mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
Mafuta utamuwekea wewe mkuu.Atakuwa anamuwekea na mafuta na kubadili oil!?
Mchukue wewe uwe meneja wake tuone.Harmonize yule ni mvuta bangi tu, amemuharibia huyo dada muelekeo kabisa.
Anjella angepata management nzuri alikuwa anawa challenge kina Nandy na Zuchu.
Mafuta utamuwekea wewe mkuu.
Nina miliki bmw kubwa sio jambo dogo kumiliki gari atakuwa anamuongezea mzigo Cha msingi ampe mtaji afungue Car wash na kuuza lubricants atakuwa amemsaidiaMafuta utamuwekea wewe mkuu.
Harmonize yule dogo ni mpumbavu na ana ushamba wa pesa, na hatofika popote.Mchukue wewe uwe meneja wake tuone.
hiyo nitafanya mimi tunataka gari kwanza.Atakuwa anamuwekea na mafuta na kubadili oil!?
Crown imeshafika kwa hisani ya Zuhurahiyo nitafanya mimi tunataka gari kwanza.
mh! mbona haraka sana na hatujaandaliwa waweka mafuta! nimezira imekuwa haraka mno! it's suprise to kill not to suprise!Crown imeshafika kwa hisani ya Zuhura
Pale hela IPO kasema katenda nadhani anaileta na full tank mziki mkubwa na pafyumu Cha msingi muwe makini msikwaluze metallic imepanda bei mno! !!mh! mbona haraka sana na hatujaandaliwa waweka mafuta! nimezira imekuwa haraka mno! it's suprise to kill not to suprise!
Sasa yeye kampa gari aya na wewe msaidie hivyo unavyosema ...wabongo mbona tunapendq kujipa umuhimu kwenye mipango ya watu.Nina miliki bmw kubwa sio jambo dogo kumiliki gari atakuwa anamuongezea mzigo Cha msingi ampe mtaji afungue Car wash na kuuza lubricants atakuwa amemsaidia
DuhHarmonize yule dogo ni mpumbavu na ana ushamba wa pesa, na hatofika popote.
Kazi kuchukua wanawake mishangazi wenye makalio.
Ukiangalia mwenendo wake unaona kabisa bado sana kukabiliana na kina Platinumz.
Mara madeni bank, utasikia kakimbia nyumba hajalipa kodi na vituko vya ajabu.
Kazi kuvuta bangi studio na kukohoa...
Amemuharibia huyo dada muelekeo...
Ndio wabongo tulivyo,namiliki gari hizi kitu ni pasua kichwa sana basi ampe ka IST afanye bolt au farasiSasa yeye kampa gari aya na wewe msaidie hivyo unavyosema ...wabongo mbona tunapendq kujipa umuhimu kwenye mipango ya watu.
Unataka kusema Anjella alikuwa Safi kimziki kabla ya kuchukuliwa Konde gang?Harmonize yule dogo ni mpumbavu na ana ushamba wa pesa, na hatofika popote.
Kazi kuchukua wanawake mishangazi wenye makalio.
Ukiangalia mwenendo wake unaona kabisa bado sana kukabiliana na kina Platinumz.
Mara madeni bank, utasikia kakimbia nyumba hajalipa kodi na vituko vya ajabu.
Kazi kuvuta bangi studio na kukohoa...
Amemuharibia huyo dada muelekeo...
Mkuu una hoja ila mwisho wa siku zawadi haipangwi....unajuaje labda walishwahi kuongea private akasema labda anawishi apate gari aina ya crownNdio wabongo tulivyo,namiliki gari hizi kitu ni pasua kichwa sana basi ampe ka IST afanye bolt au farasi