Zizzou arejea tena Santiago Bernabeu

Wazungu hawana shukurani.
 
Haya yatakuwa ni maamuzi ya wachezaji lakini ukweli ni kwamba Madrid hata kipindi cha Zidane haikuwa kuwa stable


Zidane hakuwahi kubeba La Liga pamoja na kubeba CL..

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaap, hata ilivyochukua uefa ni kizari sana, kikosi kilikuwa cha kusukwa tena upya, la zidane kurudi, angeacha tu heshima aliyoijenga mara ya Kwanza otherwise watamtimua mapema sana,
 
Alijaribu kuvizia MANUTD na CHELSEA, wakamchunia! Abaki huko huko, England presha juu kila wakati!
Hahahaaa, eti kuvizia. Hivi kocha mwenye success kama Zidane ni wakuvizia timu? Baada ya kuondoka Madrid alisema anapumzika.

Coments za wengi humu ni maumivu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wengine mlitegemea aende kwenye timu zenu huko ila ndio hivyo.
Gadiola anawanyoosha huku na pressure zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…