Zoezi la Ugawaji wa Anwani za Makazi bado linasuasua

Zoezi la Ugawaji wa Anwani za Makazi bado linasuasua

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Licha ya Viongozi kusisitiza kuharakisha na kukamilika kwa zoezi la Ugawaji wa Anwani za makazi ifikapo mwezi Mei mwaka huu 2022 lakini uchunguzi umebaini bado zoezi hilo linasuasua ktk baadhi ya maeneo mengine ktk Jiji la DSM.

Ikumbukwe zoezi hili ni muhimu sana kwa Taifa letu hivyo ni muhimu watendaji wa zoezi hili wakafuatilia mchakato huu kwa karibu sana, kuna baadhi ya wenyeviti wa mitaa na Serikali za mitaa hawapo serious na zoezi hili.

Mawaziri husika, wabunge na madiwani wa maeneo husika fuatilieni zoezi hili kwa ukaribu.

Nawakumbusha tena viongozi wote wenye dhamana ya kulisimamia zoezi hili, timizeni wajibu wenu, kama ktk Mkoa wa DSM tu zoezi linalega vipi huko pembezoni?!!
 
Limesimamiwa na local govt, limekuwa local haswa!

Wakurugenzi wanachojua ni kubana matumizi ili chenji wagawane.
Hili zoezi lazima litaondoka na vichwa kadhaa.

Haliendi kama vile mhe. Rais alivyo kusudia.
 
Hivi unawezaje kujua postcode yako? Kila nikibonyeza hizo code sioni muendelezo WA maana WA kujua code za mtaa wako.
Screenshot_2022-04-04-09-41-13-654_com.google.android.apps.messaging.jpg
 
Licha ya Viongozi kusisitiza kuharakisha na kukamilika kwa zoezi la Ugawaji wa Anwani za makazi ifikapo mwezi Mei mwaka huu 2022 lkn uchinguzi umebaini bado zoezi hilo linasuasua ktk baadhi ya maeneo mengine ktk Jiji la DSM.

Ikumbukwe zoezi hili ni Muhimu sana kwa Taifa letu hivyo ni muhimu watendaji wa zoezi hili wakafuaatiia mchakato huu kwa karibu sana, kuna baadhi ya wenyeviti wa mitaa na Serikali za mitaa hawapo serious na zoezi hili.

Mawaziri husika, wabunge na madiwani wa maeneo husika fuatilieni zoezi hili kwa ukaribu.

Nawaakumbusha tena viongozi wote wenye dhamana ya kulisimamia zoezi hili timizeni wajibu wenu, kama ktk Mkoa wa DsM tu zoezi linalega vipi huko pembezoni?!!
Hili zoezi lina awamu tatu. Kwahiyo bado sana. Sasa hivi wameanza mitaa ya mjini tu. Huko Mabwepande, Madale, Chanika, Maramba Mawili bado sana.
 
Hill zoezi lina awamu tatu. Kwahiyo bado sana. Sasa hivi wameanza mitaa ya mjini tu. Huko mabwepande, madale, chanika, marambamawili bado sana

Kumbuka hili zoezi ni la msingi sana kwani litafanya kazi ya Sensa kuwa rahisi na ya uhakika.
Tatizo serikali inaangushwa na watendaji wabovu.
Zilongwa mbali zitendwa mbali.
 
kumbuka hili zoezi ni la msingi sana kwani litafanya kazi ya Sensa kuwa rahisi na ya uhakika.
tatizo serikali inaangushwa na watendaji wabovu.
zilongwa mbali zitendwa mbali.
Kabisaaa yaani kuna halmashauri ma DED wapo OVYO sanaa
 
kumbuka hili zoezi ni la msingi sana kwani litafanya kazi ya Sensa kuwa rahisi na ya uhakika.
tatizo serikali inaangushwa na watendaji wabovu.
zilongwa mbali zitendwa mbali.
Bilioni moja kila mkoa ni hela ndogo sana
 
Bilioni moja kila mkoa ni hela ndogo sana
Kweli ni ndogo kwa sababu wapigaji ni wengi sana...................maadili watendaji wetu wamekaa kidili dili tu hata kwa mambo yenye masilahi kwa nchi wao kwao ni fursa ya kuiba.
 
Licha ya Viongozi kusisitiza kuharakisha na kukamilika kwa zoezi la Ugawaji wa Anwani za makazi ifikapo mwezi Mei mwaka huu 2022 lkn uchinguzi umebaini bado zoezi hilo linasuasua ktk baadhi ya maeneo mengine ktk Jiji la DSM.

Ikumbukwe zoezi hili ni Muhimu sana kwa Taifa letu hivyo ni muhimu watendaji wa zoezi hili wakafuaatiia mchakato huu kwa karibu sana, kuna baadhi ya wenyeviti wa mitaa na Serikali za mitaa hawapo serious na zoezi hili.

Mawaziri husika, wabunge na madiwani wa maeneo husika fuatilieni zoezi hili kwa ukaribu.

Nawaakumbusha tena viongozi wote wenye dhamana ya kulisimamia zoezi hili timizeni wajibu wenu, kama ktk Mkoa wa DsM tu zoezi linalega vipi huko pembezoni?!!
tn
 
Hill zoezi lina awamu tatu. Kwahiyo bado sana. Sasa hivi wameanza mitaa ya mjini tu. Huko mabwepande, madale, chanika, marambamawili bado sana
Mikoa ya Zanzibar imepewa milioni 500 kila mkoa pamoja na udogo ule
 
Licha ya Viongozi kusisitiza kuharakisha na kukamilika kwa zoezi la Ugawaji wa Anwani za makazi ifikapo mwezi Mei mwaka huu 2022 lkn uchinguzi umebaini bado zoezi hilo linasuasua ktk baadhi ya maeneo mengine ktk Jiji la DSM.

Ikumbukwe zoezi hili ni Muhimu sana kwa Taifa letu hivyo ni muhimu watendaji wa zoezi hili wakafuaatiia mchakato huu kwa karibu sana, kuna baadhi ya wenyeviti wa mitaa na Serikali za mitaa hawapo serious na zoezi hili.

Mawaziri husika, wabunge na madiwani wa maeneo husika fuatilieni zoezi hili kwa ukaribu.

Nawaakumbusha tena viongozi wote wenye dhamana ya kulisimamia zoezi hili timizeni wajibu wenu, kama ktk Mkoa wa DsM tu zoezi linalega vipi huko pembezoni?!!

Zoezi la Ugawaji wa Anwani za Makazi halina uhalisia na linafanyika kwa umaskini mkubwa sana​

 
Back
Top Bottom