magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Timu ya Man City hata angepewa Moyes ingesumbua tu.Halafu nakumbuka kuna watu walisema Guadiola Epl angefeli maana alifundisha ligi isiyokuwa na ushindani ona sasa Liverpool alikua anaongoza point 9 now amezidiwa yeye point 1
Sent using Jamii Forums mobile app