Zombe Aishitaki serikali, adai 5.2 Billion!!

Zombe Aishitaki serikali, adai 5.2 Billion!!

Hatutakubali kufanyika kwa malipo hayo. Tutaandamana watanzania wanajua aliyokuwa anayafanya Zombe na genge lake. Tunasubiri maamuzi ya mahakama. Hatutakubali ngo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mkuu mangapi hatujakubali na yamefanyika? Bila mabadiliko ya utawala maamuzi ya kijinga yataendelea kufanywa na tutaendelea kulalama tuu. Lazima tudhamirie kwa dhati kufanyika mabadiliko ili haya yasitokee.
 
huyu bwana hajui, hebu amuulize wakili wake kuhusu O J Simpson, celebrity wa USA akielezwa atafuta hiyo kesi haraka sana.
 
Watanzania tutaendelea kulipa fidia hizi zinazotokana nauzembe wa watendaji na viongozi wa serikali mpaka lini? ukichukua hili suala la Zombe, huyu bwana alipona mkono wa sheria kutokana na sababu za kiufundi; hivi sasa serikali italazimika kumlipa mabilioni ya fedha za walipa kodi. Zipo fidia nyingi zinazulipwa kwa makondrasi wa barabara kwa uzembe kama huo. Leo serikali inadaiwa fidia nyingi zinazotokana na mikataba mibovu. La kushangaza ni kwamba wakati watanzania masikini wanalazimika kukosa matibabu na elimu kutokana na matumizi hayo mabaya ya raslimali ya taifa, wale wanaosababisha hasara hiyo wanaendelea kupeta.
mbona unazungumza kama vile tayar zombe kalipwa au mahakama imesema alipwe..acha kua bingwa wa kulalamika
 
Hivi yule aliyeshika na kufyatua bastola alishapatikana? I think akiitwa PC Saad!
 
hembu atutoleee uchizi wake zile roho za watu ndio zinazomchizisha,unafanya masihala na roho za watu nini?
 
Suala la madai ya fidia kwa Zombe haliwezekani sasa hivi de facto (as a matter of fact) wala de jure (as a matter of law) na kama ameanza taratibu hizo sasa basi mibangi anayovuta imekikoroga vibaya kichwa chake! Suala la kuachiwa huru kwake na wenzake liko kwenye hatua ya rufani Mahakama ya Rufani ya Tanzania ambayo haijaisikiliza rufani hiyo na haijatoa uamuzi. Sasa yeye anaomba fidia ya nini? Anajuaje kama Mahakama ya Rufani haitamtia hatiani kwa kushiriki mauaji ya wauza madini wa Mahenge Morogoro ambayo in fact he played a central role in commission of the same to the extent of fabricating evidence as to where the deceased were killed!

Serikali haikukata rufaa hilo inaonyesha imeshindwa na haina ushahidi
 
abdallah zombe amerudi tena.mara hii adai serka fidia ya bil5 na mil200 kama fidia ya ile kesi ya kuua wafanya biashara.

Aaahaaaa!! Anatuchokoza wakati ss tulisha anza kumsahau, akae kimya tu, mikono yake imelowa damu ya watanzania wasio na hatia, hivi mnakumbuka jinsi mke wake alivyokuwa anajishaua wakati wa kesi, nadhani alikuwa anajua matokeo ya kesi, sawa basi kama mwanamke angeonyesha angalau ka uchungu kidogo ka wale waliouwawa.
 
abdallah zombe amerudi tena.mara hii adai serka fidia ya bil5 na mil200 kama fidia ya ile kesi ya kuua wafanya biashara.


he cant be serious, yaani ile damu alioua hadi leo inamlilia halafu hana aibu anadai serikali fidia ambayo italipwa kwa kodi zetu??

Hivi rufaa dhidi ya hukumu ya Zombe iliishia wapi. Mie ningekuwa Zombe natokomea kusikojulikana.
 
Zombe afungua kesi ya madai dhidi ya serikali mchezo huu mchafu wa serikali ya Ccm utaisha lini?
 
Uuuuuu wiiiiiii! Mwaka huu kweli kiboko,tuwalipe dowans,umeme juu na haupatkan,vyakula havishikiki,tena zombe naye atukamue! Kwel tz shamba la bibi.
 
Na bado,kesho tutasikia chenge anataka alipwe,kwani kuna shida gani si wanajichotea tu, Mungu ibariki Tanzania
 
Jinamizi la madai dhidi ya serikaki ya JK limezidi kuiandama serikali hyo safari hii si toka kwa dowans bali kwa aliyekuwa kamishina wa upelelezi,zomb...
 
Nchi itajengwa na wenye mo na italiwa na wenye meno ambao ndio akina RA, EL, CHENGE, ZOMBE.
 
hii sio breaking nyuzi , but hili linawezekana kushinda hii kesi kwa serikali yetu kama Tanzania ama jamaa mambo yanaweza kumgeukia asipokuwa makini.
 
Back
Top Bottom