eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Uko sahihi,au inawezekana anachokoza tu kutaka kuona tutafanya Nini??.
Inabidi tupeleke exploration company. Halafu tusikilizie muziki wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi,au inawezekana anachokoza tu kutaka kuona tutafanya Nini??.
Mambo ni mdogomdogo mkuu. Kama ramani imebadilishwa kuna siku ya tutapigwa marufuku
Jirani akimega kiwanja chako usipomchukulia hatua kali, atavunga jamii ikishazoea kwamba eneo alilomega ni lake ndipo anakuja kuweka uzio
Kwa ramani ambazo Malawi wanazitumia ziwa Nyasa linaonekana hivyo na wao wanaliita Lake Malawi. Lakini kwa ramani za mitaala ya Tanzania ziwa Nyasa limegawanyika kwa dotted lines. Ukiona dotted lines kwenye ramani maana yake hiyo border iko kwenye dispute.Wamalawi wanajidanganya
Huwezi kudai maji yaliyopakana na vijiji vya nchi nyingine kuwa wakienda kuchota maji kwenye ziwa hilo basi wako nchi jirani.
Hatuwezi kukubali ujinga huo!
Ila ubaya wa hii kitu, mabeberu wanaweza kuitumia kutublackmail ili tuwape concensions kadha wa kadha la sivyo watambue kuwa ziwa lote ni mali ya Malawi
Hotel ya Mwamunyange ipo Ngonga kwenye makutano ya mto Kiwira na ziwa, kwa pembeni kidogo kuna makutano ya mto Songwe na ziwa ambao ni mpaka wa nchi hizi mbili,hakuna hata fujo za majini.Hii habari inaleta taharuki.
Nitaenda mwenyewe hadi Kyela-Matema Beach nitafikia hoteli ya Jenerali Mwamunyange nione kama haturuhusiwi kugusa hayo maji.
Wanasiasa ndio wachoganishi. Wananchi hata hawajui chochote.Hotel ya Mwamunyange ipo Ngonga kwenye makutano ya mto Kiwira na ziwa, kwa pembeni kidogo kuna makutano ya mto Songwe na ziwa ambao ni mpaka wa nchi hizi mbili,hakuna hata fujo za majini.
Ajabu ni kuwa, watu wa Nkatabay na Mbambabay, Kyela na Karonga huu mgogoro ni kama hauwahusu kwa uhusiano walio nao. Wanaishi kindugu kabisa.
Halafu ukiwa hapo hotelini kwa Mwamunyange, tunatumiwa sms kwenye simu zinasema Welcome to Malawi.Hotel ya Mwamunyange ipo Ngonga kwenye makutano ya mto Kiwira na ziwa, kwa pembeni kidogo kuna makutano ya mto Songwe na ziwa ambao ni mpaka wa nchi hizi mbili,hakuna hata fujo za majini.
Ajabu ni kuwa, watu wa Nkatabay na Mbambabay, Kyela na Karonga huu mgogoro ni kama hauwahusu kwa uhusiano walio nao. Wanaishi kindugu kabisa.
Ishu hapo ni mafuta na gesi kifupi Mzungu hapo amefanikiwa kuingiza mgogoro (boko haramu) hivo lazima adili na jeshi moja tofauti akidili na majeshi mawili na la tz kwakua litakua na haki ya kuingilia kupambania mpaka wetu ziwaniMkuu fuatilia huo mgogoro utaona kuna mazingira tunatengenezewa ya kuporwa hilo eneo.
Mbona ile rasi ya Crimea uwekezaji unaendelea kama kawaida japo liliporwa kibabe mwaka 2014?
Hili ni Swala na Waziri wa mambo ya ndani na Nje kulishughulikia kwa HarakaNawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.
Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.
Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.
Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠
Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.
Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.
View attachment 1804817
Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.
View attachment 1804818
Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.
Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?
Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?
Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.
Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Rukwa ni wao
Mtaweza kuwapelekea 🔥 au maneno tuKama wanajiamini Ziwa lote ni lao waanze kufanya mishe mishe zao ziwa zima waone MOTO 🔥🔥
Na hili ni tatizo la Kuwa na serikali masikini, kwani kwa miaka 60 sasa hatujachukua hata hatu kuwekeza kwenye hayo maziwa, hata kuweka Boti za wanajeshi Kufanya doria kuweka maboya Kuchora ramani ya nchi yetu na kuiweka Kwenye satellite, hivyo vitu vinahitaji pesa, na serikali haina pesa, Umasikini ni laana sanaIshu hapo ni mafuta na gesi kifupi Mzungu hapo amefanikiwa kuingiza mgogoro (boko haramu) hivo lazima adili na jeshi moja tofauti akidili na majeshi mawili na la tz kwakua litakua na haki ya kuingilia kupambania mpaka wetu ziwani
otherwise....
Atafanya amefanya makubaliano na wakuu wa vipenyo ili diplomatically wakubali matokeo ili wapate mgao