Kenya 2022 Zoezi la uhakiki limekamilika IEBC kumtangaza Rais mpya wakati wowote kuanzia sasa!

Kenya 2022 Zoezi la uhakiki limekamilika IEBC kumtangaza Rais mpya wakati wowote kuanzia sasa!

Kenya 2022 General Election

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ukumbimi hali ni shwari na Ulinzi umeimarishwa zaidi.

Unafanyika usafi pale katikati palipokuwa panafanyika zoezi la uhakiki

Watu wote wametulia wakisubiri matokeo

Kenya ni moja

Tukio liko mubashara Citizen tv

Yanayojiri;
Wageni wanaendelea kuingiza ukumbimi na tayari Wagombea wawili wa Urais wameshaingia ukumbini Ruto na Raila bado hawajaingia

Ulinzi ni imara kweli kweli ndani ya ukumbi

Kambi ya Rutto inaonyesha furaha zaidi kuliko zile kambi nyingine mbili

Matokeo rasmi yatatangazwa saa 9.00

Ulinzi umeimarishwa mara dufu ndani na nje ya ukumbi

Wakati huu Kwaya mbalimbali zinaendelea kutumbuiza wageni waalikwa

Ruto ameingia Bomas akiwa na escort ya polisi na Walinzi lukuki

Dalili za mvua ni mawngu

Bado Kwaya mbalimbali zinaendelea kutumbuiza wageni waalikwa

Ila wageni waalikwa wote wapo ukumbimi wanasubiriwa Raila na Rutto kisha mwenyekiti wa IEBC na jopo lake wataingia

Mwenyekiti wa IEBC ameingia na ghafla vurugu zinazuka viti vinarushwa na watu wanakimbizana ovyo

Mama Mzazi wa Ruto anatolewa ukumbimi

Hatimaye hali ya usalama imerejea na Chabukati amerudishwa ukumbimi akiwa hana miwani

Askofu mkuu wa Anglican analiombea Taifa

Ni hatari
 
Wakati Ruto jana ameenda kanisani kuwaambia wakenya wao ndio hupiga kura ila Mungu ndie huamua mshindi, hata pale baada ya kura elfu kumi kupunguzwa kwenye kura zake na IEBC...

Odinga kwa upande wake anaenda kanisani kuwaambia yeye ndie mshindi, amani itawale, hapa naona wakenya wameshatengenezwa kisaikolojia.

Kama hali ikitokea kuwa kama inavyoonekana hapo juu, sitashangaa Ruto akipewa shavu kwenye serikali ya Odinga, mchezo wa siasa unakuwa umeishia hapo.
 
Wakati Ruto jana ameenda kanisani kuwaambia wakenya wao ndio hupiga kura ila Mungu ndie huamua mshindi, hata pale baada ya kura elfu kumi kupunguzwa kwenye kura zake na IEBC...

Odinga kwa upande wake anaenda kanisani kuwaambia yeye ndie mshindi, amani itawale.
Ukifuatilia, philosophically, wamesema jambo lilelile moja.
 
Wanaoamini kuwa Kenya kuna tume huru na ya haki, wajiandae kisaikolojia.
Ikiwa binadam hajawahi kukamilika, iweje tume anayoisimamia ikamilike.

Ukitaka kuamini hili, subirini baada ya matokeo kutangazwa lazima kelele za wizi wa kura zitatokea.
 
lumumba macho kodo kwenye uchaguz huru hakuna kutekwa mgombea,hakuna kuzuia mawakala,hakuna kukamata wagombea kumbe mapigano yanaleta heshima ndio kinachotakiwa kufanyika ili nidham iwepo sio ujinga wa kipuuz kama unaofanyika hapa tanzania kwa upuuz wa lumumba
Hapo Ufipa st kura za Nyalandu mlimpa Tundu Lisu
 
Matokeo wamesema yanatangazwa Kesho jumanne
 
Ruto anaibuka kidedea labda zifanyike fitna, jambo ambalo linaweza kuwa hatari zaidi...
 
.
 

Attachments

  • IMG_20220815_104152.jpg
    IMG_20220815_104152.jpg
    131.4 KB · Views: 4
Back
Top Bottom