Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku sita ni chache Sanatupo hapa ila nina uhakika mpaka zoezi linafungwa kuna watu watakuwa hawajahesabiwa,especially huku mjini
nami kuhakikisha hilo sitatoka hapa nyumbani mpaka zoezi linaisha ili nione
Sent from my CAM-AL00 using JamiiForums mobile app
Acha wote tule hii national cake. Walimu kila kitu wao tu khaa mridhike lakini nanyi wajumbe posho za kesi za wanakaya haziwatoshi mnataka na sensa pia😂Zoezi hili lingetumia Walimu wa shule za Msingi na Serikali pamoja na Wajumbe wa nyumba kumi kama ilivyo
mimi bado sijahesabiwa ndugu yangu!Zoezi la kuhesabu watu katika sensa ya watu na makazi limefikia 54% hadi leo Agosti 26, 2022.
View attachment 2335641