Wanawatesa sana mateka wapalestina ndio mana HAMAS ikapata ujasiri wa kuvamia kambi za jesh 4 ili kuwanusulu wenzao kutoka kwenye mikono ya magaidi wa Israel mtu umvamie kwenye ardhi yake na kisha uwatese raia wake kama ivo,, kweli wapalestina wamepitia mengi sana,