Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka hata mi mwenyewe wamenitumia sana hizo SMS sema sikutaka hata kupoteza muda wangu niliishia kuziangalia tu.Hivi unawezaje kujua postcode yako? Kila nikibonyeza hizo code sioni muendelezo WA maana WA kujua code za mtaa wako.
View attachment 2175069
Bibi alishasema, watumishi wafanye kazi kwa utashi wa mioyo yao na sio kwa nidhamu uoga.kumbuka hili zoezi ni la msingi sana kwani litafanya kazi ya Sensa kuwa rahisi na ya uhakika.
tatizo serikali inaangushwa na watendaji wabovu.
zilongwa mbali zitendwa mbali.
Halmashauri za Rufiji, Mkuranga, Kongwa ni hovyo kupindukia.Kabisaaa yaan kuna halmashauri ma DED wapo OVYO sanaa
Naona wameupdate Ila mpaka kujua process ni ndefu kweliKaka hata mi mwenyewe wamenitumia sana hizo SMS sema sikutaka hata kupoteza muda wangu niliishia kuziangalia tu.
Alimaanisha "waafrika"!Huna kitu cha kuchangia zaidi ya hilo neno?