MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Tapeli huyo.....sijui konde ameingiaje hapo wakati ishu ni zuchu na angelaUnataka kusema Anjella alikuwa Safi kimziki kabla ya kuchukuliwa Konde gang?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tapeli huyo.....sijui konde ameingiaje hapo wakati ishu ni zuchu na angelaUnataka kusema Anjella alikuwa Safi kimziki kabla ya kuchukuliwa Konde gang?
Yah Hilo linawezekana sana na unajua kwa baadhi ya wasiojua magari (sio kosa kibinadam) huwa wanaangalia uzuri wa gari na namna ataingia na kutoka ndani ya gari akiwa kavaa vizuri ila matunzo ya gari ni mtihani sana ndio maana ukienda miji mikubwa Ulaya kama London Amsterdam na Frankfurt watu wanatumia train maana gas na matengenezo yanaweza kula kipato choteMkuu una hoja ila mwisho wa siku zawadi haipangwi....unajuaje labda walishwahi kuongea private akasema labda anawishi apate gari aina ya crown
Yule manzi yuko poa ana sauti na kipaji anacho.Unataka kusema Anjella alikuwa Safi kimziki kabla ya kuchukuliwa Konde gang?
Kwani ulimfahamu au kumuona akiwika kimuziki kabla ya kwenda Konde gang??Yule manzi yuko poa ana sauti na kipaji anacho.
Mafuta mbona hizo crown zinatumia kawaida sana.Ndio wabongo tulivyo,namiliki gari hizi kitu ni pasua kichwa sana basi ampe ka IST afanye bolt au farasi
Ukweli ni kwamba kama hana kipato cha uhakika hilo gari litamtia aibu maana atalipark au kuliuza kabisa.Yah Hilo linawezekana sana na unajua kwa baadhi ya wasiojua magari (sio kosa kibinadam) huwa wanaangalia uzuri wa gari na namna ataingia na kutoka ndani ya gari akiwa kavaa vizuri ila matunzo ya gari ni mtihani sana ndio maana ukienda miji mikubwa Ulaya kama London Amsterdam na Frankfurt watu wanatumia train maana gas na matengenezo yanaweza kula kipato chote
Anyway wish them all the best kushikana mkono ni vizuri
Ndio hivyo maana angekuwa sio maskini angenunua yake tena kimya kimya kama wale kinadada pale B.O.T ila hadi ananunuliwa basi mafuta oil na marekebisho mengine lazima iwe concernMafuta mbona hizo crown zinatumia kawaida sana.
Watz mmekariri mafuta, mafuta, mafuta, gari inayokwenda 10km/L mnasema inakula mafuta, sasa ukimiliki jeep zenye engine ya srt inakwenda 4 km / L si ndipo utachanganyikiwa.
Kiukweli gari yenye engine ndogo ni ishara ya umasikini.
"Kipato Cha uhakika"👏Ukweli ni kwamba kama hana kipato cha uhakika hilo gari litamtia aibu maana atalipark au kuliuza kabisa.
Kwani konde gang walimkuta mtaani anauza mahindi?Kwani ulimfahamu au kumuona akiwika kimuziki kabla ya kwenda Konde gang??
Kama alikuwa Bora Sana kabla ya kuchukuliwa Konde gang,,tunampongeza mnoo Kwa hilo,,na tunaomba aendelee kuwa bora zaidi hata baada ya kutoka Konde gangKwani konde gang walimkuta mtaani anauza mahindi?
Waliona ana kipaji kuzidi wengi tu, hivyo nyota njema huonekana asubuhi.
Kwanini konde gang waliacha wengine wakamchukua yeye?
Kusajiliwa na label ya muziki sio wataanza kukifundisha from scratch, lazima waone kuna kitu kwanza.
Kwa swali lako, ndio alikuwa na kitu tena si kidogo.
Sio kashindwa kununua, huwezi jua alikuwa kwenye savings anunue gari.Ndio hivyo maana angekuwa sio maskini angenunua yake tena kimya kimya kama wale kinadada pale B.O.T ila hadi ananunuliwa basi mafuta oil na marekebisho mengine lazima iwe concern
Kwani wasanii wote wanaofanya vizuri wapo konde gang?Kama alikuwa Bora Sana kabla ya kuchukuliwa Konde gang,,tunampongeza mnoo Kwa hilo,,na tunaomba aendelee kuwa bora zaidi hata baada ya kutoka Konde gang
apo sasaAtakuwa anamuwekea na mafuta na kubadili oil!?
Jombaa mbona naona kama Mmakonde kafanya kwa uwezo wake, kama unasema anakipaji tulitegemea aendelee kushaini maana wadau wapo wengi wakumsapoti.Kwani wasanii wote wanaofanya vizuri wapo konde gang?
Kwanza bora ametoka, atayumba kwa muda lakini atajipata tu.
This is classic poverty mentalityAtakuwa anamuwekea na mafuta na kubadili oil!?
Jipige dole ujiambie wewe ni shoghaThis is classic poverty mentality
Jipige kifuani mara tatu sema mimi ni bwege