TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Tunapoteza Protien! Hivi, hao nzige hawanaswi na mitego ya Senene itumikayo Kagera na Uganda!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili linaukweliRubani ameweka Mbele Proffesionalism.
Walitaka wafanye wanavyotaka wao ki Siasa.
Hawatamfanya lolote, Ngonjera tu
Inategemea na aina ya nzige, sio kila nzige ni chakula mzee baba.Tunapoteza Protien! Hivi, hao nzige hawanaswi na mitego ya Senene itumikayo Kagera na Uganda!!!
Asante sana kwa ufafanuzi! Kumbe nzige nao kama uyoga! Maana kuna uyoga wa sumu na uyoga chakula.Inategemea na aina ya nzige, sio kila nzige ni chakula mzee baba.
Hakuna sehemu isiokuwa na coronaSio kwamba atakuwa kaambiwa arejee nyumbani haraka, kutokana na hili janga ka Korona kweli.
Inawezekana atarudi labda atakuwa ameenda kwao kufuatilia mtungi wa oxygen.
Dona kantre.Uchumi wa kati haujafikiwa ndege kutoka FAO, rubani kutoka Kenya halafu utakuta kuna mtu anasema tuna kila kitu
Tena huku akibeza hao hao tunaotumia facilities zao na kuwaita wengine mabeberuUchumi wa kati haujafikiwa ndege kutoka FAO, rubani kutoka Kenya halafu utakuta kuna mtu anasema tuna kila kitu
Hata gari dereva huwa na muda wa kikomo kuliendesha bila kupumzika, rubani huwa na muda wa kukaa angani ukiisha lazima apumzike, hilo siyo lori la TOT, waziri hana mamlaka ya kumhoji rubani huyo ambaye yeye hajamuajiri.Waziri wa kilimo Prof Mkenda ameagiza zoezi la kuua nzige waliovamia mkoa wa Kilimanjaro liendelee kesho baada ya leo kusimama kwa sababu pilot wa ndege ya kumwaga sumu aliiacha ndege na kurejea Kenya.
Prof Mkenda amesema atamfuatilia pilot huyo kupitia mamlaka zake za juu na kwamba kesho itatumika ndege ya Shirika la Chakula Duniani FAO.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Ndege hiyo si ya Kenya ni ya jumuia, hauhitaji kuwa na ndege wakati nzige hutokea kwa nadra sana, ni sasa na kununua Blueband wakati hakuna bekari.Dili tu za watu. Ukienda hapo Kilombero sugar ndege za kunyunyiza dawa zipo karibu kila week.
Ila kama nazo hukodiwa kutoka Kenya, basi kutakua na shida ya kimfumo.
Tuombeane maendeleo.
Hapo serikali ijiongeze sasa,isomeshe maruban wake na hapo ule msemo wa kiswahili "mtegemea cha ndugu hufa masikini" ndio unafanya kazWaziri wa kilimo Prof Mkenda ameagiza zoezi la kuua nzige waliovamia mkoa wa Kilimanjaro liendelee kesho baada ya leo kusimama kwa sababu pilot wa ndege ya kumwaga sumu aliiacha ndege na kurejea Kenya.
Prof Mkenda amesema atamfuatilia pilot huyo kupitia mamlaka zake za juu na kwamba kesho itatumika ndege ya Shirika la Chakula Duniani FAO.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Bombadier, Airbus Zitumike Kunyunyiza DawaHivi sisi hatunaga ndege hizo
Mbona mara nyingi tz tunapenda
Kukodisha ndege ama helukopta
Kutoka kenya
Ova
Bila kusahau madawa(viwatilifu) pia yanatoka nje.Uchumi wa kati haujafikiwa ndege kutoka FAO, rubani kutoka Kenya halafu utakuta kuna mtu anasema tuna kila kitu
Ni hiyo iliyoachwa na rubani!Nilimsikia Waziri anasema kuna umilki wa pamoja (sasa sijui kwenye hiyo ya FAO au hiyo iliyoachwa na huyo rubani, kama kuna namna ya ku-share cost kwa ajili ya majanga mbalimbali)
Ndiyo maana wimbo wa nchi ya viwanda haupo tenaKumbe hata rubani anatoka Kenya[emoji849]
Kwanini ameondoka , au aliyepewa hiyo Kazi hajamlipa maana tusikiimbilie kumlaumu ,kunakuwaga na ujanja ujanja mno kwenye hizi tenda hasa kama aliyemkodi analeta ujanja ujanja wa kumlipa ...Waziri wa kilimo Prof Mkenda ameagiza zoezi la kuua nzige waliovamia mkoa wa Kilimanjaro liendelee kesho baada ya leo kusimama kwa sababu pilot wa ndege ya kumwaga sumu aliiacha ndege na kurejea Kenya.
Prof Mkenda amesema atamfuatilia pilot huyo kupitia mamlaka zake za juu na kwamba kesho itatumika ndege ya Shirika la Chakula Duniani FAO.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Yaani vijana wa chadema mmekaa tu hapa JF mnalalamika ,
Hakuna hata mmoja ambaye anaweza kuendesha ndege akawakilishe Chadema katika hilo??