Zoezi la kuwaondoa Wamachinga kwenye njia za Watembea kwa miguu Dar es Salaam, sijaona dalili yoyote ya wao kuondoka

Zoezi la kuwaondoa Wamachinga kwenye njia za Watembea kwa miguu Dar es Salaam, sijaona dalili yoyote ya wao kuondoka

Kwa Mujibu wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Amos Makalla , kuanzia leo Septemba 13 wamachinga wote wanaofanya biashara zao kwenye njia za watembea kwa miguu wanatakiwa kuwa wameondoka wao wenyewe pamoja na mabanda yao .

Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka, na sasa naelekea Kariakoo kujionea hali halisi .

Popote ulipo ndani ya Dar es Salaam tuletee taarifa ya wamachinga kuhusiana na zoezi hili muhimu
Kuwaondoa hawawawezi Ng'o labda kama wako tayari kumwaga damu! Wachutame tu na aibu zao kwa kushindwa kumshauri yule kichaa wao Mwendazake!
 
Mazingira rafiki yapi...??? Maneno hayo ndio kichaka cha mwendazake na genge lake la wahuni walitumia kuhadaa wananchi//...

Huwezi fanya bishara barabarani, CBD ambako kunatakiwa muda wote kuwe safi halafu uanaangalia watu wnakaanga mihogo na vitumbua....Wakati kuna sheria za Upangaji miji zipo.. kwanini hazisimamiwi..?? mkiambiwa ukweli mnakimbilia watengenezewe mazingira.. Stupid
Kile kibaraza chako siku ukitaka kupaka rangi ulipie kodi asee..!
 
Kwa Mujibu wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Amos Makalla , kuanzia leo Septemba 13 wamachinga wote wanaofanya biashara zao kwenye njia za watembea kwa miguu wanatakiwa kuwa wameondoka wao wenyewe pamoja na mabanda yao .

Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka, na sasa naelekea Kariakoo kujionea hali halisi .

Popote ulipo ndani ya Dar es Salaam tuletee taarifa ya wamachinga kuhusiana na zoezi hili muhimu
Nipo Kariakoo hapa Gerezani mi mwenyewe nilisahau ndo umenikumbusha hapa baada ya kuona uzi wako.
 
Kwa Mujibu wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Amos Makalla , kuanzia leo Septemba 13 wamachinga wote wanaofanya biashara zao kwenye njia za watembea kwa miguu wanatakiwa kuwa wameondoka wao wenyewe pamoja na mabanda yao .

Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka, na sasa naelekea Kariakoo kujionea hali halisi .

Popote ulipo ndani ya Dar es Salaam tuletee taarifa ya wamachinga kuhusiana na zoezi hili muhimu
Mna ajira za kuwapa?

Rais Samia amesema wamachinga wapangwe vizuri ili wafanye biashara kwa mujibu wa sheria na taratibu!
 
hahahah hapa mbezi mwisho ndio wajaa sana leo... naelekea kimara ntakujuza.... Makalla akifanikiwa kuwaondoa wamachinga apewe tunzo kabisa
 
Kwa Mujibu wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kuanzia leo Septemba 13 wamachinga wote wanaofanya biashara zao kwenye njia za watembea kwa miguu wanatakiwa kuwa wameondoka wao wenyewe pamoja na mabanda yao.

Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka, na sasa naelekea Kariakoo kujionea hali halisi.

Popote ulipo ndani ya Dar es Salaam tuletee taarifa ya wamachinga kuhusiana na zoezi hili muhimu
Wanepewa maeneo mapya ya kazi!??
 
Naona serikali inarudia mchezo wa kufukuzana na vijitu vidogo vidogo mabarabarani kama enzi za mzee Ruksa!
 
Yaani miji imekuwa michafu utadhani majalala, yaani watu wanapikia mpaka barabarani na kutupa taka hovyo tu, fukuza wote miji iwe misafi na ya kuvutia, sio kila kona kuvuta harufu ya mbaya ya takataka
 
Back
Top Bottom