Zoezi la anuani lishawahi kufanywa, wapigaji wanafikiri tumesahau

Zoezi la anuani lishawahi kufanywa, wapigaji wanafikiri tumesahau

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Ubinafsi uroho na ulaku wa kupiga hela ya umma unapelekea miradi nchini Tanzania kutolewa hela mara mbili au hata tatu.

Kwa mfano hili zoezi la anuani za makazi linalopigiwa kelele na hii inayojiita awamu ya sita kwa wenye kumbukumbu ni project ilishatolewa fungu tangu awamu ya 4 mwanzoni. Wala haihitaji wahenga kutolea maelezo. Mradi unakopewa hela and then zinafisidiwa mradi haukamiliki.

Huku bila wananchi kuelezwa mradi uliisha vipi tunaona tena fedha zinatengwa na kuunganishwa na mradi wa kuhesabiwa watu.

Tumeona waziri eti anazunguka nchi nzima na helicopter bila shaka ya kukodi ili walambe asali. Ni ubadhilifu juu ya ubadhilifu watu wakisema wanaambiwa eti ni wivu.

Kwa kweli nchi hii imeingia mkononi mwa wahuni.
 
Huyo waziri amekubali kuingizwa kingi azunguuke Tanzania kwa helicopter?
 
Ubinafsi uroho na ulaku wa kupiga hela ya umma unapelekea miradi nchini Tanzania kutolewa hela mara mbili au hata tatu.

Kwa mfano hili zoezi la anuani za makazi linalopigiwa kelele na hii inayojiita awamu ya sita kwa wenye kumbukumbu ni project ilishatolewa fungu tangu awamu ya 5 mwsnzoni. Wala haihitaji wahenga kutolea maelezo. Mradi unakopewa hela and then zinafisidiwa mradi haukamiliki.

Huku bila wananchi kuelezwa mradi uliisha vipi tunaona tena fedha zinatengwa na kuunganishwa na mradi wa kuhesabiwa watu.

Tumeona waziri eti anazunguka nchi nzima na helicopter bila shaka ya kukodi ili walambe asali. Ni ubadhilifu juu ya ubadhilifu watu walisema wanaambiwa eti ni wivu.

Kwa kweli nchi hii imeingia mkononi mwa wahuni.
Awamu ya 4 ya kipindi cha kwanza ya JK.
Dsm, Arusha, Zanj, Dodoma kwa kuanzia. Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi akiwa Tibaijuka, Mawasiliano akiwa Professor Msolwa na baadaye February na Mbarawa.
Nchi yetu hii .
 
Na bado NIDA wanajipanga kusajili vitambulisho vipya.
 
Pesa ipo mkuu, asali na madhiwa iko huku.
IMG_4832.jpg
 
Ubinafsi uroho na ulaku wa kupiga hela ya umma unapelekea miradi nchini Tanzania kutolewa hela mara mbili au hata tatu.

Kwa mfano hili zoezi la anuani za makazi linalopigiwa kelele na hii inayojiita awamu ya sita kwa wenye kumbukumbu ni project ilishatolewa fungu tangu awamu ya 5 mwsnzoni. Wala haihitaji wahenga kutolea maelezo. Mradi unakopewa hela and then zinafisidiwa mradi haukamiliki.

Huku bila wananchi kuelezwa mradi uliisha vipi tunaona tena fedha zinatengwa na kuunganishwa na mradi wa kuhesabiwa watu.

Tumeona waziri eti anazunguka nchi nzima na helicopter bila shaka ya kukodi ili walambe asali. Ni ubadhilifu juu ya ubadhilifu watu walisema wanaambiwa eti ni wivu.

Kwa kweli nchi hii imeingia mkononi mwa wahuni.
Nchi ina wenyewe na siyo wananchi.
 
Ubinafsi uroho na ulaku wa kupiga hela ya umma unapelekea miradi nchini Tanzania kutolewa hela mara mbili au hata tatu.

Kwa mfano hili zoezi la anuani za makazi linalopigiwa kelele na hii inayojiita awamu ya sita kwa wenye kumbukumbu ni project ilishatolewa fungu tangu awamu ya 5 mwsnzoni. Wala haihitaji wahenga kutolea maelezo. Mradi unakopewa hela and then zinafisidiwa mradi haukamiliki.

Huku bila wananchi kuelezwa mradi uliisha vipi tunaona tena fedha zinatengwa na kuunganishwa na mradi wa kuhesabiwa watu.

Tumeona waziri eti anazunguka nchi nzima na helicopter bila shaka ya kukodi ili walambe asali. Ni ubadhilifu juu ya ubadhilifu watu walisema wanaambiwa eti ni wivu.

Kwa kweli nchi hii imeingia mkononi mwa wahuni.
... hakuna la ajabu hapo; wote CCM!
 
Awamu ya 4 ya kipindi cha kwanza ya JK.
Dsm, Arusha, Zanj, Dodoma kwa kuanzia. Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi akiwa Tibaijuka, Mawasiliano akiwa Professor Msolwa na baadaye February na Mbarawa.
Nchi yetu hii .
CCM! CCM! CCM!
 
Si wamesema enzi za Mwendazake hakuna hela ililiwa. Nawaambia bora kipindi cha Samia, maama zoezi linaenda kukamilika
 
Awamu ya 4 ya kipindi cha kwanza ya JK.
Dsm, Arusha, Zanj, Dodoma kwa kuanzia. Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi akiwa Tibaijuka, Mawasiliano akiwa Professor Msolwa na baadaye February na Mbarawa.
Nchi yetu hii .
Kiongozi una kumbukumbu vzr mno....💪🏽👍🏽
 
Awamu ya 4 ya kipindi cha kwanza ya JK.
Dsm, Arusha, Zanj, Dodoma kwa kuanzia. Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi akiwa Tibaijuka, Mawasiliano akiwa Professor Msolwa na baadaye February na Mbarawa.
Nchi yetu hii .
Anwani za makazi na ofisi za Serikali zoezi lililiishafanyika na matokeo yake ni yale mabango ya mitaa iliyowekwa mjini kati. Hata wizara na Idara ziliishaamuliwa kutumia anwani hizi.

Sensa iliyopita zilitumika pia.... Inashangaza ni kwa nini nchi inaiingia gharama mara mbili, Je Chief Hangaya anaongopewa na wahalifu?
 
Back
Top Bottom