Kwa hiyo kabla ya kuchukuliwa na harmonize alikuwa ana mwelekeo wa maisha, hata akina zuchu na vituo vya habari vilikuwa vinamfahamu au sio?Harmonize yule dogo ni mpumbavu na ana ushamba wa pesa, na hatofika popote.
Kazi kuchukua wanawake mishangazi wenye makalio.
Ukiangalia mwenendo wake unaona kabisa bado sana kukabiliana na kina Platinumz.
Mara madeni bank, utasikia kakimbia nyumba hajalipa kodi na vituko vya ajabu.
Kazi kuvuta bangi studio na kukohoa...
Amemuharibia huyo dada muelekeo...