Kwa hiyo kabla ya kuchukuliwa na harmonize alikuwa ana mwelekeo wa maisha, hata akina zuchu na vituo vya habari vilikuwa vinamfahamu au sio?Harmonize yule dogo ni mpumbavu na ana ushamba wa pesa, na hatofika popote.
Kazi kuchukua wanawake mishangazi wenye makalio.
Ukiangalia mwenendo wake unaona kabisa bado sana kukabiliana na kina Platinumz.
Mara madeni bank, utasikia kakimbia nyumba hajalipa kodi na vituko vya ajabu.
Kazi kuvuta bangi studio na kukohoa...
Amemuharibia huyo dada muelekeo...
Ndio level yakoJipige dole ujiambie wewe ni shogha
Uko fasta haya piga jingine!🖕Ndio level yako
Kwisha habari yako
Swali la Msingi..Atakuwa anamuwekea na mafuta na kubadili oil!?
Kuwa na kipaji ni jambo moja, kujulikana ni jambo jingine. Kuna watu kibao mtaani wana vipaji lakini wamekosa mtu wa kuwashika mkono.Kwani konde gang walimkuta mtaani anauza mahindi?
Waliona ana kipaji kuzidi wengi tu, hivyo nyota njema huonekana asubuhi.
Kwanini konde gang waliacha wengine wakamchukua yeye?
Kusajiliwa na label ya muziki sio wataanza kukifundisha from scratch, lazima waone kuna kitu kwanza.
Kwa swali lako, ndio alikuwa na kitu tena si kidogo.