Zoezi la kubadilishana mateka na wafungwa litaanza Jumapili saa 8:30 a.m. (06:30 GMT), kati Israel na Hamas

Wanawatesa sana mateka wapalestina ndio mana HAMAS ikapata ujasiri wa kuvamia kambi za jesh 4 ili kuwanusulu wenzao kutoka kwenye mikono ya magaidi wa Israel mtu umvamie kwenye ardhi yake na kisha uwatese raia wake kama ivo,, kweli wapalestina wamepitia mengi sana,
 
Lkn waisrael wa kwareli uku wanakwambia wapalestina ndio wameshindwa vita!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…