Zoezi zima la uokoaji ajali ya Precision limetuacha uchi duniani, kuathiri sekta ya utalii nchini

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,492
Reaction score
2,361
Nimejaribu kufatilia vyombo vya habari karibu vyote duniani vimeonyesha tukio hili la ajali na zoezi zima la ukoaji namna lilivyoendeshwa kijima.

Binafsi naona dunia na watalii kwa ujumla wameona namna ambavyo Tanzania hatujawa tayari katika sekta nzima ya usafiri wa anga.

Juhudi za Royal tour ni kama zinaenda kuzimwa na uzembe wa watu wachache
 
 

Attachments

  • 6E6AA92E-291B-4B09-9531-5A49AC36915A.jpeg
    21.1 KB · Views: 4
Sio kipaumbele chetu

Kipaumbele chetu ni kutumia bilion 7 kufanya uzinduzi wa sensa!!

Tatizo la nchi hii toka alivyostaafu baba wa Taifa tunaongozwa na watu mazwazwa tu!!

Wenye akili waliamua kukaa pembeni na siasa za uongo za ccm;!!

Haya ndio Matunda yake kwa viongozi tulionao Kama ikitokea vita Kama ile ya Kagera miaka hii sijui Kama wanaweza kutuvusha!!

Tuna viongozi wajinga isitoshe kusema hivyo!!
 
Kweli tumekosa jeshi maji likasaidia katika uokozi. Au jeshi maji lipo kujipaka boda nyeusi na kupita siku ya maenesho viwanjani.

Watu wako kwenye maji toka saa 3 tunakuja tunaangaika kuvuta chombo na kamba ili tukitoe majini. Ikiwa tungeweza tumia njia mbadala ya kuwatoa kama kutoboa roof kwa nyuma ambako hakukua kumeingia kwenye maji.

Hii nchi hovyo sana
 
Ohooooo !!!
 
Katika vitu ambavyo hatupaswi kutamani basi kupigana vita na taifa linalojielewa. Tutapigwa mpaka tutafutane.
 
Kuna taarifa juu ya watu 2 kuzidi ndani ya ndege ilopata AJALI, imekaaje hii??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…