Timu ya Man City hata angepewa Moyes ingesumbua tu.Halafu nakumbuka kuna watu walisema Guadiola Epl angefeli maana alifundisha ligi isiyokuwa na ushindani ona sasa Liverpool alikua anaongoza point 9 now amezidiwa yeye point 1
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu hawajui kuwa kwasasa Madrid haina presha maana haigombei taji lolote hivo, ni muda mzuri kwake kuisuka timu bila bugdha,Tulieni mshangilie timu zenu, Zidane kasema anaipenda sana Real Madrid. President amemuomba kuja kuokoa jahazi kakataa kuongea kuhusu usajili kasema anaanza kazi kesho jumanne na focus ya game 11 zilizobaki. Mnaosema atafeli hamjui mkataba wake una thamani ya EUR milioni ngapi. Utafeli wewe na betting yako kwa muhindi
Punguza ushabiki na chuki. Zidane anaelewa nguvu ya Messi na anaheshimu uwepo wa Messi. Kwa miaka mitatu ambayo Zidane alikua kocha wa Real Madrid, alifanikiwa kuchukua ubingwa wa La Liga mara moja tu na hakufanikiwa kuchukua kombe la mfalme hata mara moja.Kwani Zidane hakuifundisha madrid na huyo paka mess wako hakuwepo
Super hero daddy
Pep Guardiola ni habari nyingine. Kuna watu walikuwa wakimtukana sana akiwa Barca na Bayern. Wakijinadi aje EPL aone mziki..... Hapo EPL kila mwezi anavunja records zao zilizodumu kwa muda mrefu na kuweka records zake. USIEMPENDA KAJA......
Alijijengea heshima yake na anaenda kuiharibu yeye mwenyeweView attachment 1043267
Njaa mbaya sana ! huyu safari hii ni lazima adhalilike sana
Utaambiwa anabebwa na mihela ya timu....Pep Guardiola ni habari nyingine. Kuna watu walikuwa wakimtukana sana akiwa Barca na Bayern. Wakijinadi aje EPL aone mziki..... Hapo EPL kila mwezi anavunja records zao zilizodumu kwa muda mrefu na kuweka records zake. USIEMPENDA KAJA......
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo bossTimu ya Man City hata angepewa Moyes ingesumbua tu.
Pep Guardiola amekwenda EPL kuwa usiempenda kaja. Waliokua wanamponda na matusi ya kila aina siku nyingi sana walishakubali wanakuambia Pep kocha wa mafanikio na records.Hahahaaa, eti kuvizia. Hivi kocha mwenye success kama Zidane ni wakuvizia timu? Baada ya kuondoka Madrid alisema anapumzika.
Coments za wengi humu ni maumivu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wengine mlitegemea aende kwenye timu zenu huko ila ndio hivyo.
Gadiola anawanyoosha huku na pressure zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiempenda kaja.....Halafu nakumbuka kuna watu walisema Guadiola Epl angefeli maana alifundisha ligi isiyokuwa na ushindani ona sasa Liverpool alikua anaongoza point 9 now amezidiwa yeye point 1
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi binafsi huwa sielewi wanatumia vigezo gani kusema EPL ndio ligi bora huku karibu miaka 10 La Liga ndio inatawala UEFA & Europa CupHao tushawazoea wanasema spain ligi mbovu ila miaka 5 UEFA haijatoka nje ya spain
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakikutana na Seville nk wanaangukia puaHamna kitu EPL, nguvu nyingi kuliko akili.
Utetezi wao watakwambia Laliga ni timu 2 tu Baca na Madrid, wakati wakikutana na hizo nyingine zinawagonga tu.
Wanasahau Madrid na Baca kwa misimu kadhaa sasa wamekua kwenye level ya peke yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli et wanapenda timu zenye mpunga mrefu. Sema wanapenda timu zinazotaka mafanikio. Na kwa sasa mpira ni pesa. Bila kuwa na pesa utaishia kuwa msindikizaji kama Arsenal. Nitajie timu yenye mafanikio na haitumii pesaHapa ndio anaenda kuchafuka kabisa na ukocha wake ndio anaenda kuutia nuksi. Huyu na Gudiola hawana tofauti wanapenda Timu zenye mpunga mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi.....Kocha gani anaependa timu isiyo na hela??
Ukiona kocha au mchezaji anaenda vitimu vya ajabu ujue ndio kiwango chake kilichofikia.
Unategemea aende Newcastle??
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni maisha na hizi ndio ajira zao. Tuache Zidane afanye maisha yake. Hivi Mourinho amewahi kuajiriwa darajani Chelsea mara ngapi?Kabisa, sidhani Kama atapata kismat tena. Jamaa anaenda kuharibu jina lake pale Bernabeu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichoandikwa hapa ni uoga wa maisha. Uoga wako ndio umasikini wakoUkweli Zidane kakosea naona kama ataharibu CV yake ila hatujui kilichomtoa na kumrudisha hapa ni kama umetoa talaka halafu unaenda kuowa tena. angeweza kwenda kujipima sehemu zingine na tujuwe kama ni kweli kocha wa kiwango maana kushinda na Madrid kwangu sio kipimo. aombe Mungu afanikiwe ila akichemka tu na yeye atapotea watu wataona team ilikuwa nzuri tu lakini hakuna Tactic wala kipya. pia baadhi ya wachezaji umri na kujenga team inachukuwa muda. ukweli kurudi imepoteza mvuto fulani hivi sijui lakini tusubiri...
Mimi binafsi huwa sielewi wanatumia vigezo gani kusema EPL ndio ligi bora huku karibu miaka 10 La Liga ndio inatawala UEFA & Europa Cup
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuache au tupunguze chuki. Man Cty hii hii kabla ya Pep Guardiola walipita makocha wengine na tulishuhudia wakiteseka. Leo hii tunashuhudia Mourinho alivyoteseka na Man Utd timu yenye wachezaji ghali zaidi, pia tunashuhudia Maurizio Sarri akiteseka pale Chelsea timu ya tajiri mkubwa. Ndugu hautaathirika kwa namna yoyote ukikubali kuwa Man Cty inatesa kwa sababu ya uwezo wa kocha Pep GuardiolaTimu ya Man City hata angepewa Moyes ingesumbua tu.
Moyes huyu "The Chosen One" ambae aliipokea Man Utd iliyotoka kutwaa ubingwa wa EPL na ikamshinda! Hizi ni chuki dhidi ya Pep Guardiola "King of Tactics"Timu ya Man City hata angepewa Moyes ingesumbua tu.