Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Vaa barakoa usisubiri kuambiwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na serikali imewapuuza watu kwahiyo ni mwendo wa BTTS!Mtaani, Daladala watu unakuta wameshonana kama kawaida ila zote unakuta mtu mmoja ndiye kavaa barakoa
Watu wameipuuza serikali
mm mkoa nilipo kama huvai hata gari hupandi. ni lazima si ombiWakuu kufuatia tangazo la Serikali kwamba marufuku mtu kupanda kwenye chombo cha usafiri bila barakoa, vipi linazingatiwa huko ulipo?
Mimi huku daladala za Gongo la Mboto hamna kitu, maisha ni kama zamani tu.
Mimi huku daladala za Gongo la Mboto hamna kitu, maisha ni kama zamani tu.
Hao wanatoa hayo matamko wanatimiza wajibu tu na waingize siku na posho.!Wakuu kufuatia tangazo la Serikali kwamba marufuku mtu kupanda kwenye chombo cha usafiri bila barakoa, vipi linazingatiwa huko ulipo?
Mimi huku daladala za Gongo la Mboto hamna kitu, maisha ni kama zamani tu.
Ni uoga tu ndugu, hofu ni mbaya sana!! Alafu kibaya zaidi viongozi ndo wanaogopesha wananchi bila sababu ya msingi, wakati huo wao kila siku wanaanza watu kwenye mikutano yao!! Mambo ya ajabu sanaYaani ni janga. Kwenye vyombo vya usafiri hakuna anayejali kuvaa barakoa
Kinachotokea ni kwamba kila mmoja anayo mfukoni lakini sijui ni kuona aibu au kutoona umuhimu, au kutokuwa na imani kama kweli unaweza ambukizwa... hapa inachanganya kwa kweli;
Juzi tu nilipanda mwendokasi, barakoa yangu mfukoni, nimetokea mbezi... kufika ubungo basi limejaa kichizi akaingia mtu mmoja anakohoa sana sana... watu tukaaanza kuangaliana kama vile tunaulizana ; "kuna usalama hapa".... yule mtu alivyozidi kukohoa sana pamoja na kwamba alikuwa anajizuia kwa mikono lakini mmmmm ..... kila mtu aliogopa.... nikaona isiwe tabu nikatoa barakoa yangu nikavaaa.... kile kitendo cha kutoa barakoa na kuvaa nikashangaa basi zima kila mtu anatafuta barakoa yake! wengine kwenye mapochi wengine mfukoni .... ndani ya dakika moja basi karibu lote watu walivaa barakoa.... nilicheka kwa sauti ... maana dah.... basi zima tulicheka! kimya kikapita....
Sasa bado najiuliza tuna nini watanzania??!!!!
Wameipuuza serikali au wamepuuza afya zao na uhai wao?Mtaani, Daladala watu unakuta wameshonana kama kawaida ila zote unakuta mtu mmoja ndiye kavaa barakoa
Watu wameipuuza serikali
Amen. Nimeipenda hii imani na Mungu azidi kutulinda.Yule Mungu aliemiokoa na phase 1 ndio ataendelea mpka mwisho wa huu upuuzi .
Acha tuitwe tu wapumbavu na ninyi mbaki na werevu wenu! Lakini tunapaswa kufuata Miongozo na taratibu nyingine za afya ili kujikinga na Korona! Wewe ambaye huogopi kufa mbona ukiugua magonjwa mengine unaenda hospitali?Unaataka wajali nini? Nyie watu mbona wapumbavu Sana na hiyo corona yenu?
Kwa hiyo usipopaga corona hutakufa?
Leo nilipanda basi mimi tu ndio nilivaa barakoaWakuu kufuatia tangazo la Serikali kwamba marufuku mtu kupanda kwenye chombo cha usafiri bila barakoa, vipi linazingatiwa huko ulipo?
Mimi huku daladala za Gongo la Mboto hamna kitu, maisha ni kama zamani tu.
Tusije kuwa tunadanganyana humu - wengine wameshachanjwaKwani ni corona tu inaua??? Msitishe watu bhana, mbona watu wanakufa kila siku na ajali, na magonjwa mengine, mbona mnaikuza sana corona??? Mm na familia yangu nilishaawambia hamna cha barakoa wala chanjo hapa!! YESU muumba mbingu na nchi aliyetuvusha 2020 ataendelea kutulinda hata leo