Zoezi la uvaaji barakoa kwenye vyombo vya usafiri linazingatiwa huko ulipo?

Zoezi la uvaaji barakoa kwenye vyombo vya usafiri linazingatiwa huko ulipo?

Kuna sehemu nyingine serikali kwa kushirikiana na wasafishaji wa abiria, wametengeneza uhaba wa vyombo vya usafiri, Matokeo yake watu wanajazwa kupita kiasi. Toyota premio inabeba watu 12!
Walichofanya ni kugawanya mbasi katika makundi labda mawili ili kila siku badala ya ya kuwepo magari 20 yawepo 10 tu. Halafu eti tuepuke msongamano! - usanii mwingine
 
Nilipo sasa watu wanavaa sana barakoa. Naona kwa speed ya wagonjwa KCMC na vifo watu wameogopa
 
Back
Top Bottom