Zoezi la Yanga kuandikisha wanachama kigiditali limepigwa na kitu kizito Zanzibar

Zoezi la Yanga kuandikisha wanachama kigiditali limepigwa na kitu kizito Zanzibar

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Hakuna mtu mwenye huzuni kubwa akalipia starehe. Sanasana atanunua kileo ili azisahau kidogo huzuni zake.

Yanga kupoteza kombe la mapinduzi litavuruga moto wa mashabiki kujiandikisha na kulipa sh 29,000 kigiditali. Viongozi wa Yanga hawakuangalia alama za nyakati kwa kuzindua mfumo wa Klinet na N Card wakati mmoja na mashindano ya mapinduzi ambao viongozi wa Yanga wameyapuuza kwa kuwapunzisha wachezaji wake muhimu na kocha mkuu.
 
Habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa ule mpira uliopotea Zanzibar umepatikana ukiwa umeleta maafa na kusababisha kifo cha panya mbobezi wa kutegua mabomu.

Msiba uko nyumbani kwa wazazi wa panya na tararibu za mazishi zinaendelea.

Alale pema peponj panya wetu...
 
Habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa ule mpira uliopotea Zanzibar umepatikana ukiwa umeleta maafa na kusababisha kifo cha panya mbobezi wa kutegua mabomu...
Hata ile ajali ya waandishi wa habari nina mashaka nayo sana na namna tunavyotangaziwa chanzo chake, kwasababu mara ya mwisho ripoti ilikuja kudai kuwa ule mpira umeonekana pande hizo hizo tena kwa kasi ile ile
 
Kumbe ni wakristo tu ndo wanaofanya maombi sasa waislam nao wasemeje? Kuweni makini maana suala la mental health ni ishu kubwa siku hizi
 
hakuna mchezaji aliyepumzishwa, wote walikuwa Zanzibar siku ya mechi
Waliletwa siku ya mechi na kuchezeahwa siku ya mechi, akili zao zilikuwa kwenye mapunziko kwao. Mchezaji sio robot kiasi hicho, kumchomoa ghafla kwenye mapunziko aliyopewa kihalali sio jambo jema.
 
Mkilala Yanga,mkiamka Yanga ama kweli makolonkoncho ni shida
Nafuu ya zoezi la uwandikishaji litapata ahueni kama Azam itashinda kikombe, sio vinginevyo, na nani alimtoa Msheri langoni?
 
Nabi alikuwepo pia? Ndani ya Yanga wapo Simba.
1642058121448.png
 
Hakuna mtu mwenye huzuni kubwa akalipia starehe. Sanasana atanunua kileo ili azisahau kidogo huzuni zake.

Yanga kupoteza kombe la mapinduzi litavuruga moto wa mashabiki kujiandikisha na kulipa sh 29,000 kigiditali. Viongozi wa Yanga hawakuangalia alama za nyakati kwa kuzindua mfumo wa Klinet na N Card wakati mmoja na mashindano ya mapinduzi ambao viongozi wa Yanga wameyapuuza kwa kuwapunzisha wachezaji wake muhimu na kocha mkuu.
Ni wachezaji gani muhimu waliopumzishwa ambao kama wangecheza basi matokeo yangekuwa tofauti?
 
Back
Top Bottom