Zizzou arejea tena Santiago Bernabeu

Zizzou arejea tena Santiago Bernabeu

Tulieni mshangilie timu zenu, Zidane kasema anaipenda sana Real Madrid. President amemuomba kuja kuokoa jahazi kakataa kuongea kuhusu usajili kasema anaanza kazi kesho jumanne na focus ya game 11 zilizobaki. Mnaosema atafeli hamjui mkataba wake una thamani ya EUR milioni ngapi. Utafeli wewe na betting yako kwa muhindi
Halafu hawajui kuwa kwasasa Madrid haina presha maana haigombei taji lolote hivo, ni muda mzuri kwake kuisuka timu bila bugdha,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Zidane hakuifundisha madrid na huyo paka mess wako hakuwepo

Super hero daddy
Punguza ushabiki na chuki. Zidane anaelewa nguvu ya Messi na anaheshimu uwepo wa Messi. Kwa miaka mitatu ambayo Zidane alikua kocha wa Real Madrid, alifanikiwa kuchukua ubingwa wa La Liga mara moja tu na hakufanikiwa kuchukua kombe la mfalme hata mara moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa, eti kuvizia. Hivi kocha mwenye success kama Zidane ni wakuvizia timu? Baada ya kuondoka Madrid alisema anapumzika.

Coments za wengi humu ni maumivu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wengine mlitegemea aende kwenye timu zenu huko ila ndio hivyo.
Gadiola anawanyoosha huku na pressure zenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pep Guardiola amekwenda EPL kuwa usiempenda kaja. Waliokua wanamponda na matusi ya kila aina siku nyingi sana walishakubali wanakuambia Pep kocha wa mafanikio na records.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaenda kufeli

MHUBIRI 4:13 SUV

"Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu. ambaye hajui tena kupokea maonyo."
 
Hapa ndio anaenda kuchafuka kabisa na ukocha wake ndio anaenda kuutia nuksi. Huyu na Gudiola hawana tofauti wanapenda Timu zenye mpunga mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli et wanapenda timu zenye mpunga mrefu. Sema wanapenda timu zinazotaka mafanikio. Na kwa sasa mpira ni pesa. Bila kuwa na pesa utaishia kuwa msindikizaji kama Arsenal. Nitajie timu yenye mafanikio na haitumii pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli Zidane kakosea naona kama ataharibu CV yake ila hatujui kilichomtoa na kumrudisha hapa ni kama umetoa talaka halafu unaenda kuowa tena. angeweza kwenda kujipima sehemu zingine na tujuwe kama ni kweli kocha wa kiwango maana kushinda na Madrid kwangu sio kipimo. aombe Mungu afanikiwe ila akichemka tu na yeye atapotea watu wataona team ilikuwa nzuri tu lakini hakuna Tactic wala kipya. pia baadhi ya wachezaji umri na kujenga team inachukuwa muda. ukweli kurudi imepoteza mvuto fulani hivi sijui lakini tusubiri...
Kilichoandikwa hapa ni uoga wa maisha. Uoga wako ndio umasikini wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Timu ya Man City hata angepewa Moyes ingesumbua tu.
Tuache au tupunguze chuki. Man Cty hii hii kabla ya Pep Guardiola walipita makocha wengine na tulishuhudia wakiteseka. Leo hii tunashuhudia Mourinho alivyoteseka na Man Utd timu yenye wachezaji ghali zaidi, pia tunashuhudia Maurizio Sarri akiteseka pale Chelsea timu ya tajiri mkubwa. Ndugu hautaathirika kwa namna yoyote ukikubali kuwa Man Cty inatesa kwa sababu ya uwezo wa kocha Pep Guardiola

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom