na maana mtashtukia hata Kenya wameramba mlima wa Kilimanjaro. Vugu vugu la kiafrika ndio hilo faida zake .... 😉
Kuwa mzalendo
 
Ni kweli suala hili si la kufumbia macho na Wizara husika ya kwanza ni ile ya Mambo ya Nje kushughulikia huo upotoshwaji. Aidha kuna ramani zinauzwa barabarani zenye upotoshwaji wa mipaka kama unavyodai. Hizo ramani zinatakiwa zipigwe marufuku na kukemewa kama ambavyo tunakemea raia akiamua kuvaa sare za jeshi au polisi! Ni kweli hii ndiyo hoja ya Uzalendo wala isichanganywe na polisi wetu kuvuka mpaka bila utaratibu. Tusichanganye hoja!
Asante kwa kuliona hili mkuu
 
Wewe Unataka serikali gani??!!--- wewe huioni hiyo iliyokamata "magaidi"??!!🤣
😁😁😁
MoGJh.jpg
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi [emoji34]

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
Hili ziwa linaonekana Lina potential kubwa sana Mimi Ni mfuatiliaji mzuri wa billionaire wa Zimbabwe Strive Masiyiwa na sku moja almuuliza billionaire mmoja wakiwa ujerumani Ni fursa gani anaiona Africa yule billionaire alitaja ziwa Nyasa lina potential yakutengeneza billions of usd per year na wala sio kwa sababu ya uwepo wa madini yeyote statement ile ilimfanya strive kujiulza Ni Nini huyu jamaa kakiona ambacho Mimi skioni anyway ngoja nkuwekee mazungumzo yao nimecopy paste kwenye page yake fb


"Reflection:
Many years ago I was at a business conference in Germany, when I found myself speaking casually to one of the most brilliant industrialists of his generation: Juergen Schrempp, who ran Mercedes Benz.
On realizing that he had travelled in Africa, I asked him what was the most interesting [business] opportunity he had seen:
“Lake Malawi”, he replied without hesitation, before adding “what an amazing asset. They should be earning hundred billion a year from it already. It has nothing to do with any minerals.”

He said it with such passion, and then left.
I was deeply troubled in my spirit, as I wondered what he had seen.

What he said has always come to me, when I see a natural wonder in Africa:
I once flew in an aero plane at low altitude following the course of the Congo River. I had my hand held over my mouth all the way, totally stunned by what I was seeing—it’s majestic beauty!
“What an opportunity! Oh my goodness!” I kept shouting in wonder:
“Imagine what a generation of entrepreneurial leaders will one day do with this...”
#Perhaps you are the one?
I will know by the way you comment... if you will comment by complaining about the bad leaders you think exist, then it is not you!" Mwisho wa kunukuu Sasa wakuu ebu tujadili sote hapa Lina potential ipi au Ni mambo ya logistics??
 
Kwa jinsi dunia inakoelekea now,tunatakiwa kukuza jeshi.Tuwe na jeshi kubwa la kisasa.For the next 10 years ni muhimu kukuza jeshi la Tanzania.
Huenda post yangu ikaeleweka baadae sana after those 10 years.
Imeshaeleweka, umeona post za vyombo vya ulinzi na usalama zinataka watu wa skills zipi?
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
Achana na maramani hayo, nimetoka kuogelea jana tu na sikudaiwa viza ya kuingia malawi
 
Acheni tuliilinde nchi dhidi ya chadema hayo Mambo ya mipaka naona hayatuhusu.
 
Hiyo mipaka iliwekwa na Wajerumani na Waingereza....wakati wa mjerumani alipokuwa Malawi huo mpaka ulikuwa ufukweni mwa ardhi yetu Ila baada ya Mwingereza kutawala kotekote Malawi na Tanganyika mpaka ukawekwa katikati. Hili si suala la kuwa tuna jeshi Wala Nini. Mambo ya kidiplomasia yanajadiliwa na kutatuliwa kimataifa. Nguvu haisaidii kitu hapa
 
Unaweza uka
Mbona mimi last December nilipoenda likizo, nilitembelea mpaka Matema beach ambako tuliogelea, tukapanda kwenye boti ya mota na kuanza kuzunguka kuingia ndani km nyingi tu lkn hakuna aliye tubugudhi. Inawezekana hiyo ni mipaka ya kwenye makaratasi tu.

Hakuna nyaraka yoyote ya kisheria ambayo imempa mamlaka Malawi ya kumiliki ziwa lote upande wa Tanzania na nusu upande wa Msumbiji.
Pewa gari na ukaendesha kwenda nalo kila mahali lakini wewe siyo mmiliki wa gari mwenye kadi ndiye mmiliki.

Nenda kaogelee lakini mwenye umiliki wa mpaka ni mmalawi kulingana na hiyo ramani
 
Back
Top Bottom